Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasema haijapokea barua yoyote toka
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC). Yasema hakuna mtu anayezuiwa
kuangalia uchaguzi mradi tu atimize vigezo. Wizara ya mambo ya nje na
ushirikiano wa kimataifa nayo yasema haijapokea barua ya aina yoyote
toka ICC.
Wewe kama mwananchi, unadhani kuna umuhimu wa wasimamizi kutoka nje ya nchi kuja kusimamia uchaguzi wetu mwaka huu?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni