LIFE AFTER NOW

Learning about tommorow

Jumamosi, 11 Juni 2016

Prime Minister of Tanzania, Kassim Majaliwa The government has assured the public that continues efforts to eliminate the problem of shortage of sugar in the country

Prime Minister of Tanzania, Kassim Majaliwa The government has assured the public that continues efforts to eliminate the problem of shortage of sugar in the country



Prime Minister of Tanzania,  Kassim Majaliwa 

The government has assured the public that

continues efforts to eliminate the problem of shortage

of sugar in the country where a total of 20,000 tons

yesterday were distributed in different areas

country.

He said another consignment of 35,000 tons

expected to be distributed soon in

the region thus urged

dealers will receive the full offload for

citizens without concealing the price does not exceed Shs

2,200.

Providence Prime Minister made the remarks  evening

Friday, June 10, 2016 when speaking to

Sheikhs and leaders of the Committee for Peace

Dar es Salaam was invited in

iftar had prepared his  home.

He said the industry has already begun to be opened

and 300 tons came out in the Sugar factory

will be distributed in the districts of Kagera

Kakonko, Kibondo, Kasulu, Kigoma Uvinza and to

satisfying these areas.

However urged officials in Business

The Council continue to

monitoring in order to ensure product stores

it is available and no businessman

shall be hid.

At some point the Prime Minister urged

dealers across kutopandisha prices

food during the fasting month

Blessed Ramadan.

Speaking about the behavior of some

traders who raised prices of goods

Food especially in this period of fasting

urged to fear Allah

Because the act gives scoresheet when

Tough.

"Fasting Ramadan is not a luxury, not

personal wishes but it is a matter of faith

not to bring up the price of goods for the purpose of

punish Muslims just because they scored.

"In the Quran surat Baqarah verse 183

states that ye verily imefaradhishwa

you install as they have been ordered shut

for those who have gone before you to be pious,

so we must install "he stressed.

He said such behavior is not good and has been reverberating

Occasionally when it came to tying the

traders decide to raise prices so

He urged the government to repudiate as itawavumilia

and who dare strong action will be taken against

it.

Jumamosi, 6 Februari 2016

What Happens To Your Body When You Eat 3 Eggs For A Week !





Most of us know eggs for their high levels of cholesterol. However, there are so many health positives hidden in regularly consuming eggs.

It Makes You Full

It has high levels of proteins, which gives eggs the perfect 100 in comparison to other sources of the nutrient. The fact is that foods containing high levels of proteins can help in curbing hunger by making you feel fuller for longer duration of time.

Improves Chances of Losing Fat

Because eggs can make you feel fuller for longer, they can help in fat loss. As per one study that involved participants taking their caloric intake through eggs or bagels, those consuming eggs were found to lose 65% higher amount of weight. The other benefits included 16% higher body fat loss, and 34% higher waist size reduction.

Better Skin & Hair

Eggs contain high levels of vitamin B2, vitamin B5, and vitamin B12. These B-complex vitamins are essential for your healthy skin, liver and hair. They also help in the proper functioning of the nervous system .

Stronger Bones & Teeth

Vitamin D is an essential nutrient for our bone and teeth health. It is required for properly absorbing calcium. Eggs are among the rare few natural foods which have good amounts of vitamin D.

It Provides you Essential Amino Acids

There are 20 essential amino acids which are a must-have for our body to sustain life. Our body makes 11 of these amino acids. Egg is one rare food that supplies rest of the 9 essential amino acids. If your body has shortage of these amino acids, you can suffer from fatigue, reduced immune response, muscle wastage, and fatigue.

Increased Energy

Do you know that just one egg can supply 15% of your RDA (Recommended Daily Allowance) of vitamin B2 (riboflavin). As already mentioned, eggs contain various types of B vitamins. They are beneficial in helping your body convert food into fuel for generating more energy.

Reducing Stress

As already mentioned, eggs contain 9 essential amino acids that help various bodily systems. If there is deficiency in any of these amino acids, there can be negative mental effects. According to a study published in the Proceedings of the National Academy of Sciences, lysine supplementation helps in reducing stress levels and anxiety by regulating serotonin.

Improved Immune System

A single large egg can meet 22% of your RDA for selenium. It is required for both the thyroid hormones and your immune system. A stronger immunity means resisting infections, diseases and viruses.

Improved Brain Functioning

Our cell membranes have a component called as choline. It is essential for synthesizing neurotransmitter acetylcholine. It is present in eggs, and if you suffer from its deficiency, it can lead to reduced cognitive functioning and development of neurological issues.

Improved Cholesterol Levels

There’s no doubt about the high amounts of cholesterol in eggs. But studies show that eggs are actually capable of increasing your good cholesterol levels.

Reduced Chances of Heart Disease

When your good cholesterol levels are increased, the size of bad cholesterol particles increases. It is the small-sized LDL particles (bad cholesterol) that can cause heart disease.

Make sure that you are consuming eggs only in moderate amounts. It is a single source and can offer so many health benefits.

Jumatatu, 1 Februari 2016

STORY MADAM COMPLETE


                                         SORRY MADAM 89
 
ILIPOISHIA

Mapigo ya moyo yakaanza kuniendaa mbio. Nikaanza kufwata michuruziko ya damu iliyo elekea chumbani mwa amina kabla sijufikia mlango wa chumbani kwake, kitu kizito kikangia kupitia dirishani. Kikaanza kutoa moshi mkali ulioa anza kunipalia, nikagundua ni bomu la machozi, lililo ambanata nailio ya risasi iliyoanza kusikika ikitokea nje.

ENDELEA

  Ikanilazimu kulala chini haraka haraka, risasi zikazidi kumiminika zikipigwa kupitia maditishani, ambayo ni yaviol na tayari yamesha vunjika vibaya mno. Kitu kilicho nichanganya sikujua risasi hizo zinatokea upande gai, na mbaya sijajua watu hawa nj waaina gani, na wanamalengo ganjni kwangu. Nikatamba haraka na kuyachukua masanduku ya pesa nikaufungua mlango wa chumba cha Amina, nukayasukumia ndani, na mi nikaingia nikiwa ninatambaa, japo moshi huu, mkali uliendelea kunipalia na kuyafanya macho yangu kumwagikwa na machozi mengi. Nikamkuta polisi akiwa ameuawa ndani ya chumba cha Amina, huku risasi kadhaa, zikiwa zimekichangua kichwa chake vibaya. Nikafunga mlango kwa ndani, nikaatafuta maji ya kunawa usoni, ila sikuyapata. Nikavua shati langu nililo livaa, nikalikojolea na kulitotesha vizuri kwa maji mengi. Nikajifunika usoni, kidogi hali ya kumwagikwa kwa machozi ikapungua. Risasi zikaendelea kurindima, nikawa ninajiuliza watu hawa huwenda wakawa ni wendawazimu, kutokana risasi zao wanazimalizia katika kuzifyatua pasipo malengo, isitoshe ukuta waa nyumba hi, kidogo ni imara sana, na risasi kupenya si rahisi sana.

  Nikatafuta kila koa ya chumba kama kuna kitu cha kuweza kunisaidia kuepukana katika adha hii ya kuingia mikononi mwa watu amwa watu ambao hadi sasa hivi sijajua kama ni poliai au laa. Katika kuyembea tembea ndani ya chumba cha Amina, nikahisi mlio fulani kutokea chuni ya kapeti lililo tandazwa chumba kizima. Nilalifunua kwa haraka na kukuta, mfuniko wa chuma, ulio fungwa kwa kufuli. Nikaanza kutafuta jinsi ya kuufungua mfuniko huu, kwakutumia ncha ya sanduku moja wapo, ñikafanikiwa kulivuñja kufuli. Nikalifungua, nikakuta ngazi ya kushuka chini, kwa haraka nikashuka japo kuna giza totoro, ila nikajiamini. Kufika chini ya ngazi, nikahisi kuna kitu, kinanigusa kichwani, nikaupeleka mkoni wanguna kushika, nikakuta kijikamba, katika kukivuta chini, taa karibia nne, zilizopo ndani ya chumba hichi zikawaka. Bunduki nyingi za kila aina nikaziona zikiwa zimepangiliwa vizuri kwenye kuta za handaki hili, nikapnda juu haraka, nikayasukumia ndani masanduku ya pesa, nikajibanza kwenye moja ya kuta, yenye dirisha, nikachungulia nje. Nikaona watu wakikatiza katiza kwenye miti mingi ya hii, nyumba. Mikononi mwao wakiwa na silaha. Kitendo cha wao kukimbia kimbia kwenye miti hii, ni kubadilishana nafasi za kufyatua risasi. Kitu kilicho nifanya nigundue hawa si polisi, hii nikutokana na vilemba vyao walivyo jifunga, pamoja na mavazi yasiyo na sare maalumu.

"Jamaa wamekuja hadi huku"Nilijisemea, mwenyewe huku nikiendelea kuwatazama jinsi wanavyo fyatua risasi zinazo piga kwenye kuta ya nyumba hii. 'Wameanza mimi, nitamaliza'Nilizungumza, huku nikishuka kwenye ngazi za kuingia kwenye handaki. Nikanza kufungua makabati manne yaliyopo humu ndani, nikayakuta yakiwa na bunduki pamoja na silaha kadhaa, nikakuta kisanduku cha kuhifadhia, vitu vya huduma ya kwanza. Nikafungua na kuchukua clip bandeji, nikajifunga sejemu nilizo pata majeraha ya kukatwa na visu. Nilipo hakilisha nipo salama, nikachukua bunduki, aina ya SMG, nikachukua na magazine kumi, zilizo jaa risasi.Nikachukua shati langu, nililo lilowanisha kwa mikojo, nikajifunga kichwani. Nikapanda juu, nikakuta hali ikiwa imetulia. Nikaanza kusikia minong'ono ikitokea sebleni, iloashiria jamaa, wamesha ingia ndani. Nikajibanza pembeni ya ukuta wenye mlango, taratibu nikakifungua kitasa, Na kuuvuta mlango taratibu, nikauachia, nikañza kusikia hatua za mtu akija chumbabi.Nikashañgàà, kunuona mtoto mdogi wa kike mwenye umri chini ya miaka kumi na tato, akiwa ameshika bunduki huku akimshangaa, polisi aliye lala chini. 
"Amefia huku"

Alizungumza pasipo kuniona nyuma ya mlango, nilipo simama. Akaiweka bunduki yake chini na kuanza umpapasa askari huyu, nikasogea pembeni kidogo, ili asinione, kwa bahati mbaya nikagusa kikopo chenye poda kilichokua juu ya 'dreasing table'

na kikaanguka chini na kumfanya binti huyo kugeuka haraka, tukakutana macho kwa macho.

 

Kumbukumbu za wanakijiji walio vamiwa na John, na kuuliwa watoto wao kikatili, wasio na hatia yoyote. Ikapita kichwani mwangu kwa haraka, nikajikuta nikomuonea huruma binti huyu ambaye hastahili kifo kwa wakati huu. uzuri wa binti huyu, kidogo unaendana na Phdaya wangu, Macho yake, pua yake, midomo yake ni kama Phidaya. Nikawa katika dimbwi zito la kumtathimi binti huyu, nikastukia kuona mtu aliye valia sutlruali ya jeshi, akiingia ndanj ya chumba hichi, huku akimfokea binti huyu, akimuuliza mbona anachelewa kutoka.

Nikafyatua risasi kadhaa kwa jamaa, huyu na akaanguka chini. Binti akajribu kuchukua bunduki yake, ila nikawahi kujirusha na kuisukumia pembeni. Jamaa waliopo sebleni, wakaanza kufyatua risasi nyingi katika chumba tulichopo. Nikamnyanyua binti huyu aliye chamganyikiwa na kumsukumiza kwenye ukuta usio pitisha risasi. Nikaanza na mimi kujibu mashambulizi ya watu hawa.

"Babaa, Babaa usiniache mwenyewe"Binti huyu alianza kulia, huku akimtazama mzee, huyu niloye mpiga risasi na kufa mbele ya macho yake.Nikaendelea, kujibu mashambulizi ya jamaa hawa, walio sebleni wakakimbjlia nje. Nikatoka sebleni, huku nikiendeleà kujibu mashambulizi yao. Nikasikia sauti zikiwaashiria waondoke, haraka eneo hili kwani mkubwa wao amekufa. Ndani ya dakika tano, ukimya ukatawala nje ya nyumba. Nikarudi ndani ya chumba na kumkuta binti huyu akiwa amemuegemea baba yake, aliye jitahadi kumnyanyua hadi akamkalisha kitako.Binti huyu akanyanyuka, haraka na kunifwata mlangoni nilipo simama. Akaanza kunipiga piga kifuani huku akilia.

"Umemuua baba yangu"

"Kwa nini umuue baba yangu?"
Aliendelea kunipiga kifuani, mwangu sikumjibu kitu chochote, akaendelea kunipiga kifuani mwangu, nikajikuta nikimtandika kofi moja la shavuni lililo muangusha chini, nakumfanya atulie kimya. Nikakaa kitanda huku, nikiwa nimejichokea sana. Nikajihi maumivu kwenye paja langu la mguu wa kushoto, nikajichunguza vizuri na kugundua nina jeraha risasi, iliyo nikwaruza, ila haikuingia ndani ya mguu wangu. "Mungu, hivi kwanini maisha yangu si yaraha?"Nilijikuta nikizungumza mwenyewe huku nikitazama maiti mbili zililo lala chini, sikujua hata hii maiti ya askati imetokea wapi. Ubaya wa hii sehemu, nyumba ipo msituni, na imezingirwa na miti mingi, kiasi kwamba si rahisi kwa watu wa kawaida kupafikia.Nikazitoa maiti zote mbili, nukuziweka sebleni, Nikaigia chini kwenye handaki, nikajitibu jeraha la risasi iliyo nipunyua. Nikachuku silaha na risasj zakutosha nikazipeleka kwenye gari, nililo likuta lipo salama salmin. Nikarudi na kuchukua masandukuvya pesa kabla sijatoka binti akapiga chafya. Nilayaweka chini nà kumsogelea karibu, nikamnyanyua na kumuweka kumkalisha.
"Unaitwa nani?"
"Eheeee"
"Jina lako ni nani?"
Akabaki akiwa amenitazama tu, pasipo kunijibu kitu cha aina yoyoye.
"Nipo wapi?"
"Upo duniani"
Nilimjibu hivyo kutokana ninatambua  kwamba alipoteza fahami kwa kofi zito nililo mtandika. Akanyanyuka na kutazama mazingira ya chumba, nikamuona jinsi anavyo zitazama damu zilizo tapakaa chini.
"Kumetokea nini?"
"Hakuna, twende zetu"
Tukatoka chumbani, akafika sebeni, akaitazama maiti ya bana yake. Nikashangaa kumuona akianza kuupiga mwili wa baba yake mateke huku akianza kulia.
"Kufa kufa kufa"
Alizungumza huku akizidi kuutandika mateke mwili wa baba yake, nikabaki nikiwa nimeduwaaa nisijue nini kinacho endelea.

            ITAENDELEA

USIKOSE SEHEMU YA 90. HAOA HAPA KATIKA STORY ZA EDDY PAGE.

MALIZIA STORY  NZIMA  LEO HAPA

 

 

 

 

 

                                                                                                 

Jumamosi, 30 Januari 2016

Eritrea yakerwa na habari ya wake wawili

Eritrea yakerwa na habari ya wake wawili

Januari 2016

Image copyrightBBC World ServiceImage captionWawili waliooana

Habari ya mzaha kwamba wanaume wa taifa la Eritrea wameagizwa kuoa wake wawili, ambayo imesambaa barani Afrika imewaudhi maafisa wa taifa hilo.

''Hata mwendawazimu katika mji mkuu wa Asmara atajua kwamba habari hii sio ya kweli'',afisa mmoja wa ubalozi wa Eritrea Kenya ameiambia BBC.

Habari hiyo ilichapishwa katika mtandao wa kitengo cha gazeti la The Standard la Kenya cha Crazy Monday.

Baadhi ya watu wametoa maoni yao katika mtandao wa Twitter kwamba wako tayari kusafiri hadi Eritrea ili kutafuta wanawake wa kuoa.

''Jarida la Crazy Monday ambalo huchapishwa na gazeti la Standard hujulikana sana kwa stori zake za udaku, likiwa ni mpango wa kutaka kuwavutia vijana," anasema Mathias Muindi wa BBC Media Monitoring.

Lakini hilo halijazuia taarifa hiyo kuripotiwa katika mataifa ya Nigeria hadi Afrika Kusini huku wengine wakisema kuwa ni ukweli.

Habari hiyo inasema kwamba ili kuhakikisha kuwa kuna wanaume walio wachache nchini humo wanaokidhi mahitaji ya wanawake walio wengi, kufuatia vita kati ya taifa hilo na Ethiopia mwaka 1998-2000, kila mwanamume lazima aowe wake wawili la sivyo afungwe jela.

Lakini afisa wa ubalozi wa Eritrea aliyezungumza na BBC amesema idadi ya wanawake na wanaume inakaribiana.

Waziri wa habari nchini Eritrea Yemane Gebremeskel alituma ujumbe katika mtandao wa Twitter akisema kwamba habari hiyo ni ya uvumi, sio ya kweli na inakera.

WAZIRI WA AFYA NA HUDUMA ZA AFYA

#HABARI Naibu waziri wa Afya, Dkt Hamisi Kigwangala atoa mbinu za kuziwezesha hospitali za umma kuongeza mapato kwa kuboresha huduma kwa watu wenye pesa zaidi.
Ahoji :- "Kama matajiri hawaji kwenye hospitali za umma, mnategemea hawa maskini watapata pesa wapi za kulipia huduma?"

Taarifa kamili iko hapa;-
http://www.eatv.tv/news/current-affairs/kigwangala-ataka-mapato-zaidi-hosptali-za-umma

TANZANIA OPPORTUNITY


Umeisikia hii fursa kwa wale wanaopenda kuwa wafanyabishara wakubwa? CEO wa METL na Mwenyekiti wa Mo Dewji Foundation, Mohammed Dewji  wakishirikiana na Darecha anazungumzia shindano la Mo Entrepreneurs Competition walilolianda ili kukupa nafasi wewe. Tazama video ili uweze kushiriki na kujishindia hasa kwa wewe unayependa kuwa mfanyabiashara mkubwa hii inakuhusu sana.. SHARE na wengine pia wanufaike

https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1422961194384961&id=157303284284098

AFRIKA ONE

Remember the 'white saviour' cameo in Africa in 90 seconds? Well this is #whatreallyhappened. Watch the full episode here: https://youtu.be/we53H9XZaas #tbt

#WHITEHOUSE

"Today, we’re taking one more step in the right direction. We are proposing to collect and report pay data by race, ethnicity, and gender from businesses with 100 employees or more. And the goal is to help businesses that are trying to do the right thing, like the ones here today, to get a clearer picture of how they can ensure their employees are being treated equally. A better picture of the data will also help us do a better job enforcing existing equal pay laws. " —President Obama announcing new actions to advance #EqualPay on the anniversary of the Lilly Ledbetter Fair Pay Act: go.wh.gov/EqualPay

FAHAMU KUHUSU MWEKEZAJI ALIYEKIMBIA NA KURUD KWAO INDIA

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwekezaji wa kiwanda cha kutengeneza nyuki Mkoani Tabora amefunga kiwanda hicho na kurudi makwao India.
Isome zaidi hapa http://www.eatv.tv/news/current-affairs/mwekezaji-afunga-kiwandaaondoka-na-funguo-india

NEWZ radio one newz

#Habari:Serikali imeuwasilisha na kuuondoa mpango wa pili wa maendeleo ya taifa kwa kipindi cha miaka mitano baada ya kubainia kuwa kuna kanuni na tararibu ambazo zimekiukwa katika kuwasilisha mpango huo bungen.->http://bit.ly/1TrMi5a