#HABARI Naibu waziri wa Afya, Dkt Hamisi Kigwangala atoa mbinu za kuziwezesha hospitali za umma kuongeza mapato kwa kuboresha huduma kwa watu wenye pesa zaidi.
Ahoji :- "Kama matajiri hawaji kwenye hospitali za umma, mnategemea hawa maskini watapata pesa wapi za kulipia huduma?"
Taarifa kamili iko hapa;-
http://www.eatv.tv/news/current-affairs/kigwangala-ataka-mapato-zaidi-hosptali-za-umma
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni