LIFE AFTER NOW

Learning about tommorow

Jumamosi, 30 Januari 2016

TANZANIA OPPORTUNITY


Umeisikia hii fursa kwa wale wanaopenda kuwa wafanyabishara wakubwa? CEO wa METL na Mwenyekiti wa Mo Dewji Foundation, Mohammed Dewji  wakishirikiana na Darecha anazungumzia shindano la Mo Entrepreneurs Competition walilolianda ili kukupa nafasi wewe. Tazama video ili uweze kushiriki na kujishindia hasa kwa wewe unayependa kuwa mfanyabiashara mkubwa hii inakuhusu sana.. SHARE na wengine pia wanufaike

https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1422961194384961&id=157303284284098

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni