LIFE AFTER NOW

Learning about tommorow

Jumamosi, 30 Januari 2016

Eritrea yakerwa na habari ya wake wawili

Eritrea yakerwa na habari ya wake wawili

Januari 2016

Image copyrightBBC World ServiceImage captionWawili waliooana

Habari ya mzaha kwamba wanaume wa taifa la Eritrea wameagizwa kuoa wake wawili, ambayo imesambaa barani Afrika imewaudhi maafisa wa taifa hilo.

''Hata mwendawazimu katika mji mkuu wa Asmara atajua kwamba habari hii sio ya kweli'',afisa mmoja wa ubalozi wa Eritrea Kenya ameiambia BBC.

Habari hiyo ilichapishwa katika mtandao wa kitengo cha gazeti la The Standard la Kenya cha Crazy Monday.

Baadhi ya watu wametoa maoni yao katika mtandao wa Twitter kwamba wako tayari kusafiri hadi Eritrea ili kutafuta wanawake wa kuoa.

''Jarida la Crazy Monday ambalo huchapishwa na gazeti la Standard hujulikana sana kwa stori zake za udaku, likiwa ni mpango wa kutaka kuwavutia vijana," anasema Mathias Muindi wa BBC Media Monitoring.

Lakini hilo halijazuia taarifa hiyo kuripotiwa katika mataifa ya Nigeria hadi Afrika Kusini huku wengine wakisema kuwa ni ukweli.

Habari hiyo inasema kwamba ili kuhakikisha kuwa kuna wanaume walio wachache nchini humo wanaokidhi mahitaji ya wanawake walio wengi, kufuatia vita kati ya taifa hilo na Ethiopia mwaka 1998-2000, kila mwanamume lazima aowe wake wawili la sivyo afungwe jela.

Lakini afisa wa ubalozi wa Eritrea aliyezungumza na BBC amesema idadi ya wanawake na wanaume inakaribiana.

Waziri wa habari nchini Eritrea Yemane Gebremeskel alituma ujumbe katika mtandao wa Twitter akisema kwamba habari hiyo ni ya uvumi, sio ya kweli na inakera.

WAZIRI WA AFYA NA HUDUMA ZA AFYA

#HABARI Naibu waziri wa Afya, Dkt Hamisi Kigwangala atoa mbinu za kuziwezesha hospitali za umma kuongeza mapato kwa kuboresha huduma kwa watu wenye pesa zaidi.
Ahoji :- "Kama matajiri hawaji kwenye hospitali za umma, mnategemea hawa maskini watapata pesa wapi za kulipia huduma?"

Taarifa kamili iko hapa;-
http://www.eatv.tv/news/current-affairs/kigwangala-ataka-mapato-zaidi-hosptali-za-umma

TANZANIA OPPORTUNITY


Umeisikia hii fursa kwa wale wanaopenda kuwa wafanyabishara wakubwa? CEO wa METL na Mwenyekiti wa Mo Dewji Foundation, Mohammed Dewji  wakishirikiana na Darecha anazungumzia shindano la Mo Entrepreneurs Competition walilolianda ili kukupa nafasi wewe. Tazama video ili uweze kushiriki na kujishindia hasa kwa wewe unayependa kuwa mfanyabiashara mkubwa hii inakuhusu sana.. SHARE na wengine pia wanufaike

https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1422961194384961&id=157303284284098

AFRIKA ONE

Remember the 'white saviour' cameo in Africa in 90 seconds? Well this is #whatreallyhappened. Watch the full episode here: https://youtu.be/we53H9XZaas #tbt

#WHITEHOUSE

"Today, we’re taking one more step in the right direction. We are proposing to collect and report pay data by race, ethnicity, and gender from businesses with 100 employees or more. And the goal is to help businesses that are trying to do the right thing, like the ones here today, to get a clearer picture of how they can ensure their employees are being treated equally. A better picture of the data will also help us do a better job enforcing existing equal pay laws. " —President Obama announcing new actions to advance #EqualPay on the anniversary of the Lilly Ledbetter Fair Pay Act: go.wh.gov/EqualPay

FAHAMU KUHUSU MWEKEZAJI ALIYEKIMBIA NA KURUD KWAO INDIA

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwekezaji wa kiwanda cha kutengeneza nyuki Mkoani Tabora amefunga kiwanda hicho na kurudi makwao India.
Isome zaidi hapa http://www.eatv.tv/news/current-affairs/mwekezaji-afunga-kiwandaaondoka-na-funguo-india

NEWZ radio one newz

#Habari:Serikali imeuwasilisha na kuuondoa mpango wa pili wa maendeleo ya taifa kwa kipindi cha miaka mitano baada ya kubainia kuwa kuna kanuni na tararibu ambazo zimekiukwa katika kuwasilisha mpango huo bungen.->http://bit.ly/1TrMi5a