NEWS 12 LIFE-CHANGING RULES BUDDHIST MONKS LIVE BY SPIRIT SCIENCE  What is your impression of the day-to-day of a Buddhist monk? Your visualization may make it appear that the monk-life is a vast departure from modern society, and you’d be pretty close to the truth. However, we can draw inspiration from the way they live their lives. If you are looking to bring more mindfulness and peace to your days, then we can look to these simple Zen Buddhist-inspired rules to live by, no matter what your spirituality or religion. One Thing At A Time. Take steps, rather than multi-tasking. For example: when eating, just eat. When bathing, just bathe. “When walking, walk. When eating, eat.” – Zen proverb. Slow and Steady Wins The Race Now that you’re doing one thing at a time, don’t rush it. Instead, take your time, move slowly, and act deliberately. Focusing like this is surprisingly difficult for someone used to rushing around doing a million things at once. Practice makes perfect, though. Follow Through. You’re doing one task slowly and deliberately, now make sure you follow through and finish it before moving on to the next. If it is impossible, at least try to put away and clean up the unfinished task so that it doesn’t interfere with your next movements. Do Less.
LIFE AFTER NOW
Jumatatu, 21 Desemba 2015
Alhamisi, 5 Novemba 2015
Faida za mende kwa maisha ya binadam kwa ujumla
Image copyrightThinkstockImage captionMende wana manufaa mengi sana kwa binadamu
Mende huchukiwa sana na watu na huhusishwa na uchafu na maradhi. Lakini wajua kwamba wadudu hawa wana manufaa makubwa sana kwa binadamu?
Mjini Havana, nchini Cuba kuna aina ya mende ambao hufugwa kama wanyama vipenzi na hata visa vyao husimuliwa kwenye hadithi, anasimulia Mary Colwell.
Kwenye kisa kimoja, mende kwa jina Martina huwafanyisha mtihani wanaotaka kumchumbia kwa kuwaudhi kila wanapomtembelea.
"Mwaga kahawa kwenye viatu vyao uone watalichukulia vipi hilo,” anapendekeza nyanyake Martina. "Ni muhimu sana kujua mumeo mtarajiwa hufanya nini anapokasirika – mtihani wa kahawa hufanikiwa.”
Kuna aina 4,500 ya mende, na ni aina nne pekee ambao huwa waharibifu.
Wengi hawaishi karibu na nyumba za watu na hutekeleza jukumu muhimu katika ikolojia kwa kula vitu vilivyokufa na vinavyooza.
Image captionBaadhi ya mende huishi pamoja na kusaidiana
Baadhi wana sifa nzuri na huishi pamoja na kusaidiana katika kutafuta chakula na makazi. Wana uwezo wa kuishi katika mazingira magumu. Aina moja kwa jina Eublaberus posticus wanaweza kuishi mwaka mmoja kwa kunywa maji pekee.
Wale wazito zaidi, huwa na uzani wa gramu 35, na urefu wa sentimeta 8 na huishi Australia. Wale wadogo zaidi huishi Ulaya na Amerika Kaskazini na wana urefu wa sentimeta moja pekee.
Badala ya kuwachukia, wanasayansi huwafurahia sana na kuwatumia kwa manufaa ya binadamu. Mwaka 1999, mende walitumiwa na Prof Robert Full katika Chuo Kikuu cha California, Berkley, kumpa wazo la kuunda roboti ya miguu sita iliyosonga upesi na kwa urahisi.
Mende huwa thabiti sana, na wakianguka huwa wanainuka upesi na kwa urahisi kwa kutumia mabawa.
Miguu ya mende pia imekuwa ikitumiwa na wavumbuzi wanaotengeneza miguu bandia ya kutumiwa na binadamu.
Kuna pia mende ambao wamekuwa wakiunganishwa na kompyuta ndogo inayowekwa mgongoni na kuongozwa kufika maeneo ambayo mwanadamu hawezi kufika.
"Nilipoona hili mara ya kwanza, nilishangaa sana,” mtafiti mkuu katika mradi huo unaoendeshwa katika Chuo Kikuu cha A&M cha Texas, Hong Liang anasema.
Mende wanatumiwa pia katika matibabu. Wanasayansi kwa miaka mingi wamekuwa wakishangazwa na uwezo wa mende kukaa muda mrefu maeneo yenye sumu na uchafu bila kudhurika. Wamegundua kwamba huwa wanatoa kemikali za kupigana na sumu.
Wanaweza kusaidia katika kutengeneza dawa za kusaidia binadamu kukabiliana na bakteria zinazohangaisha sana watu kwa mfano E. Coli na MRSA ambazo zimekuwa hazisikii dawa.
Hii si mara ya kwanza mende kutumiwa kwa sababu za kimatibabu. Mwanahabari Lafcadio Hearn karne ya 19 alipitia maeneo ya kusini mwa Marekani na kuripoti jinsi watu wenye pepopunda walivyokuwa wakipewa chai iliyotengenezwa kwa kutumia mende.
“Sijui ni mende wangapi hutumiwa hadi upate kikombe cha chai, lakini wakazi wa New Orleans wana imani sana na tiba hii,” aliandika.
Leo katika hospitali Uchina, krimu inayotengenezwa kwa kutumia ungaunga wa mende waliosiagwa hutumiwa kutibu vidonda vya moto na pia humezwa kutibu vidonda vya tumbo.
Mende wanahitajika sana hivi kwamba Wang Fuming aliamua kufungua biashara ya ufugaji mende eneo la Shandong, mashariki mwa Uchina. Huwa anafuga mende 22 milioni kwa wakati mmoja. Anasema tangu 2010, bei ya mende waliokaushwa imepanda mara kumi.
Jumamosi, 31 Oktoba 2015
TATHIMIN YA MCHEZO KAT YA CHELSEA NA LIVERPOOL
chi yamalizika Chelsea 1-3 Liverpool
Dakika ya 90+4: Mechi inamalizika. Mourinho anamsalimia Klopp na kuondoka uwanjani.
Dakika ya 90+2: Zouma anatuma krosi eneo la hatari lakini inapaa juu na kutoka nje.
Dakika ya 90+1: Adam Lallana anaondolewa uwanjani na nafasi yake anaingia Dejan Lovren
Dakika ya 90: Coutinho anashambulia tena. Anapata kona. Mpira unarejeshwa safu ya kati na kisha kwa kipa wa Liverpool.
Image copyrightAP
Dakika ya 82: BAOOOO! Christian Benteke!Chelsea 1-3 Liverpool.
Image copyrightGetty Images
"Utafutwa asubuhi" mashabiki wanaimba wakimkejeli Mourinho. Baadhi ya mashabiki wa Chelsea wanaanza kuondoka uwanjani. Wengine bado wanaimba jina lake.
Dakika ya 80: Chelsea wanashambuliwa tena. Nusura bao liingie.
Dakika ya 75: Alberto Moreno anapata nafasi na kushambulia. Kipa wa Chelsea Begovic anachomoka na kutupa nje kombora lake.
Dakika ya 73: BAOOOOOO! Coutinho! Chelsea 1-2 Liverpool.
Dakika ya 71: Cesc Fabregas anaingizwa nafasi ya John Obi Mikel, huku Chelsea wakiendelea kushambulia.
Dakika ya 70: Chelsea wanapata kona. Inachapwa na Willian lakini haizai matunda.
Dakika ya 68: Lucas Leiva ambaye tayari ana kadi ya njano anamchezea vibaya Ramires. Wachezaji wa Chelsea wanamzingira Mark Clattenburg. Lakini refa hachukui hatua yoyote. Anamuonya tu mchezaji huyo.
Dakika ya 63: Emre Can anapewa kadi ya njano.
Dakika ya 62: Nahodha wa Liverpool James Milner anaondolewa uwanjani na utepe wa unahodha unakabidhiwa Martin Skrtel.
Dakika ya 61: Kenedy nusura afanye mambo. Kenedy anatoa kombora kutoka hatua 18 lakini linaenda nje.
Ramires naye anapata nafasi nzuri lakini mpira wake unazuiwa na Martin Skrtel na Emre Can.
Dakika ya 59: Eden Hazard anatolewa uwanjani na nafasi yake anaingia Mbrazil Kenedy.
Dakika ya 57: Lucas anaonyeshwa kadi ya njano.
Dakika ya 49: Liverpool wanashambulia. Cahill anautoa mpira nje kwa kichwa na inakuwa kona. Tena Cahill anautoa nje wakati huu kwa mguu. Kona nyingine inapigwa lakini kombora la Coutinho linapaa na kupitia juu ya goli.
Dakika ya 49: Ramires anatoka nyuma na kumkabili Coutinho safu ya kati. Refa anatoa frikiki.
Dakika ya 47: Liverpool wanapata nafasi nzuri. Firmino ana mpira, lakini Zouma anaufikia na kuupiga nje.
Dakika ya 46: Chelsea wanashambulia. Lakini kombora la Willian linapinduliwa kisha kunyakwa na kipa.
Mechi inaanza kipindi cha pili.
Ni muda wa mapumziko sasa. Chelsea 1-1 Liverpool
Dakika ya 45+3: BAOOOO! Coutinho anasawazishia Liverpool. Chelsea 1- 1 Liverpool
Image copyrightReuters
Dakika ya 41: Diego Costa anakimbiza mpira eneo la Liverpool lakini unatoka nje kabla yake kuufikia.
Dakika ya 37: Mpira wa mbali unatumwa eneo la hatari la Chelsea. Lucas anaufikia kwa kichwa lakini mpira wake unanyakwa na kipa. Zouma analala chini akionekana kuumia lakini baadaye anainuka na kuendelea na mechi.
Dakika ya 35: Liverpool wanadai Terry amenawa mpira baada ya kutuliza krosi ya Nathani
Ijumaa, 30 Oktoba 2015
THIS INFOGRAPHIC EXPLAINS HOW TIME TRAVEL WORKS
THIS INFOGRAPHIC EXPLAINS HOW TIME TRAVEL WORKS
Time is an interesting term. How it’s defined probably differs from person to person. Scientists define it as one of the four dimensions of space time. Physicists are able to calculate that subatomic particles can travel forward and backward in time. Yet we humans only know one direction – forward. Can we go backward?
What do you think? Is there any value in traveling forward or backward in time?
Jumanne, 13 Oktoba 2015
This Is How Your Body Reacts To Red Bull. I Bet You’ll Never Drink One Again
Health
Today, people eat bad food, don’t drink enough water, and don’t sleep enough. That’s a perfect spell for constant fatigue and grogginess. To avoid the afternoon crash, more and more people are taking to energy drinks like Red Bull. But did you know that Red Bull can actually increase your risk of stroke and heart attack?
An energy after drinking Red Bull, your blood is similar to that of a person suffering cardiovascular disease. They say drinking one of their energy drinks is the same as drinking coffee or soda, and you might have the same energy you get with coffee and soda, but the difference is that no one really knows what all the ingredients in a Red Bull are. We also don’t really know how those ingredients interact with the body.
Of course, one major ingredient is aspartame, which has been shown to be neurotoxic, allergenic, and carcinogenic. Pair that with other ingredients and you have a recipe for a vicious cycle of energy drink consumption that can be deadly.
“No less than 3.5 billion cans of Red Bull were sold last year in 143 countries. Yet, questions regarding the safety of Red Bull, as well as other energy drinks, keep cropping up at regular intervals when yet another overzealous energy-addict keels over,” says Dr. Mercola.
Energy drinks have even begun to outsell bottled water.
Who is at the highest risk? If you suffer any of the following, do NOT drink Red Bull:
AnxietyHigh blood pressureHigh stressCaffeine sensitivityBlood clotting disordersChronic fatigueAny cardiovascular disease.
It’s not advised to drink Red Bull if you’re pregnant too. Instead, try to improve your energy naturally. Exercise regularly, eat good foods, increase your intake of omega-3 fats and eliminate grains and sugars from your diet.
Image credit: jumamijule, Flickr
NOT ALL PRESIDENT KNOW HOW TO SPEAK ENGLISH
Can Xi Jinping speak English?
6 ANSWERS
Jason Chen, a Chinese native, Chinese history and culture fan and researcher
4.4k Views • Jason has 190+ answers and 4 endorsements in China.
Although Xi can read English, he can barely speak.
Just as I mentioned in Jason Chen's answer to How did Xi Jinping rise to power? , Xi Jinping entered Tsinghua University in 1977 as one of the College Students of Workers, Peasants and Soldiers ( 工农兵大学生(学生群体)_百度百科, sorry in Chinese only). Compared with the later official full-time college students, this group's academic system and curricula were rather incomplete and inferior, let alone the unanimous teaching of English was still not resumed and there was lack in good English teacher due to the turmoils of the Cultural Revolution. I am quite sure this is the main reason Xi and his peers like Wang Qishan had not received systematic education on English.And after Xi's graduation, most of the time he was busy at working, there was little time for learning English as well.
One convincing proof was Xi and President Obama's private meeting in California in 2013. During which they talked about sports, the Chinese interpreter made an obvious mistake by translating Xi's swimming 1 kilometer everyday into 10000 meters instead,which made Obama rather surprised and Xi had no reaction as it was clear Xi didn't get the message.
Here is the clip.
After that Chinese media had reported this episode and translation expert had explained this was common and not a diplomatic disaster. Furthermore, in this report, this expert Mr. Jin Canrong, Vice Dean of International Relationship School of Renmin University of China mentioned Xi could read English but had difficulties in speaking and listening, and he mentioned Xi' wife Peng Liyuan was good at speaking English too.(习近平称自己每天游泳1千米 被翻译成1万米, sorry in Chinese only).
Furthermore, although Xi did not behave in the grandstanding style of his predecessor Jiang Zemin, he often mentioned his being fond of western cultures, in particular obsession with Hollywood Blockbusters such as the Godfatherand Saving Private Ryan. Had Xi been good at speaking English, he should not have wasted the precious opportunities to prove being a true fan.
On the contrary, Premier Li Keqiang is rather good at speaking English as he learned from his wife, Cheng Hong, who is a famous professor expert at English literature and teaching, used to translate Rachel Carson's the Silence of Springinto Chinese. Here is a report on Li's bilingual speech in Hong Kong University.
MORE ANSWERS BELOW. RELATED QUESTIONS
What are some interesting facts about Xi Jinping?
Is it correct to refer to Xi Jinping as a "strongman"?
How do you pronounce Xi Jinping?
Can Xi Jinping's anti-corruption efforts be seen as laying the groundwork for an eventual transition to pluralism?
Is it just me, or does Xi Jinping really look like a panda?
Who voted against Xi Jinping?
Is the block of Google or Gmail determined directly by XI Jinping? If not ,who makes the decision?
How well-read is Xi Jinping?
Is Xi Jinping rich?
Who has a harder job, Obama or Xi Jinping?
How popular is Xi Jinping?
What are the political goals of Xi Jinping?
Is Xi Jinping a closeted liberal reformer?
How was Xi Jinping as a student at Tsinghua University?
What's the English level of Xi Jinping and Putin?
OTHER ANSWERS
Jumamosi, 10 Oktoba 2015
5 Things You Should Know Before You Buy Honey
5 Things You Should Know Before You Buy Honey
Here’s a fun fact for you: more than three quarters of honey sold in American supermarkets isn’t the real deal. Much of it has been modified into a nearly unrecognizable product. This is what you should know next time you buy honey.
1. Raw honey contains bee pollen.
So what’s the big deal? Well, bee pollen has long been thought to be among nature’s most nourishing foods. It’s loaded with protein, and is thought to be able to influence weight loss and improve reaction to allergies.
2. Ultra-filtered or pasteurized honey is not a better product.
In recent decades, honey manufacturers have sold consumers the idea that ultra-filtered and pasteurized honey is better than unfiltered, raw honey. In a way, it’d make sense that honey without the combs and pollen would taste better, but filtering it removes all of the delicious, healthy bee pollen.
Not just that, the process of ultra-filtering honey removes the capability of consumers to track where the honey was produced and what pollen was gathered to make it. So you could be eating honey from a clover field right next to a coal plant in China. No bueno, friends.
3. Many companies are now adding High Fructose Corn Syrup to honey.
According to the folks over at Organics, “HFCS has been linked to diabetes, obesity, hypertension and liver damage, and leads to plaque buildup and narrowing of blood vessels.” Not only that, but HFCS is often made from GMO corn. So if you want to avoid GMOs, avoid honey with this sweetener added.
4. Finding organic honey is a task.
There are simply too many non-organic farmers out there for honey to be guaranteed as all organic. Bees often fly miles from their hives to gather pollen, so it’s one variable that is impossible to control. Additionally, the USDA has no standards for organic honey. If you see honey labeled organic, it may be a bit misleading.
5. Most supermarket honey is imported from China.
Going back to my mention of ultra-filtration filtering out our ability to track where honey came from, we have very little reason to trust the quality and safety of food coming out of China. In 2003, Smuckers recalled 12,000 cases of honey and Sara Lee recalled products that contained honey from China because it was contaminated with Chloramphenicol. Chloramphenicol has been linked to leukemia.
This is one food where vegans may have the right idea, but if you must consume honey, find it from local sources and ask where exactly it came from
Ijumaa, 9 Oktoba 2015
HOW TO RAPIDLY EXPAND YOUR PERCEPTION WITHOUT USING PSYCHEDELICS
HOW TO RAPIDLY EXPAND YOUR PERCEPTION WITHOUT USING PSYCHEDELICS
“The door to the soul is unlocked; you do not need to please the doorkeeper, the door in front of you is yours, intended for you, and the doorkeeper obeys when spoken to.” -Robert Bly
What if you found out there was a key that would enable you to open and close your doors of perception at will, void of psychedelics? What if you found out you not only held the key, but you were the key? Would you unlock the doors, or keep them shut?
Well, you are the key, and whether or not you choose to enter through the doors is a choice that, although invisible, is life changing. You are the vehicle for the trip, consider this but a mere travel summary.
And for a detailed itinerary? Well, that can only be fetched by you -not the part of you reading this, but the altered dream state part of your consciousness that will travel beyond the doors of perception to the wildness of the world where there is a livingness to all things- as it can only be found in a place with exclusive access. A place where you can travel, but no one may follow -not even the conscious, waking state version of yourself scanning these very words.
If you have experimented with psychedelics, you most likely know what it is like to sense the type of “livingness” to all things of which I speak. Even if you haven’t used psychedelics, though, you almost certainly have still experienced this same livingness to all things in the world around you to a noticeable degree at least once, but probably various times as a child -a moment where the world around you took on a shimmery glow, colours suddenly appeared brighter, sounds louder and clearer, physical sensations amplified and, most notably, you could FEEL the world around you.
I am not referring to the physical, touching type of feeling, but to the intangible, energy sense of feeling where you could almost feel the luminosity of the world around you within, and you and the luminous rested in harmony as if you were one. You were present, your perceptions altered, your senses heightened. In short, your sensory gating channels opened to some degree, a process more commonly referred to as opening your doors of perception.
Sensory Gating Explained: The Science Behind the Doors of Perception
The “doors of perception” are the part of our brain and central nervous system responsible for filtering input from all external stimuli, involving all of your senses -feeling (both physical and nonphysical), sight, sound, taste and smell. This process, known as “sensory gating,” enables us to decipher the difference between “me” and “not me.” Through sensory gating, we are able to manage and comprehend the constant stream of sensory data from the external environment. Without it, we would be unable to filter out what matters and what doesn’t, and all sensory data would touch us deeply and ultimately, we would become overstimulated and overwhelmed and go “crazy” -according to modern medicine, that is.
You see, many of the people who are now referred to as “schizophrenics” have wide sensory gating channels that they do not know how to close, causing an overload in stimulus. In indigenous cultures, these people would have instead been called SHAMANS, and would have been taught how to control their doors of perception and open and close them as need be. There are ways to begin opening the doors of perception, or sensory gating channels, without using psychedelics. Of course, the experience will not be as intense or immediate, but nor will it be short lived.
Rather, by utilizing practices that help open your sensory gating channels to some degree by altering your state of consciousness, you learn to open the doors of perception into the metaphysical background of the world and continuously uncover deeper truths to yourself and the world around you. In essence, playing with the doors of perception in this manner, rather than through the use of mind altering substances, allows you to do more than have a life changing experience in which you see the deeper meanings to life for a brief period of time (i.e. a “trip”), but to change your life where every moment is an experience in a continuous journey into further, unexplored depths of life.
Listen to Aldous Huxley’s in depth description of the doors of perception, and the mechanisms through which the mind opens and closes them here.
Hypnosis and Meditation
“ …those who have experimented with hypnosis find that, at a certain depth of trance, it happens not too infrequently that subjects, if they are left alone and not distracted, will become aware of an immanent serenity and goodness that is often associated with a perception of light and of spaces vast but not solitary.”(Aldous Huxley, The Devils of Loudon 99).”
Practicing hypnotherapy and/or meditation on a regular basis is an excellent way to begin dabbling into the metaphysical backgrounds of yourself and of the world by tapping into your subconscious, into otherwise ignored parts of your mind.
These practices help open doors in the mind where things such as past traumas that are holding you back have remained imprisoned for years, desperately waiting for you to free them and thus yourself.
Meditation and hypnotherapy are also great tools for getting in touch with your intuition, helping you to see the bigger picture of current problems, allowing you to focus on the deeper truths and lessons they withhold rather than getting trapped in the mundane surface details of your problems. In fact, when observed in this light, they eventually cease to be problems and are instead rendered avenues of inner exploration and growth. Here are some guided hypnosis and meditation sessions that may be of benefit.
The Sixth Sensory Channel: The Feeling Capacity
The 6th sensory channel, also known as the feeling capacity, refers to the ability of humans to feel, as opposed to touch. It refers to the invisible type of feeling, as opposed to the feeling sense of physical touch embodying the ingredients of the five senses of human beings.
One is invisible and subjective, the other solely portrays the mostly objective experience of physical touching, of feeling the texture of a person or object.
The feeling sense referring to the ability to feel the invisibles describes the feelings that stir within as we encounter various experiences in our day to day life, sometimes called a sixth sense, or the sixth sensory channel. To better understand the sixth sensory channel, consider the following example: you come home from work and ask your partner what’s wrong.
“Nothing,” they brashly reply.
But, by the tone of their voice, you know nothing means everything, and that you better respond with something along the lines of, “please tell me what’s wrong,” unless you want to endure a silent dinner -one that also evokes a feeling sense, as the silence speaks volumes and is filled with tension, making you uneasy- and sleep on the couch that night. Simply put, awakening to the feeling sense that is not often spoken of as it is not included in the five senses that we are taught we have, cultivates your feeling capacity, your ability to feel the invisible, unspoken and unseen meanings of situations, and of things both yourself and others do and say.
In order to develop your feeling capacity, pay attention to the way things feel. Interpret situations with your heart first, then your thoughts. For a deeper understanding of the sixth sensory channel and how you can begin to reclaim your feeling sense, consider listening to this in this interview with Stephen Buhner.
Sources
http://www.hypnotherapycenter.com/art_mld.html
http://www.hypnos.co.uk/whitlark2.htm
http://naturalhealthtechniques.com/developing-your-sixth-sense.htm
‘Plant Intelligence and the Imaginal Realm: Beyond the Doors of Perception into the Dreaming of Earth,’ by Stephen Harrod Buhner
‘The Doors of Perception and Heaven and Hell,” by Aldous Huxley
Do You Know How McDonald’s Fries Are Made? This Will Disgust You
Do You Know How McDonald’s Fries Are Made? This Will Disgust You.
When I was growing up, the McDonald’s french fry was the holy grail of fast food items. I remember a specific day when I was a preteen that my body could no longer tolerate eating them. And it’s no wonder! It turns out their french fries are junk!
French fries use Russet Burbank Potatoes, a potato that’s cheap to grow, but blemishes easily and gets Net Necrosis, a potato disease, relatively easily. So McDonald’s needs to spray it with a pesticide called methamidophos.
“That is toxic to the extent where Idaho farmers who cultivate these potatoes do not go on the fields for five days after the spraying.”
After harvesting, the potatoes aren’t even edible. They have to sit inside of a football stadium sized “atmospheric shed” for six weeks before they can be eaten
Ijumaa, 2 Oktoba 2015
LEARNING MENs LIFE FROM THIS SHORT STORY
A man is dating three women and wants to decide who to marry. He decides to give them a test. He gave each woman Ksh 50,000 and observes what each does with the money.
The first one does a total make-over. She goes into a fancy beauty salon and does her hair, new make up and buys several new outfits. She then dresses up very nicely for the man. She says to him she has done this to make herself even more attractive to the man because she loves him so much. The man is impressed.
The second woman goes gift shopping for the man. She buys him a new smartphone, an expensive watch and very flashy clothes and shoes. As she presents these gifts to him, she tells him she spent all the money on him because she loves him so much. The man is impressed.
The third one invests the money in the stock market. She earns Ksh 200,000, and gave him back his 50k. She then re-invested the remainder in a joint account. She says she want to invest
and secure their their future because she loves him so much. Obviously the man is very impressed.
The man thought for a long time about what each woman had done with the money. In the end he married the one with the largest buttocks! Men will always be men.😂😂😂
Alhamisi, 1 Oktoba 2015
MORDEN WAY OF INSTALLING TERRAZO FLOOR FINISHING
Terrazzo?
Surface Preparation: Surface preparation is considered to be the most important step of any resinous flooring application. Improper surface preparation could turn what seems to be a simple process into a lengthy, difficult repair. Moisture related failures can be prevented through placing new concrete over an efficient vapor barrier.Picture H1 Surface Preparation
Crack Detailing:Clear any loose concrete with shot blasting and mitigate any cracking in the concrete subfloor with a crack suppression system.Picture H2 Crack Detailing
Strip Layout:
Strip Layout can be customized to show logos, images and any creative designs. Utilize a strip for each color change, and then strips as a part of the design, and then control the expansion joints. Divider strips can be zinc, aluminum, brass or plastic in sizes of 16 ga. (1/16”), 1/8”, 1/4”. The strips should be bonded with adhesive or hot glue (no mechanically attach).Picture H3-1 Strip Layout Picture H3-2 Strip Layout Finished
Mixing:Carefully measure out the “A” resinand the “B” hardener into two other containers. Always pour the “A” first and then the “B”. Add the powder and aggregates until you get the necessary density. Utilize aggregate blend- not all one size. Aggregate Size Chart Aggregate TypesMarbleGraniteMother of PearlGlassRecycled GlassPicture 4-1 Mixing Epoxy Picture 4-2 Mixing Aggregates with Epoxy
Pouring:The epoxy matrix is spread across the membrane with a trowel.Picture 5 Pouring
Grinding:The epoxy is ground smooth with diamonds or carborundum and plastic disks progressively from 25 to 400 grit.
Grouting:During the grinding stage, an epoxygrout is applied to remove any pinholes.
Polish and Sealer:Applying the sealer before the final wax coat and polish.So, what’s the end result of all this effort? Terrazzo installation incorporates so many steps for a very good reason. The installations we perform have at their hearts the goal of providing buildings with flooring solutions that won’t change with the seasons. Seamless installations that rely on clearly-defined metal stripping to set areas apart are more constant, remaining clean in the midst of dirty shoes and maintaining their form and shape where other substances would expand and contract. The terrazzo installation method is made to keep up appearances as well as ensure convenience. Terrazzo allows builders to approach flooring jobs in sections, leaving them with absolute control over every component. Color treatments, logos and graded variations that are impossible with the finest tile or wood flooring systems are easy to execute when terrazzo is the medium of choice. Terrazzo installations are completed simply and quickly, regardless of stain-proofing requirements, artwork inclusion or the addition of other special features. Structuring our installations so that each step is performed separately allows us to modify the end product at many points along the way. As a result, we’re able to offer our consumers low installation prices that never come at the expense of quality or the durability terrazzo is so prized for. Terrazzo is your personal gateway into the world of functional interior design. From installation to the days when your building staff permanently enjoys a clean work area that’s easy to keep up, your investment will be well-placed.
Jumatano, 30 Septemba 2015
Here’s Why You Should Stop Eating Pork Immediately
Here’s Why You Should Stop Eating Pork Immediately
Sep 30, 2015
It’s no secret that many religions consider the pig to be an unclean animal. For those who don’t follow the faiths in question, it probably seems a little bit silly. But is there something to the idea that the pig is unclean?
In the wild, pigs are scavengers. They’ll eat just about anything, including feces, rotting food, carcasses, and they’ve even been found to chew tumors off of one another and eat them. The digestive system of the pig is rather impressive, but it can’t always filter out the toxic stuff the pig eats. The pig’s digestive system completes the digesting of food in only 4 hours, so the toxins the pig eats are stored in its fat. Those toxins may be harmless to a piggy, but for us, it’s different.
According to a Consumer Reports investigation of 200 raw pork samples, 69% were contaminated, containing dangerous bacteria like Yersinia enteroclitica, which causes extreme sickness. Ground pork is even worse, containing other contaminants like ractopamine, which is a controversial drug banned in China and Europe.
According to the report: “We found salmonella, staphylococcus aureus, or listeria monocytogenes, more common causes of foodborne illness, in 3 to 7 percent of samples. And 11 percent harbored enterococcus, which can indicate fecal contamination and can cause problems such as urinary tract-infections.”
Pigs are also host to numerous parasites which can be directly transmitted to humans, such as Taenia solium, an intestinal parasite that causes infection and loss of appetite and viruses like Hepatitis E and Trichinella. Improperly cooked pork can expose you to all of these health problems.
According to Consumer Reports, if you are going to consume pork:
When cooking pork, use a meat thermometer to ensure that it reaches the proper internal temperature, which kills potentially harmful bacteria: at least 145° F for whole pork and 160° F for ground pork.Keep raw pork and its juices separate from other foods, especially those eaten raw, such as salad.Wash your hands thoroughly after handling raw meat.Choose pork and other meat products that were raised without drugs. One way to do that is to buy certified organic pork, from pigs raised without antibiotics or ractopamine.Look for a clear statement regarding antibiotic use. “No antibiotics used” claims with a USDA Process Verified shield are more reliable than those without verification. Labels such as “Animal Welfare Approved” and “Certified Humane” indicate the prudent use of antibiotics to treat illness.Watch out for misleading labels. “Natural” has nothing to do with antibiotic use or how an animal was raised. We found unapproved claims, including “no antibiotic residues,” on packages of Sprouts pork sold in California and Arizona, and “no antibiotic growth promotants” on Farmland brand pork sold in several states. We reported those to the USDA in June 2012, and the agency told us it’s working with those companies to take “appropriate actions.” When we checked in early November, Sprouts had removed the claim from its packages.
Are you going to stop eating pork? Why or why not? Let us know in the comments
Jumanne, 29 Septemba 2015
Reason for American youth develop faster than African youth with simple solution
The Biz is a game of nos. How is not important. The only thing that's important are the nos.
Like i said there are 2 ways of make this nos.
*The American system and
*The African system
The Americans don't have time for much of events and events are much costly. Due to security reasons.
So they simply make use of Internet, pasting cards on notice boards, dropping cards in phone booth's etc
But the most common and effective system is the internet and calls.
All they do is mass recruiting. And let them enjoy Spillovers, they enjoy Matching Commission.
*African system ... Because we believe in seeing, so event and one-on-on makes it better to build a system and team, instead of mass recruiting.
KWA MAELEZO ZAIDI BONYEZA HAPA
I am analysing this because some ppl go against mass recruiting and only believe in someone who is going to put some effort.
But I want you to understand that our dream is to get active members but we can hardly know who is going to be active until they get onboard.
I have about 4 networkers onboard who are not doing a thing, for one reason or the other.
I am only saying there is no perfect way, just choose the method that's best for you.
Numbers are all we need ... Just design a way suitable for you to get the nos.
KWA MAELEZO ZAIDI BONYEZA HAPA
KUJIUNGA NA TIMU YA VIJANA WA MAFANIKIO BONYEZA HAPA/ JOIN WITH SUCCESFULL YOUTH CLICK HERE
Jumatatu, 21 Septemba 2015
LEARNING HOW THE YOUTH LIVE WITH PARMANENT INCOME
From the
1. Instant commission
2. 100% matching commission of e-books, we do paid 80% from the purchases of e-books!
FOR MORE INFORMATION CLICK HERE
40% as instant and 40% as 100% matching!
The remaining 20% goes to company as their profit!
So, if you join for $18, $8 is for enllorment fee, $10 goes to purchase your first level products!
Out of $10, your sponsor will be paid $4 as instant commission, and sponsor of your sponsor will be paid $4 as matching, and $2 goes to company!
FOR MORE INFORMATION CLICK HERE
This applies to each level :
Level 4: $60
$24 as instant
$24 as 100% matching
$12 - to company
Jumatano, 16 Septemba 2015
Story madam kuanzia 71 had 80
“Nafanya hii, kwa ajili yakulipiza kisasi cha mume wangu”
“Ngoja kwanza, nipo tayari kufa, ila ninakuomba usimuue mke wangu”
Nilizungumza kwa ujasiri, nikiwa nipo tayari kwa kufa, Madam Mery akalinyanyua panga lake juu, akalishusha kwa kasi kwenye mkono wangu wa kulia
Nikatoa ukulele mkali, ulio mfanya madam Mery kusitisha zoezi lake kuukata mkono wangu, panga lake likiwa limesimama sentimita chache kutoka ulipo mkono wangu
“Madam, ninakuomba unisamee”
Nilizungumza huku machozi yakiendelea kunimwagika usoni mwangu, madam Mery akanitazama kwa macho ya hasira yaliyo jaa
ukatili mkubwa, akawatazama Victoria na John ambao macho yao yote yalikuwa kwetu
“Natambua kwamba mimi nimkosaji sana kwako, ninastahili kufa mbele yako, ila si mbele ya macho ya mke wangu.Mtazame jinsi alivyo katika hali yake.Mule ndani amebeba kiumbe kama ulicho kuwa umekibeba wewe, miezi tisa, na Derick akakiangamiza mbele yetu.Yule ni mwanamke mwenzako ambaye anauchungu kama wewe”
Nilizungumza huku machozi yakiendelea kunimwagilka usoni mwangu, madam Mery kwa mbali machozi yakaanza kumlenga lenga, macho yake yamebadilika rangi na kuwa mekundu kiasi huku sura yake ikiwa imejaa mikunjo kwenye paji lake la uso akinitazama kwa uchungu sana
“Mery mimi pia ni binadamu, kumbuka ni mambo mangapi tuliyafanya tukiwa pamoja, vuta kumbukumbu ni vitu vingapi tulishiriki tukiwa pamoja, Eheeee, leo hii unataka kuimwaga damu yangu, leo hii unataka kunisulubu kikatili, le……..”
“Eddy STOP TALKING”(Eddy nyamazakuzungumza)
Madam Merry alizungumza kwa sauti ya juu, yenye uchungu ndani yake.Akalitupa chini panga lake alilokuwa amelishika.Machozi mengi yakaanza kumbubujika usoni mwake, John na Vivtoria wakabaki wakimtazama madam Mery, ambaye taratibu alianza kupiga hatua za kuelekea kwenye gari lake alilo kuja nalo
“Madam Vipi?”
John alizungumza huku akimwafwata madam Mery kwa nyuma
“John ninakuomba uniache”
Madam Mery aluzungumza huku akiunyanyua mkono wake mmoja akimzuia John asimfwae anapo elekea
“Ila madam haya sio makubaliano yetu”
“John sipo sawa nimekuambia usinifwate”
Madam Mery alizungumza kwa sauti ya ukali, huku machozi yakiendelea kumchuruzika usoni mwake.
“Sasa Madam tumfanye nini Eddy?”
Madam Mery akageuka kwa hasira, hadi John akastuka kidogo, akanitazama jinsi machozi yanavyo nimwagika, akayafumba macho yake kwa sekunde kadhaa, akionekana akifikiria kitu cha kufanya juu yangu.
“Kesho nimkute akiwa hai”
Madam Mery alizungumza kwa sauti ya upole, kisha akaelekea lilipo gari lake, akafunguliwa mlango na mlinzi wake, akaingia ndani ya gari na wakaondoka zao.John akalisindikiza magari ya Madam Merry yanayotoka kwenye geti kubwa la Godauni, lilipo fungwa taratibu John akanigeukia, akanitazama kwa macho ya dharau huku Victoria akiwa amejichokea, kwani ninaamini mipango yao waliyo kuwa wameipanga dhidi yangu imeharibika.John akamfwata Victoria sehemu alipo simama, wakanong’onezana kwa muda kasha wakamtama Phidaya ambaye muda wote, amejilaza chini huku machozi yakimwagika kwa uchungu.
“Mchukueni huyo Malaya mumrudishe mulipo mtoa”
John aliwaamrisha watu wake, wakamnyanyua Phidaya na kumbeba juu juu, japo anajitahidi kujitoa mikononi mwa watu walio mbeba, huku aikiliita jina langu kwa sauyti ya juu, ila hakuifanikiwa kujitoa mikononi mwao John akapiga hatua hadi katika sehemu nilipo fungwa, akanitazama kwa muda, huku macho yake yakiwa yamejaa dharau kubwa, akanitemea mate ya usoni, akiyasindikiza kwa kofi zito lililo tua kwenye shavu langu la kushoto
“Mmmmmm Eddy, unajisikiaje?”
John alizungumza huku akivifikisha viganja vyake, na kuvipuliza taratibu taratibu.Akanishika sikio langu la upande wakulia, akaanza kulivuta kwa nguvu zake zote, nikaendelea kuugulia maumivu ndani kwa ndani, sikutoa sauti yoyote kwenye kinjwa changu
“Waooo, unajifanya komandoo usikii maumivu eheeee?”
John alizungumza, huku akiliachia sikio langu.Akaanza kunitandika vibao mfululizo kwenye mashavu yangu, hasira ikazidi kumiliki nafisi yangu.
“John, tumpeleke kisimani, hapo unajisumbua bure”
Victori alitoa wazo ambalo John alilikubali, wafanyakazi wao wakanishusha kwenye meza, majamaa wawili wakanibeba kwenye mabega yao. kama wawindaji walio beba swala waliye muua kwenye mawindo yao.Tukaingia kwenye moja ya ukumbi mkubwa wenye mwanga hafifu, unao pita kwa kutumia madirisha machache yaliyopo juu yake.Wakanibwaga chini, na kunifanya nitoe mguno wa maumivu kutokana na kujiumiza sehemu ya paja langu, nililo pigwa risasi Taa kubwa zenye rangi nyeupe zikawaka na kulifanya eneo zima la ikumbu kuponekana vizuri, kuna mashimo makubwa mawili, kwa haraka nikatabua ndio hivyo visima wanavyo vizungumzia, mabaunsa walio kuwa wamenibeba, wakaufunga mwili wangu kwa kamba ngumu aina ya manila.
“Eddy utakufa kifo kibaya sana”
John alizungumza huku akiwa ameniinamia
“Usiombe nikatoka, kwenye mikono yeno, utajuta”
Nilizungumza kwa kujiamini sana, John akaanza kucheka kwa dharau, huku akinipiga piga mashavuni mwangu
“Eddy huwezi kutoka mikononi mwangu, nakujua wewe vizuri sana.Huwezi fanya chochote dhidi yangu.Muda wako umekwisha kaka”
“Angalia wakwako ndio utakuwa umekwisha”
John akaanza kunipiga mateke mfululizo kwenye mbavu zangu, nikaendelea kutoa sauti ya maumivu ila John hakunionea huruma zaidi ya kuendelea kunipiga kwa nguvu zake zote
“Mchukueni na mukamdumbukize kwenye kisima”
John aliwaamrisha watu wake, wakanibeba, kabla hawajaondoka na mimi, Victoria akawazuia.Akapi ga hatua hadi sehemu tulipo simama
“Eddy nakupenda kaka yangu, kwaheri”
Victoria alizungumza huku akinibusu shavuni mwangu, akawarusuhu watu kuonipeleka kwenye kisima kilichopo kwenye huu ukumbi, kwa jinsi walivyo nifunga kamba mwili wangu sikuweza kufanya kitu cha aina yoyote zaidia ya mwili wangu kunyooka moja kwa moja, mithili ya mtu aliye fariki dunia.Wakanifunga kwenye kamba nene, tartibu wakaanza kunishusha kwenda chini, taratibu.Giza jingi lililo tawala ndani ya shimo hili, likazidi kuniogopesha na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa.Nikastuykia nikigusa chini, kwenye shimo hili lenye futi zaida kumi na mbili. Gafla nikaanza kuhisi vitu vidogo vidogo vikinitambalia mwilini mwangu, nikastukia mwili wangu ukianza kupata maumivu maklali yaliyo tokana kung’atwa na wadudu wadogo ambao sikujua ni waduudu wa aina gani, jambo lililo
nifanya nitoe ukelele mkali sana
ENDELEA KUDWATILIA SIMULIZI HII, KUPITIA WHATSAPP KWA MALIPO YA SH. 3000 TU KWA MWEZI, NO 0657072588, NITAKUTUMIA INBOX BAADA YA MALIPO, KAMA ULILIPA PESA YAKO NA HUKUPATA HUDUMA KWA SABABU ZILIZOPO NJE YA UWEZO WANGU, NITEXT INBOX WHATSAPP, FACEBOOK NAWE NITAKUHUDUMIA.ASANTE
WRITTER……………………………………….
G.MSULWA
www.storyzaeddy.com
ILIPOISHIA
Giza jingi lililo tawala ndani ya shimo hili, likazidi kuniogopesha na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa. Nikastuykia nikigusa chini, kwenye shimo hili lenye futi zaida kumi na mbili. Gafla nikaanza kuhisi vitu vidogo vidogo vikinitambalia mwilini mwangu, nikastukia mwili wangu ukianza kupata maumivu maklali yaliyo tokana kung’atwa na wadudu wadogo ambao sikujua ni wadudu wa aina gani, jambo lililo nifanya nitoe ukelele mkali sana
Wadudu wenye meno makali, wakazidi kuushambulia mwili wangu jambo lililo nifanya nizidi kuchanganyikiwa na kuanza kukiona kifo kikisimama mbele yangu, nilicho kuwa nikikisubiria ni pumzi yangu kukatika name niesabike kama mfu kati ya mamilioni ya watu walio tangulia mbele za haki, masaa kadri yalivyo zidi kukatika ndivyo jinsi nilivyo zidi kupata maumivu makali yasiyo mna kikomo, ikafikia kipindi kelele na maumivu yangu hayakupata msaada wa aina yoyote kutokwa kwa mtu yoyote
“Eheee Mungu ninakuomba unisaidie”
Niliamua kumkumbuka Mungu wangu, kama kuna uwezo wowote ambao anaweza kunipatia, kwa wakatui huu, sikua na ubishi wa aiana yoyote kwani ndio tayari nipo kwenye shimo la kifo.Giza likaanza kutoweka taratibu na mwanga mkali wa jua ukitokea juu ya paa lililo funguliwa muda mchache uliopita ikiashiria kwamba asubuhi nma mapema kumepambazuka, hapa ndipo nikagundua aina ya wadudu wanao nishambulia kwamba ni ng’ee wadogo wadogo wenye meno kali sana.Nguvu za mwili wangu zikaanza kuniishia kadri ya muda unavyo katika, mwili mzima wote umevimba kwa maumivu makali niliyo yapata. Nikaanza kuzisikia kelele za watu wakizungumza ndani ya ukumbi huu, huku kutikana na umbali niliopo kwenda chini kwenye kwenye shimo sikuelewa ni mazungumzo ya aina gani ambayo wanayanzungumza, taratibu nikaaza kuvutwa kwenda juu, na nikatolewa ndani ya shimo na watu walio niiingiza ndani jana.
“Duu huyu jamaa ana roho yap aka, bado yupo hai”
Jamaa mmoja alizungumza huku akinitazama na kunigeuza geuza kwa mguu wake alio valia kiatu kigumu sana, na kila alipokua akinmigusa katika mwili wangu, kwangu ilikuwa ni maumumi makali yasiyo elezeka
“Si bora tumuue tuu”
“Tukimuua unadhani bosi atatuelewa?”
“Sasa mtu ameumuka kiasi hichi unadhani
kwamba atapona huyu?”
“Sina uhakika ila tusubiri hao mabosi wetu wakija
watoe uamuzi juu ya hili”
Jamaa waliendelea kushauriana huku wakiwa wamenizunguka, katika sehemu waliyo nilaza huku kamba waliyo izungusha mwilini mwangu ikiendelea kubaki kama walivyo nifunga, jamaa mmoja ajachukua ndoo ya maoja na kutoka nje, wakabaki jamaa watatu wakiwa wamenizunguka. Huku wakiwa wanavuta sigara zao.Jamaa aliye toka na ndoo akarudi na kuisimamisha pembeni
yangu
“Umeweka nini humo?”
“Kuna maji ya yabaridi nahitaji kumuogesha huyu mwehu”
Jamaa pasipo kufikiria mara mbili ni maumivu ya aiana gani nitayapata, akaanza kunimwagia kuanzia juu hadi chini huku akiungana na wezake katika kunimwagia maji hayo, yaliyo zidi kuviumiza vidonda vyangu.
“Cheki jinsi anavyo babaika”
Mmoja alizungumza huku akininyooshea kidole, wakinicheka jinsi ninavyo garagara chini na kulia kwa maumivu makali ninayo yapata mwilini mwangu
“Bosi anasema mumtoe, mumpeleke kule kwenye godauni”
Jamaa mmoja aliye ingia muda si mrefu aliwapa wezake ujumbe walio anza kuutekeleza ndani ya dakika moja mbeleni, nilidhani watanibeba kama walivyo fanya jana walipokua wakiniingiza ndani ya ukumbi huu. Wakaanza kuniburuta huku wakiwa wanaivuta kamba waliyo nifunga nayo.Tukafika kwenye godauni la jana, nikamkuta John akiwa na Victoria wamesimama wakitungojea tutokee katika sehemu tuliyo simama
“Habari za asubuhi Mr Eddy”
John alizungumza huku akinizunguka zunguka katika sehemu niliyo lazwa, hata kinywa changu hakikuwa na nguvu ya kufunguka kutokana na maumimu makali niliyo yapata kutoka kwa wadudu walio nishambulia usiku mzima
“Ninaimani leo inakuwa ni siku ngumu sana kwako”
John aliendelea kuzungumza huku akiwa amesimama pembeni yangu akinitazama chini, sukuamini Yule John niliye kua nikimsaidia mambo mengi kipindi tunasoma leo hii ndio mtu anaye nifaniyia ukatili wa aina hii
“Mtoeni Yule Malaya”
Walinzi wao wakatii agizo walilo ambiwa na mkuu wao ambaye ni John, ndani ya dakika kadhaa wakarudi wakia wameongozana na mke wangu Phidaya, ambaye amechakaa kwa kiasi kikubwa huku nywele zake zikiwa zimechanguka kama mwenda wazimu, uzuri wake wote umepotea kwenye sura yake, sura yake imejaa alama nyingi za vidole ikishiria kwamba kuna mtu au watu walimpiga muda mchache ulio pita
“Eddy ninakumbuka kipindi tunasoma kombi ya
PCB, ulikua unapenda sana kuwapasua vyura kuona ni kitu gani kipo ndani ya matumbo yao, sasa leo na mimi ninahitaji kumpasua mke wako nione ni kitu gani ambacho amekibeba ndani ya tumbo lake hadi likawa kubwa kiasi hichi” John alizungumza huku akianza kuvaa gloves nyeupe, macho yangu yakakutana na macho ya Phidaya ambaye muda wote anabubujikwa na machozi mengi usoni mwake, akaanza kutingisha kichwa pasipo kutambua ni nini maana ya yeye kukitingisha kichwa chake
“Ohhh naona wifi anahuzuni sana, ila John nimepata wazo”
Victoria alizunguimza huku akimtazama John anaye chagua chagua kisu kikali kwenye moja ya meza fupi iliyomo ndani ya godauni hili
“Wazo gani mke wangu”
“Mimi ninaona tumpe uchaguzi wifi yangu kipenzi”
“Ehee endelea mama”
“Mimi ninaona achague kati ya haya mambo mawili, kumfanyia upasuaji na ukitoe hicho kiumbe cheke au amuue mume wake kwa mikono yake yeye mwenyewe”
Nikamuona jinsi Phidaya alivyo stuka na kuzidi kumwagikwa na machozi mengi usoni mwake, nikamtazama Phidaya ambaye amechanganyikiwa kwa mambo aliyo ambiwa na Vicvtoria
“Yeee hilo ni wazo zuri mpenzi, yaap Shemeji, uamuzi upo mikononi mwako, una dakika mbili za kujifikiria, wewe kuondoka duniani, au wewe kumuondoa mume wako duni ani”
John akaivua saa yake ya mkononi na kumkabidhi Phidaya, akimuomba afanye kama alivyo agizwa.Phidaya akanitazama mimi kwa macho yaliyo jaa uchungu kisha akamtazama John anaye piga mluzi, ulio jaa dharau.
“Dakika zinakwisha shemeji”
Phidaya akajiinamia chini, kisha akanyanyanyua kichwa achake na kunitazama tena kwa mara nyingine pasipo kuzungumza kitu cha aina yoyote.Akamrudishia John saa yake kisha, akanyoosha mkono wake kwa John akiashiria kwamba kuna kitu anakiomba
“Nini?”
John alimuuliza Phidaya aliye baki amemnyooshea mkono mmoja pasipo kusema kitu cha aina yoyote
“Kisu”
John akatabasamu na kuchagua kisu kikubwa kiasi chenye ncha kali na kinacho ng’aa, akamkabidhi Phidaya, aliye kishika vizuri na kuanza kupigha hatua hadi sehemu niliyo lala, macho yangu yakanitoka kwani sikuelewa Phidaya anataka
kufanya kitu cha aina gani
“Eddy ninakuomba unisamehe, nafanya hivi kwa ajili ya mwanangu aliye tumboni mwangu, ninaimani nizawadi tosha uliyo nipatia mimi”
Phidaya alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake na kunitazama kwa macho makali.Machozi yakaanza kunimwagika taratibu
“Phi…d….”
“Shemeji usimsikilize huyo muue”
John alizungumza kwa sauti kali, iliyo zidi kumtetemesha Phidaya aliye changanganyikiwa
“Usipo muua ninakufumua tumbo lako hilo, kubwa hilo sasa upo tayari kupoteza maisha yako na
mwanao?”
John aliendelea kuzungumza kwa sauti ya ukali na yajuu kiasi
“Hembu jitazame wewe mwenyewe, jinsi ulivyo mzuri, mwanamke mwenye kupendeza, hadi sasa hivi sijatambua ni kwanini unapata tabu kwa ajili ya mpumbavu mmoja, ambaye sijuu mumekutana wapi?”
John aliendelea kumshawishi Phidaya kufanya anacho hisi kwao kitakuwa ni furaha
“Wifi, mbona wanaume wapo wengi tuu, utapata wanaume wazuri zaidi ya huyo mume wako, huu ni wakati wako sasa, uhai wako upo juu ya mikono yako”
Victoria naye aliamua kusema kitu juu ya Phidaya aliye anza kuchanganyikiwa na kujikuta akiwa amekishika kisu kwa mkono mmoja, taratibu Phidaya akaikutanisha mikono yake kwa pamoja katika kishikizo cha kisu, taratibu akaanza kuinyanyua juu akijiandaa kikishusha kwenye mwili wangu na wala sikujua ni wapi kitwakwenda kutua
“I say kill him”
John aliendelea kuzungumza kwa kufoka huku akimtazama Phidaya anaye mwagikwa na jasho mwili mzima, sikuwa na uwezo wa kufanya kitu cha aina yoyote kutokana mwili wangu wote imefungwa kwa kamba
“Eddy am sorry”
Phidaya akakishusha kisu kwa nguvu, kabla hakijatua kwenye kifua changu akakisimamisha na kukitupa pembeni na kuniangukia kifuani mwangu na kunikumbatia huku akilia kwa sauti ya uchungu
“Nakupenda mume wangu, wewe ni baba wa wanangu, siwezi kukuua kwani sijui nitamjibu nini
mwanangu pale atakapo uliza yupo wapi baba”
Phidaya alizungumza huku akiendelea kunikumbatia kifuani mwangu, machozi yakeendelea kunimwagika huku nikimtazama
Phidaya, Phidaya akasimama kwa hasira na kumtazama John
“Kama unataka kuniua niue tu, ila siwezi kumuua mwanaume wa maisha yangu, niliye jiapiza kwamba sinto weza kumuacha katika maisha yangu yote hadi ninaingia kaburini”
Phidaya alizidi kuzungumza kwa hasira huku akiwa amelishika tumbo lake kwa mkono wa kulia, akichechemea na kumfwata John aliye pigwa na butwaa
“Ni mangapi aliyo kusaidia rafiki yako Eddy, ni vitu vingapi alivyo kutendea Eddy, leo hii unataka kumuangamiza mbele yako, unataka kupelekeshwa na huyo mzungu wako.Kumbuka huyo sio muafrika mwenzio, kumbuka huyo ndio aliye kunyanyasia wazazi wako.Leo hii bado unaende………”
Victori akapimtandika Phidaya kibao kilicho muangusha chini, ila Phidaya akanyanyuka na kusimama, huku akiyumba yumba mithili ya mlevi.Gafla nikaanza kuona maji maji mengi yakichuruzika kwenye miguu ya Phidaya, ambaye alianza kulishika tumbo lake, huku akilia kwa uchungu mkali sana.Nikaanza kujibiringisha taratibu nikilisogelea eneo alilo lala Phidaya huku akiendelea kulia kwa uchungu
“Eddy……”
Phidaya aliita huku akilia kwa uchungu, miguu yake akiwa aimeipanua, jasho jingi likianza kumwagika
“Ba……by p..usssh”
Nilizungumza kwa kujikaza huku nikiwa sina msaada wowote kwa mke wangu, John na watu wake wakabaki wakiwa wametukodolea mimacho huku wengine wakicheka kwa dharau, Victoria akataka kuja sehemu tuliyopo mimi na Phidaya ila John akamzuia, huku akimshika mkono.
“Acha tuone watafanyaje”
John alizumngumza kwa dharau
“Push baby”
Nilizungumza huku machozi yakiendelea kunimwagika usini mwangu Phidaya akazidi kujikakamua, huku akiendelea kulia, kutokana Phidaya ni nesi kidogo kuna mbinu za uzalishaji aliana kuzitumia kwani hapakuwa na msaada wowote kwake zaidi ya mimi kumchochea kwa maneno aweze kumsukuma mtoto atoke nje
“Anakuja baby anakuja”
Phidaya alizungumza kwa uchungu huku akiendelea kuzidi kujikakamua kumzaa mtoto wetu, wazo likanijia haraka, japo ninamaumivu makali mwili mwangu ila nikajigeuza haraka na kuiweka miguyu yangu karibu na miguu, ya Phidaya aliye
zidi kujikaza katika kumleta kiumbe change duniani. Nikamshuhudia mwanangu akitoka taratibu na kufikizia kwenye miguu yangu, Phidaya akajitahidi hadi mtoto wangu wa kiume akalala kwenye miguu yangu, iliyo fungwa kamba kwa pamoja
“Duuuu hongereni sana”
John alizungumza huku akiichomoa bastola yake kiunoni
“John unataka kufanya nini?”
Victori alizungumza, huku akimtazama John aliye anza kuifunga bastola yake kiwambo cha kuzuia sauti
“Sifanyi chochote mke wangu”
John akanisogelea hadi sehemu tuliyo jilaza, akanitazama kwa muda, mimi pamoja na mwanangu aliye anza kulia
“Mwanao ni mzuri sana”
John alizungumza huku akimtazama mwanangu pamoja na mama yake aliye jilaza, akiwa ameishiwa nguvu za mwilini mwake
“Goodbye my friend”(Kwaheri rafiki yangu)
John alizungumza kwa sauti ya upole nikastukia risasi kadha zikitua kifuani mwangu na kuninyamazisha kimya katika sehemu niliyo lala
ENDELEA KUDWATILIA SIMULIZI HII, KUPITIA WHATSAPP KWA MALIPO YA SH. 3000 TU KWA MWEZI, NO 0657072588, NITAKUTUMIA INBOX BAADA YA MALIPO, KAMA ULILIPA PESA YAKO NA HUKUPATA HUDUMA KWA SABABU ZILIZOPO NJE YA UWEZO WANGU, NITEXT INBOX WHATSAPP, FACEBOOK NAWE NITAKUHUDUMIA.ASANTE
WRITTER……………………………………….
G.MSULWA
www.storyzaeddy.blog.com
ILIPOISHIA
John akanisogelea hadi sehemu tuliyo jilaza, akanitazama kwa muda, mimi pamoja na mwanangu aliye anza kulia
“Mwanao ni mzuri sana”
John alizungumza huku akimtazama mwanangu pamoja na mama yake aliye jilaza, akiwa ameishiwa nguvu za mwilini mwake
“Goodbye my friend”(Kwaheri rafiki yangu)
John alizungumza kwa sauti ya upole nikastukia risasi kadha zikitua kifuani mwangu na kuninyamazisha kimya katika sehemu niliyo lala
ENDELEA
***
Sauti ya milio ya ndege nikaanza kuisikia kwa mbali kwenye masikio yangu, taratibu nikajaribu kuyafumbua macho yangu kuweza kuona n kitu gani kinacho endelea ila, ukungu mwingi umawa umetawala kwenye mboni yamacho yangu, jamvo lililo nifanya nisione kitu cha aina yoyote, nikajaribu kupapasa katika sehemu niliyo lala, nikagundua kwamba nimelalia kitanda cha kamba, ila sikuweza kutambua ni sehemu gani niliyopo.Muda jinsi ulivyo yoyoma ndivyo nilivyo weza kugundua kwamba eneo nililopo, kuna watu wanao zungumza lugha nisiyo ijua
"Nipo wapi?"
Nilijarivu kuzungumza huku nikijitahidi kunyanyuka kutoka katika kitanda nilicho lala ila milono ya watu si chini ya wanne wakanirudusha kulala tena kwebye kitanda.Sauti za wanaume pamoja na wanawake zikaendelea kupenya kwenye masikio yangu, nilipo anza kusikia milio ya watoto wadogo wakicheza na wengine kulia ndipo nilipo amini kwamba eneo hili ni salama kwa maisha yangu
Nikawasikia wakiendelea kunong'oneza, mara sauti ya kike ikasikika, ambayo sikuweza kuisikia tangu wàlipo anza kuzungumza watu hawa, ambao hadi sasa hivi siwezi kuwaona vizuri zaidi ya vivuli vyenye giza, vilivyo simana pembeni ya kitanda nilicho kilalia.Nkasikia wakiyazungumza maneno niliyo yasema dakila kadhaa za nyuma nikiwauliza kwamba hapa nilipo ni wapi
"Hei"
Sauti ya msichana hiyo ilinisemesha, ila sikujua anataka kusema kitu gani
"Nipo wapi, dada?"
Nliyarudia maneno yangu niliyo yazungumza hapo awali
"Unazungumza kiswahili wewe?"
Msichslana huyo aliniuliza, kwa lugha ya kiswahili jamvo lililo nifanya nizidi kufarijika moyoni mwangu na kuamini kwamva nimepata mwokozi katika wakahi huu mgunu nilio nao katika yangu maisha
"Ndio, ndio dada"
Niliitikia kwa haraka ila hata ninaye zungumza naye asibadili mawazo ya kunisaidia mimi
"Unaitwa nani?"
"Eddy, Eddy dada yangu"
Nikamsikia msichana huyo akizungumza na wezake huubakilitaja jina langu, kwa wezake ambao ninaamini hawaijui lugha ya kiswahili tunayo zungumza
"Umetokea wapi?"
"Tanzania dada yangu"
"Ulikuja huku kufanyaje?"
"Wapi, kwani hapa ni wapi?"
Kabla sijajibiwa nilicho kiuliza nikasikia sauti za watu waliomo ndani ya chumba wakisalimia kwa pamoja kwa kutumia lugha wanayo izungumza, sauti nzito ya mwanaume ikaitikia na kuwafanya watu wote kukaa kimya ndani ya chumba tulichopo
"Mumesema, ameamka?"
Mwanaume huyo alizungumza kiswahili cha kuvuta maneo, akionekana kwamba hakifahamu vizuri
"Ndio baba, na anazungumza kiswahili"
"Amesema ametokea wapi?"
"Tanzania, ila hajanitaji ni sehemu gani"
Mwanaume huyo akaendelea kuzungumza kilugha chao, baada ya muda akatoka ndani ya chumba tulichopo
"Eddy baba amrsema tukuache upumzike"
"Ndoja kwanza, unaitwa nani?"
Msichana huyo akakaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha akajikoholesha kidogo kuliweka koo lake vizuri kisha akanijibu kwa upole
"Nitakujibu, ukiwa vizuri"
Nikamsikia akitoka ndani ya chumba nilichopo, nikajipapasa kifuani mwangu, na kukuta kitambaa kigumu kikiwa kimefungwa kuzunguka usawa wa kifua changu chote
"Ehee Mungu warehema, nisaidie mimi mja wako"
Nilizumgumza kwa sauti ya chini, huku nkihisi machozi yakinitiririka pembezoni mwa macho yangu.Kumbukumbu za maisha yangu ya nyuma nilipo kua bado mdogo zikaanza kunijia kichwani mwangu, picha ya sura ya mana yangu ikaanza kunijia kichwani na iukumbuka baadhinya matukio ya furaha aliyo kua akinifanyia
'Eddy mwanangu jaribu kuishinda hasira yako'
Nimaneno ya mama, niliyo anza kuyakumbuka vizuei na hili tukio lilitokea kipindi nilipo mpiga mwenzangu nilipo kua chekechea hadi akapoteza maisha akiwa anakimbizwa kupelekwa hospitalini
'Usiwe mjinga na wewe utakubali vipi kupigwa na mwanaumwe mwenzio'
Nimanenoya mzee Godwin, alipo kua akinifundisha mbinu za kupigana baada ya kupugwa sana na wezangu nilipo kua darasa la kwanza
'Mwanaume halisi, hupambana hadi dakika ya mwisho ya uhai wake'
'Hata ikiwezekana kutoa roho ya mtu wewe toa tu, ili mradi uwe msindi'
Nimaneno menfine ya mzee Godwin alipokua akinifundisha kadei siku zilivyokua zikienda jambo ambalo alinifanya na mimi ka katili na roho ya kinyama tangu nilipo kua mdogo.
'Uwe unasamehe saba mara sabini, kwani Mungu anawasamehe wale wote walio mkosea'
Nimaneno mengine ya mama, alipokua akinifundisha kusoma biblia kabla ya kulala, kwani alipenda kunikuza katika mazingira ya kidini na kumujua Mungu
'Mimi baba yako, nihodari sana wa kuua pale ninapo kua kwenye uwanya wa vita, risasi yangy moja inapo toka kwenye mdomo wa hii bastola yangu, hua nilazima imuangamize mtu'
Maneno ya Mzee Godwin yakaendelea kujirudia kwenye akili yangu, siku hii alikua akinifundisha kulenga shabaha kwa kutumia bastola take tukiwa shambani, tulipo kwenda kuwinda nguruwe pori waliokuwa wakila mihogo yetu
'Jitahidi kumuomba Mungu mwanangu kwani yeye ndio muweza wa kila jambo, usimruhusu shetani akaitawala roho yako'
Mana alijitahidi kadri ya uwezo wake kunishawushi kuwa kijana mwema. Maumivu makali yaliyo changanyika na uchungu moyoni mwangu, yakaanza kunitawala, hapa ndipo nilipo gundua, maisha yangu yameharibika kwa kufwata maneno ya baba, na kuyaacha maneno ya mama, ambae siku zote alinihasa niwe kijana mwema, mbaya zaidi baba niliyekua nikimuamini kwa kila alicho niambia, mwisho wa siku amekuja kya adui yangu namba moja, hii ni baada ya kugundua kwamba mimi sio mtoto wake, bali ni wapacha mwenzake
Siku zikasonga mbele nami ndivyo nilivyo zidi kupata unafuu wa machi yangu, pamoja na kifua changu ambacho kilipigwa baadhi ya risasi na rafiki yangu John, ikafika kipindi macho yangu yakapona kabisa kutokana na kutibiwa kwa dawa za kienyeji zilizo nipa uponyaji huu, hapa ndipo nikaruhusiwa kutoka njie ya nyumba ya nyasi niliyo kuwa nimekaa kwa kipindi kirefu kidogo, mazingura ya wanakijiji yakanishangaza kwani mavazi waliyo yavaa, yametengenezwa na ngozi za wanyama, hususani wanaume, vinguo vyao vya chini, ni ngozi ili juu ya vjfua wapo vifua wazi.Nikiwa ninaendelea kuwashangaa wanakijiji hawa, ambao nao pia wanaonekana kunishangaa kwa jinsi nilivyo, jamaa mmoja mwenye misuli mikubwa na mweusi akanifwata na kwaishara akaniomba nimfwate nyuma, sikuwa mbishi nikaanza kumfwata huku tukikatiza kwenye mitaa tofauti ya kijiji hichi chenye nyumba nyingi, zilizo tengenezwa kwa udongo na kuezekwa kwa nyasi juu ya mapaa yao.Tukafika kwenye moja ya jumba kubwa lililo zingirwa na wanaume wenye vifuavyenye miraba miine, wengine hasi miraba sita, mikononi mwao wakiwa wameshika mikuki lamoja na ngao, na muda wote wakiwa makini na kila iangiae katika jumba hili, lililo jengwa kwa aina yake
Tukaingia kwenye moja ya ukumbi mkubwa ambao nikakutana na wasichana wengi walio vifua wazi, hiku sehemu zao za siri zikiwa zimefunikwa kwa vijingozi vidogo, mikononi mwao wameshika mikia ya simba, na farasi ambayo wanaitumia kumpepea kila anaye ingia sehemu hiyo.Jamaa akanionyesha sehemu ya kusimama, akaniacha hapa na kuondoka zake, niliwa ninaendelea kusimama sauti nzito ya mwanaume nikaisikia ikitokea kwenye nyumaa ya pazia lililopo kwenye ukumbi huu ikiniita jina langu, akatoka mwanaume wa makamo, aliye valia ngozi ya chui, mwilini mwake huku kwenye bega la kushoko kukiwa na kichwa cha chui huyo,
"Unaonekana sasa unaendelea vizuri sio?"
"Ndio kwa sasa ninaendelea vizuri kiongozi"
"Safi ila mimi siitwi kiongozi bali ninaitwa chifu Kambute"
"Chifu KAMBUTE?"
"Ndio, karibu uje kuketi hapa karibu yangu"
Nikapiga hatua hadi kwenye kiti chaje kilicho tengenezwa kwa miti migumu sana, nikakaa pembezoni mwa kiti cheke kama alicyo niamuru kufanya.
"Kwanza pole kwa yaliyo kukuta bwana Eddy"
"Asante sana chifu Kambute"
"Vijana wangu walikuokota kwenye moja ya mto, ambao naji yake, yanakwenda kwa mfumo wa maporomoko, ulikutwa ukiwa na hali mbaya walikuchukua na kukuleta hapa nikawaamuru wakujenge kibanda chako, ili waganga wangu waweze kukufanyia huduna hadi leo ukapona"
"Asante sana chifu Kambute"
Nilizungumza huku nikipiga magoti chini, kama ishara ya kumshukuru kwa alicho nifanyia. Akaniruhusu ninyanyuke na kukaa kama nilivyo kaa mwanzoni
"Nilifurahi sana kusiki kwamba unajua kuzungumza kiswahili fasaha, na pia nilifurahi kusikia umetokea Tanzania"
"Kwa nini Chifu Kambete?"
"Mwaka 1975, baba yangu alinipeleka nchini Tanzania, kwenda kusoma,ambapo alibikabidhi kwa rafiki yake Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kipindi hicho alikua ni raisi wa nchi ya Tanzania"
Ilinibidi nimshangae chifu huyu, kwani ninaimani anaitambua vizuri Tanzania, japo hadi sasa hivi sijijui nipo wapi
"Kipindi hicho cha makaburu hapa nchini Afrika kusini, hakiwaruhusu watu wengi kupata elimu, na ukibagatika kupata elimu basi ni yamasharti makubwa inayo fundisha utamaduni wao. Baba yangu alinipeleka kule kisuri, kutokana alikua ni chifu katika kijiji hichi cha Kambute, Nilikaa Tanzania kwa Miaka zaidi ya kumi na tano, ambapo, nilibahatika kuzaa na mwanamke mmoja, alikua akiitwa Maria"
Sauti ya chifu kidogo, ikapungua uzito wake, huku machozi yakianza kunlenga lenga usoni mwake,
"Maeia alikufa, kipindi mwanangu akiwa na umri wa miaka mitatu, ilinilazimu kurudi naye huku, ambapo nilimkuta baba akiwa katika hali mbaya sana, naye hakukaa sana alidariki dunia kutokana na magonjwa yawakumbayo wazee wengi."
Kijistori cha chifu kilinisisimua mwili wangu sikujua ni kwanini ameamua kuzungumza maneno mengi kwangu.
"Pole sana chifu"
"Nimesha poa"
Chifu Kambute, hakuendelea kuzungumza kitu cha aina yoyote zaidi ya kuondoka na kuagiza nibadilishiwe mavazi nivae kama walivyo vaa wao. Japo kwangu ni ngumu sana kuvaa nguzo za wanyama kama nguo ili ilinibidi kufanya hivyo.Taratibu nikaanza kuyazoea mazingira ta watu wa hichi kijiji, chifu akaniomva niingie kwenye jeshi la kijiji hichi, ambapo nikaanza kufundishwa taratibu jinsi ya kutumia silaha za asili katika kupambana, ikiwemo kutumia majambia makali. Nilistushwa na makofi ya mtu yakitokea nyuma yangu, baada ya kufanya vizuri katika mapambano yangu na jamaa mmoja miongoni mwa askari katika eneo la kufundishiwa kupigana
"Hongera sana"
Sauti ya msichana huyu haikuwa ngeni sana kwangu, kwani niliisikia kipindi nilipo kua bado ni mgonjwa wa macho. Msichana huyu ni mrefu kiasi, huku umbo lake likia limekaa kimazoezi sana, japo ni mrembo kisura ila mazingira aliyo kiweka ni tofauti sana na mazingira wanayo jiweka wasichana wanao jijua wai niwarembo, msichana huyu akachomoa upanga wake, akashuka kwenye farasi aliye mpanda na kuja katika eneo nililo simama, askari wote wakatuzunguka.
Gafla msichana huyu akaanza kunishambulia kwa haraka kwa kutumia upanga wake nkali ni mrefu kiasi, ikanilazimu na mimi kujitetea kwa upanga wangu. Kila nilivyojaribu kujikinga na upanga wangu ila msichana huyu anaonekana hodari sana katika kutumia upanga, nikastukua akinipiga mtama na kuanguka chini, huku ncha ya upanga wake ikielekea kwenye koo langu
"Vipi unahitaji kuendelea kupambana?"
Aliniuliza huku akihema sana na jasho lilimwagika kwani mapigano tuliyo yafanya nimajali kupita maelezo. Kutokana na kuchoka sana sikuwa na haja ya kuendelea kupambana naye, akanipa mkono na kuninyanyua juu
"Ninaitwa Lutfia"
Alijitambulisha jina lake, nikataka kuzungumza jina langu akanizui
"Unaitwa Eddy, ulisha niambia jina lako"
"Wewe ndio yule uliye, zungumza nami siku ya kwanza?"
"Ndio mimi, ila unahitaji kufanya sana mazoezi, ili kuwa askari mzuri"
Lutfia alizungumza huku akimpanda farasi wake
"Jioni tutaonana nina mazungumzo na wewe"
"Wa....."
Tatari Lutfia alisha ondoka na farasi wake na kuniacha nikiwa nimeshangaa.Nikarudi katika kibanda changu ninacho ishi, nikakaa kwenye kitanda changu cha kamba, huku jasho likinimwagika, nikajichunguza msili wangu nikagundua kuna mabadiliko makubwa sana kwani kifua changu kimekua kikubwa na kugawanyika kama askari wengine, hii nikutokana na mazoezi magunu niliyo patiwa kwa kipindi kirefu tangu afya yangu ilivyo tengemaa
"Kuna haja ya kuondoka, siwezi kuendelea kuishi kwenye mazingira haya"
Nilizungumza mwenyewe, nikaletewa chakula kama kawaida ya mama huyu anàye niletea chakula.Nikamaliza kula na kuelekea kwenye mto ambao tunautumia kuoga askari wa kijiji hichi kila ifikapo jioni. Nkawakuta baadhivya askari wakioga, nikavua kinguo cha kingozi changu, amoja na upanga wangu ambao muda wote ninatembea nao, nikaingia kwenye mto na mimi nikaanza kuoga.
Kwa mbali nikamuona Kutfia akiwa amesimama kwenye moja ya kilima kilichopo karibu na mto huu, nikawatizama askari wote wanao oga nikawaona wapo bize na stori zao, Lutfia akaniita kwa ishara, nikatoka ndani ya mto na kuvaa kingozi changu, nikazuga zuga na kuondoka pasipo askari wezangu kustukia kitu chochote. Nikapandisha hadi eneo alipo Lutfia, akaniomba nilande kwenye farasi wake, sikusita sana, nikapanda na kukaa nyuma yake na kuondoka katika ene hili, akanipeleka kwenye moja ya msitu akamsimamisha farasi wake, sote tukashuka.
"Nifwate?"
Tukaingia ndani zaidi ya msitu, ulio tulia sana ukiwa hauna kelele za viumbe wengine zaidi ya kusikia hatua zetu tunazo tembea.
"Huku ni wapi?"
Lutfia hakunijibu zaidi ya kugeuka na kunitaza, akapiga hatua hadi sehemu niliyo simama, akanitazama usoni mwangu kwa muda, akaipitisha mikono yake shingoni mwangu, akauleta mdomo wake karibu na mdomo wangu ila nikaukwepesha, mdomo wangu, na taratibu nikaichomoa mikono yake, shingoni mwangu. Nikatoa upanga wangu na kuanza kupiga hatua za taratibu, kuelekea mbele tulipo kua tunakwenda kwani kuna kitu nilihisi.
Gafla nikastukia kusikia kelele za Lutfia, nikageuka nyuma haraka nikakuta akiwa ameshikwa na mijitu minne yenye nguvu huku sura zao zikiwa zimechorwa, kadri nilivyo zidi kuishangaa ndivyo ilivyo zidi kuongezeka na kufika ya mijtu kumi na saba huku akiwa na marungu makubwa mikononi mwao
ENDELEA KUDWATILIA SIMULIZI HII, KUPITIA WHATSAPP KWA MALIPO YA SH. 3000 TU KWA MWEZI, NO 0657072588, NITAKUTUMIA INBOX BAADA YA MALIPO, KAMA ULILIPA PESA YAKO NA HUKUPATA HUDUMA KWA SABABU ZILIZOPO NJE YA UWEZO WANGU, NITEXT INBOX WHATSAPP, FACEBOOK NAWE NITAKUHUDUMIA.ASANTE
www.storyzaeddy.blog.com
Gafla nikastukia kusikia kelele za Lutfia, nikageuka nyuma haraka nikakuta akiwa ameshikwa na mijitu minne yenye nguvu huku sura zao zikiwa zimechorwa, kadri nilivyo zidi kuishangaa ndivyo ilivyo zidi kuongezeka na kufika idadi ya mijtu kumi na saba huku akiwa na marungu makubwa mikononi mwao
SASA ENDELEA
Nikaushika upanga wangu vizuri, nikijiandaa tayari kwa mashambulizi dhidi ya hii mijitu, iliyo tisha. Tararibu ikaanza kunizunguka, huku ikiwa imeshika marungu yao kwa umakini.
"Mungu nusaidie"
Nilizungumza kimya kimya huku nikiendelea, kuushikilia upanga wangu ambao una urefu kiasi. Gafla majitu hayo yakaanza kunishambulia, kutokana na uzoefu nilio upata dhidi ya kutumia upanga, haikuniwi ugumu wowote katika kujibu mas uh ambulizi ya kijitu hii, inayo onekana haiña mbinu kabisà za kupambana, kwani ninajikuta nikiimaliza kijinga kwa kuikata vichwa vyao
Kwa bahati nzuri, Lutfia akapata nafasi ya kujitoa kwenye mikono ya mijitu iliyo mkamata, likawa ni zoezi moja tu, lakuhakikisha tunaishambulia mijitu hii hadi tunaiua yote, kutokana na uhodari wetu wakupambana, tukafanikiwa kuiua yote, jambo lililo tupa uhakika wa sisi kuishi
"Eddy umechoka?" Lutfia aliniuliza
"Hapana sijachoka"
"Tuondoke hili eneo si salama"
Tukapanda kwenye farasi, na kuindoka katika eneo tulilo kuwa. Tukàfika karibu na kijiji, nikashuka kwenye farasi na kumuacha Lutfia atangulie kududi, ili kuepusha hisia mbaya zitakazo jengwa miongoni mwa wanakijiji, dhidi yetu.
Nikafika kwenye kijumba changu, sikuingia ndani nikatafuta mti uliopo karibu na kijumba changu nikapanda, kutokana ni usiku sikuhitaji nilale ndani, kwani bado nimapema
"Nimepakbuka nyumbani" Nilijisemea kimya kimya
"Nitarudije lakini?”
"Hakuna jinsi nilazima nitoroke hapa ki....."
Nikastushwa na mlio mkali wa king'ora kilichopo hapa kijijini, moti mkali kutoka kilipo kijiji, ukaniogopesha na kunifanya nikae kwa umakini, kuchunguza ni nini kinacho endelea, kelele za wamama na watoto zikazidi kurindina kijiji kizima, huku moto ukiendelea kuteketea. Kwa haraka nikashuka juu ya mti, nikaanza kukimbia kuelekea kilipo kijiji, kabla sijafika, nikashuhudia jinsi wanakijiji wanavyo uliwa na watu wenye bunduki, pamoja na mabomo yakurusha kwa mkono
"Ohhh Mungu wangu!"
Nilihamaki huku nikiwa, sihui chakufanya. Baadhi ya askari wakijiji, wameanguka chini baada ya kushambuliwa kwa risasi, kitu kiluchozidi kunichanganya ni baada ya kumuona Lutfia akiwa amezingirwa na watu hao wenye bunduki nzito na mara nyingi bunduki hizi hutumika kwenye vita vya mataifa makubwa kama Marekani.
"Upanga hauto saidia chochote"
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiendelea kujibanza kwenye mti mkubwa, nikishuhudia jinsi wanakijiji wanavyo patishwa matesona watu hao.
Mlio mkali wa helcoptar, ukasikika ukitokea mashariki mwa kijiji, nikaichungulia Helcoptar hiyo, nikaishuhudia ikitua taratibu sehemu yenye uwazi, ambapo ndipo walipo kusanywa wanakijiji, pamoja na chifu wao. Askari mmoja kati ya wengi walio kishambulia kijiji, akakimbilia hadi sehemu ilipo Helcoptar, akafungua mlango, wa helcoptar.Akashuka mwanadada mmoja aliye valio nguo nyeusi, kuanzia juu hadi chini, huku kichwa chake akikivisha kofia nyeusi, huku baadhi ya nywele zake akizishusha eneo la uso wake na kufucha jicho moja kama anavyo fanya mwanadada, mwanamuziki Rihana.
Akashuka jamaa mwengine, ambaye naye amevalia nguo nyeusi, kofia pamoja na miwani nyeusi. Wakapiga hatua hadi, walipo wanakijiji walio wekwa chini ya ulinzi. Wakaanza kuwakagua wanaume wote, walio amrishwa kupiga magoti, huku mikono yao wakiwa wamevishika vichwa vyao. Jamaa huyo akaanza kurusha rusha mikono kama mtu aliye changanyikiwa, baada ya kukagua wanaume wote, akaivua kofia yake na kuitupa chini.
Nikastuska, baada ya kuiona sura ya mtu huyu, ambaye usoni mwañgu si mgeni sana japo jiña lake, bado halinijii kichwani kisawasawa, akamfwata chifu, aliye pigishwa magoti kwa amri ya wa ajeshi hao. Akaichomoa bastola yake kiunoni na kuielekezea kichwani mwa chifu
Kutokana na umbali waliopo sikuweza kusikia nimaswali gani anayo muuliza çhifu, anaye kuwa mbishi kujibu, gafla nikamuona Lutfia akimsukuma jamaa huyo aliyekuwa akihitaji kumfyatulia baba yake risasi, kwa jinsi vitendo anavyo vifanya Lutfia, vinaashiria kumuimba jamaa huyo, amuadhibu yeye na si baba yake.
Jamaa akamtandika Lutfia kichwani, kwa kutumia kitako cha bastola yake, nakumfanya chifu anyanyuke kwa hasira, kabla hajamkabili jamaa huyo, msichana aliye shuka naye kwenye Helcoptar, akafyatua risasi kadhaa zilizo muangusha chifu chini kama gogo kubwa.
"God...!"
Niligamaki, huku nikimshuhudia Chifu, anavyo tapatapa chini, akikata roho, askari mmoja wa kijiji akajaribu kunyanyuka, ila akarudishwa chini kwa risasi, alizo pigwa kwenye miguu yake. Jamaa akachukua kipaza sauti na kuanza kuzungumza
"Natambua upo hapa kijijini, nipo hapa kwa ajili yako, rafiki yangu kipenzi Eddy"
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio hukunikijiiza swali, ni kwanini hawa watu wapo kijijini kwa ajili yangu.
"Hutaki uje tupige stori? Njoo basi rafiki yangu Eddy. John nipo hapa ninakusubiri"
Hasira ikazidi kuyaongeza kasi mapigo yangu ya moyo, picha kadha kichwani mwangu zikaanza kujirudia kwa kasi, kama mkanda wa video, unao rudishwa nyuma. Picha za kumbukumvu zikasimama, katika tukio la John, kunipiga risasi za kifua baada ya mke wangu Phidaya kujifungua, miguuni mwangu
"Ohhhh Eddy, hutaki? Basi ngoja niondoke zangu.Ila kabla sija ondoka nina ujumbe kutoka kwa mke wako na mwanao Jimy"
Maneno ya John yakazidi kunichanganya, sikua na lakufanya kwabi askari wake wapo zaidi ya hamsini na wote wana bunduki mikononi mwao.
"Mke wako, na mwanao wanakuhitaji rafiki yangu. Ndio maana nikaamua kuja kukutafuta, baada ya kusikia upo hài. Kaka mimi na wewe ni marafiki wa damu. Tafadhalu njoo twende nyumbani, ukamuone Jimy wako"
Maneno ya John yaliyo jaa ushawishi, wakibinadamu sikuyapa nafasi katika kichwa changu, kwani asinge fanya alicho kifanya kwa wanakijiji wezangu
"Ohhh ngoja nimpigie simu, umsikie mkeo"
John akatoa simu yake mfukoni, akaiweka sikioni mwake kwa sekunde kadhaa, kisha ajaisogeza karibu na kipaza sauti chake
"Mume wangu Eddy, ninakupenda sana.Nimeishi mbali nawe kwa miaka mitatu sasa, ninakuomba urudi nyumbani, mwanao ananisumbua kila siku kusema baba, baba."
"Nakuomba Eddy wangu, urudi. Ngoja nimsikilizishe mwanao simu. Jimy talk to dady"(....Jimy zungumza na baba)
"Halloo Dady, where are you? I mis you. Came back home"(Halloo baba, upo wapi? Nimekukumbuka, rudi nyumbani)
Sauti ya mtoto mdogo ilisikia vizuri masikioni mwangu, jambo lililozidi kunitatiza nakunipa wakati mgumu sana, japo sauti ni yamke wangu Phidaya ila sikufanya maamuzi yoyote kwenye kichwa changu
"Muambiw baba, umekua wa kwanza darasani"
Sauti ya Phidaya ilimuamrisha mtoto huyo anaye semekana niwakwangu
"Dady nimekua first in class"
Mtoto, alichanganya kiswahili na kingereza, jambo lililo nipa wasisi wa kuhisi kuna kamchezo kanacho endelea katikati yao. John akakata simu na kujikoholesha kidogo
"Eddy umesikia hiyo. Mke wako, mwanao, wote wanakuhitaji wewe. Njoo twende zetu rafiki yangu"
John alizungumza huku akitazama kila pande ya eneo walilopo, akitarajia kuniona, tarativu nikajikuta nikikaa chini, huku machozi yakinimwagika. Nikautazama upanga wangu kwa umakini, kisha nikachungulia walipo, nikamuona John akikikamata kitoto kimoja chenye umri wa miaka kama mitatu
"Eddy mwanao anafanania na huyu"
John ilizungumza huku akimbembeleza bembeleza mtoto huyo, anaye lia kwa sauti ya juu, hii ni baada ya kutolewa kwenye mikono ya mama yake aliye lazwa chini
"Eddy muda unakwenda, njoo tuondoke. Sasa hivi ni saa saba usiku. Unasubiri ninj rafiki yangu. Au unataka ukae na hawa watu wako, walio vaa nusu uchi eheees?"
John aliendelea kuzungumza huku, akizunguka zunguka katika eneo walilopo, mkononi akiwa na mtoto aliye endelea kupaza sauti ya mayowe.
Gafla John akamgeuza mtoto, kichwa chini, miguu juu, huku akiwa amemshika kwa mkono mmoja, mguu wakulia.
Kitendo cha John kumshika, mtoto huyo hivyo, kikanikumbusha jinsi Derick alivyo mshika mtoto wangu, niliye zaa na Madam Mery.
"Eddy hujui ni jinsi gani, ninavyo chukia kupotezewa muda. Huku mijitoto inayo lia kama hii, inavyo zidi kunicchanganya akili yangu"
John akakitupa kipaza sauti chini, pasipo kua na huruma, akachomoa bastola yake na kuzimimina risasi kadhaa tumboni mwa mtoto huyo, na kumtupa chini kama mzoga
"Fuc......"
Nilizidi kupandwa na hasira iliyo ufanya mwili wangu wote kutetemeka. Vilio vya wamama vikazidi kuutesa moyo wangu, nikamuona John akikiokota kipaza sauti, huku akicheka kwa dharau
"Ohhhhh Eddy, naondoka, ila hili ulilo liona linakwenda kumkuta mwanao Jimy"
John akamrushia kipaza sauti, msichana aliye kuja naye, naye akamkabidhi askari mwengine kipaza sauti. Wakaondoka, wakaingia kwenye Helcoptar yao na kuondoka.
Askari wao wakaondoka kwa umakini, na kutokomea pasipo julikana.
Nikasubiri kwa muda, wa nusu saa, ndipo taratibu nilipo anza kutembea walipo wanakijiji wanao omboleza kwa machungu, vifo vya wapendwa wao. Kila mwanakijiji anaye niona, ananitazama kwa macho makali yaliyo jaa jazba.
Macho yangu yakakutana na macho ya Lutfia, aliye pembeni ya mwili wa baba yake, aliye fariki dunia. Nikatembea kwa haraka hadi ulipo mwili wa chifu, kabla sijaugusa, nikastukia, Lutfia akinisukuma kwa nguvu na, nikaanguka chini
"Eddy, hupaswi kuugusa mwili wa baba yangu. Haya yote wewe ndio chanzo. Umekisababishia kijiji changu matatizo...."
"Lutfia ila si mimi niliye waua hawa wote"
"Wewe, ni chanzo Eddy, nakuanzi sasa hivi ninakuomba uondoke kijijini kwangu, la sivyo utakwenda kuungana na kifo cha hawa wote walio tangulia mbele za haki"
Lutfia alizungumza kwa msisitizo, huku machozi yakimwagika, ñà kifua chake kikipanda na kushuka kwa kasi akionekana kujawa na jazba kubwa dhidi yangu.
WASILIANA NAMI KUPITIA 0657072588/0768516188. PIA NICHEKI INSTAGRAM @eddy_msulwa NAKUTAKIA SIKU NJEMA
WRITTER……………………………………….
www.storyzaeddy.blog.com
Macho yangu yakakutana na macho ya Lutfia, aliye pembeni ya mwili wa baba yake, aliye fariki dunia. Nikatembea kwa haraka hadi ulipo mwili wa chifu, kabla sijaugusa, nikastukia, Lutfia akinisukuma kwa nguvu na, nikaanguka chini
"Eddy, hupaswi kuugusa mwili wa baba yangu. Haya yote wewe ndio chanzo. Umekisababishia kijiji changu matatizo...."
"Lutfia ila si mimi niliye waua hawa wote"
"Wewe, ni chanzo Eddy, nakuanzi sasa hivi ninakuomba uondoke kijijini kwangu, la sivyo utakwenda kuungana na kifo cha hawa wote walio tangulia mbele za haki"
Lutfia alizungumza kwa msisitizo, huku machozi yakimwagika, ñà kifua chake kikipanda na kushuka kwa kasi akionekana kujawa na jazba kubwa dhidi yangu.
ENDELEA SASA
"Lu....."
"Eddy nimesema ondoka"
Lutfia alizungumza kwa kupaza sauti, hadi wanakijiji wote wakatutizama sisi, natambua hawajui lugha tunayo izungumza ila, matendo yanaashiria kwamba Lutfia hataki kuniona mbele ya macho yake. Nikamtazama Chifu, huku machozi yakinilenga lenga. Midomo ya Lutfia, inatetemeka kwa kufura kwa hasira, uzuri wake alio kua nao umetoweka kabisa. Taratibu nikauweka chini upanga wangu, kisha nikasimama na kutazamana na Lutfia aliye nitumbulia mimacho kiasi cha kunifanya nimuogope. Kila mwana kijiji ninaye mtazama sura yake imetawaliwa na majonzi mengi, wamama wengine wakiwa wanalia kwa uchungu huku wakigara gara kwenye vumbi, wakionyesha ni jinsi gàni, walivyo umizwa na tukio zima lililo tokea muda mchache ulio pita.
Sikumuangali mtu yoyote usoni zaidi ya kugeuka na kuanza kutembea kwa mwendo wa haraka, ulio changanyika na hasira kali. Nikafika kwenye kijumba changu, nikachukua kibuyu changu, ninacho hifadhia maji ya kunywa, nikachukua na kisu changu cha akiba, na kutoka nje ya kibanda changu. Nikautizama mji jinsi unavyo teketea kwa moto, hasira dhidi ya John ikazi kunipanda. Nikaanzà kutokomea msituni, nikijaribu kutafuta njia ya kutokea kwenye kijiji hiki, kutokana na hasira pamoja na uchungu ulio nitawala moyoni mwangu, nikajikuta nikitembea hadi kuna pambazuka, pasipo kuchoka.
Nikafika kwenye moja ya mlima mrefu, ulio zingirwa na miti mingi, kwa mbali nikaanza kusikia mngurumo wa gari, likipita eneo la karibu na mlima huu, kwa haraka nikashuka, nikiufwatisha mgurumo huo ni wapi unapo tokea. Kwabahati nzuri nikaiona barabara ya lami, iliyo chongwa kwenye mlima huu. Matunaini ya kufika ninapo pahitaji yakaanza kunijia moyoni mwangu.
Nikasimama, katikati ya barabara. Sikuona aibu kwa jinsi nilivyo vaa nusu uchi, huku sehemu zangu za siri, zikiwa nimezifunika na ngozi ya chui. Mlio wa gari sikuusikia tena, kwani ninahisi lilisha pita, kabla ya mimi kuifikia barabara. Nikaendemea kuzunguka zunguka maeneo ya barabara, nikijaribu kusubiria kama ninaweza kupata usafiri.
Gafla gari moja ndogo, likapita kwa kasi pasipo kufanikiwa kulipungia mkono, ila halikufika mbali sana, likasimama. Dereva wa gari hilo akaanza kulirudisha nyuma kwa kasi, hadi sehemu nilipo simama. Kioo cha upande wa dereva kikashuka, nikamuona mvulana mmija wa kizungu, àkiwa na mchumba wake, wakabaki wakinishangaa kwa jinsi nilivyo vaa.
Binti wa kizungu akatoa kamera yake, aina ya digital, na kuanza kunipiga picha, huku akiwa amesimama upande wa lili wa gari, nikaanza kuwafwata taratibu
"Casey get in the car"(Casey ingia ndani ya gari)
Mvulana huyu, alizungumza kwa haraka baada ya mimi kilikaribia gari lao, kabla hajafanya chochote, nikawahi kuingiza mkono kupitia upenyo wa kioo alicho kifungua. Nikachomoa funguo ya gari lao, nakulifanya lizime. Jamaa akashuka, huku akiwa amekasirika, akajaribu kunirukia, ila nikamuwahi kumtuliza kwa ngumi ya shingo iliyo muangusha chini na kuzimia hapo hapo.
Msichana akajaribu, kukimbia ila nikamuwahi na kumdaka, nikambeba begani na kumrudisha ndani ya gari. Nikachomoa kisu changu na kumuwekea kooni mwake huku kidole changu kimoja kikimpa ishara ya kukaa kimya la sivyo nitamkata kichwa. Nikaufunga mlango wake, ña kuzunguka upande wa pili, sehemu alipo anguka mpenzi wake. Kwa haraka nikamvua nguo mpenzi wake, na kuzivaa mimi japo hazinitoshi sana ila nikazilazimisha kukaa mwilini mwangu.
Nikachukua soksi za jamaa, na kumkandamiza nazo mdomoni, kisha nikamnyanua na kufungua, uoande wa pili wa gari. Kwa bahati nzuri nikakuta kamba, kwa haraka nikamfunga miguuni na mikononi. Kisha nikamuwena vizuri nyuma ya gari, hii yenye viandishi vidogo vilivyo andikwa Verosa, kisha nikafunga, nikarudi alipo mpenzi wake.
Nikamkuta akihangaika na simu yake, akijaribu kupiga namba anazo zijua yeye, kwa bahati mbaya, maeneo tuliyopo hakuna mawasiliano.
Nikampokonya simu yake na kuiweka mfukoni mwangu
"Ukijaribu kufanya ujinga wowote, nitakuu"
Nilizungumza kwa sauti ya ukali nikitumia lugha ya kingereza, jambo lililo mfanya binti huyo kushangaa, kwani nahisi alijua kwamba mimi ni mtu misiye jua lugha yoyote zaidi ya lugha ya jamii niliyo tokea
Nikawasha gari na kuondoka, huku mara kwa mara niki muamrisha binti huyu kunielekeza barabara ya kufika kwenye mji wowote. Mwendo wa karibia masaa tisa, tukafika kwenye moja ya mji wenye nyumba, nyingi sana zilizo tengenezwa kwa mbao
"Hapa ni wapi?"
"Soweto"
Casey alinijibu kwa kifupi huku, akiwa amenuna, kwani hajafurahishwa na uwepo wangu mimi, ndani ya gari hili. Nikasimamisha gari nje ya baa moja, iliyo tulia sana,
"Mbona umesimamisha gari?"
"Nahisi njaa, nahitaji kula, nipatie pesa"
Casey akanitazama kwa woga, taratibu akaingiza mkono wake kwenye, mfuko wa suruali aliyo ivaa, akatoa noti moja ya dola mia na kunikabidhi, nikafungua mlango, kabla sijashuka, nikamgeukia Casey.
"Shuka ndani ya gari, tuongozane"
Casey hakuwa na kipingamizi zaidi yakushuka kwenye gari, tukaingia ndani ya baa hii kwa bahati nzuri tukakuta, sehemu wanauza chakula
"Wewe unaitwa nani?"
Casey aliniuliza kwa sauti ya chini, huku tukiendelea kukisubiria chakula tulicho kiagiza
"Eddy"
"Una jina kama la mchumba wangu"
"Yupi, huyo niliye mfungia kwenye buti ya gari?"
"Hapana, huyo ni kaka yangu, mpenzi wangu yupo hospitali"
"Anaumwa na nini?"
"Alishambuliwa na majambazi, wiki moja iliyo pita"
"Ohoo pole saña, ila hali yake inaendeleaje?"
"Sio nzuri, kwani yupo chini ya uangalizi wa madaktari, kwani alipigwa risasi nne za kifua, alipokua anapeleka pesa benki"
Casey alizungumza kwa sauti yaunyonge huku kwambali nachozi yakimlenga lenga, tukachukua chakula tulicho kiagiza na vinywaji, tukarudi kwenye gari
"Eddy nakuomba kitu kimoja"
"Kitu gani?"
"Ninakuomba umfuñgulie kaka yangu, nahisi atakuwa anajihisi njaa"
Casey aliniomba kwa utaratibu, nikamtazama kwa umakini, machoni mwake
Nikamkabidhi mfuko wa chakula nilicho kishika, nikazunguka nyuma ya gari, nikajifikiria kwa muda kisha nikakishika vizuri kitasa cha kufungulia buti ya gari.
Kabla sijafungua, gari ya polisi, ikasimama nyuma yangu, jambo lililo nifanya nisitishe zoezi, nikaanza kuondoka, nyuma ya gari
"Hei kijana"
Sauti ya askari mmoja ikaniita, nikageuka kwa kujiamini, na kuwatazama askari wawili walio simama mbele ya gari lao, dogo linalo endana na gari ninalo liendesha.
"Njoo"
Nikapiga hatua kurudi walipo, askari hawa walio zichomeka bastola zao viunoni mwao
"Fungua, buti ya gari. Tunahitaji kukagua gari yako"
Alizungumza askari mmoja huku akinifwata sehemu bilipo simama, nikaanza kuchanganyikiwa baada ya Casey kushuka ndani ya gari na kuja tulipo
"Ofisaa"
Casey alimuita askari mmoja, aliye simama akitutiza, Casey akanitazama kwa macho makali, jambo lililo wafanya askari hao kuipeleka mikono yao kwenye bastola zao walizo zichomeka viunoni.
WASILIANA NAMI KUPITIA 0657072588/0768516188. PIA NICHEKI INSTAGRAM @eddy_msulwa NAKUTAKIA SIKU NJEMA
www.storyzaeddy.blog.com
"Ofisaa"
Casey alimuita askari mmoja, aliye simama akitutiza, Casey akanitazama kwa macho makali, jambo lililo wafanya askari hao kuipeleka mikono yao kwenye bastola zao walizo zichomeka viunoni.
ENDELEA
Nikataka kurudi nyuma, ila nikajikuta miguu ikipata uzito wakutekeleza azma yangu ya kurudi nyuma. Askari wakazichomoa bastola zao, kwa haraka wakatusukuma mimi na Casey, tukaanguka chini.
"Laleni chini"
Askari mmoja alizungumza kwa sauti ya juu huku akianza kutambaa, wakielekea ilipo baa, tuliyo toka muda mchache. Milio ya risasi ikaanza kurindima, ndani ya baa, nikatazama vizuri, nikashuhudia kundi la majambazi walio valia makofia meusi vichwani mwao, yaliyo bakisha sehemu za macho yao, wakiwamrishà watu waliomo ndani ya baa hiyo kutoa walivyo navyo.
Ikawa kama mkanda wa kuigiza, kwani majambazi hao walianza kuwashambulia askari hao walio kua wakitambaa, mmoja wao, akapigwa risasi ya kichwa na mmoja wa majambazi, na ukawa ndio mwisho wa askari huyo, aliyetoka kuzungumza na Casey muda mchache ulio pita.
Nikamtazama Casey, na kumuona akijaribu kunyanyua kichwa chake kuchungulia upande walipo majambazi hao, na akaanza kupiga mayowe yaliyo wafanya majambazi kutazama eneo lilipo gari, letu.
"Weka kichwa chako chini, Casey"
Nilizungumza kwa sauti ya ukali, huku nikibingiria kwa haraka, na kumuwahi Casey aliyekuwa ameshikwa na butwaa, akimshuhudia askari aliye zungumza naye, jinsi ubongo wake ulio changanyikana na damu, ulivyo sambaa chini.
"Heiii, nisikilize wewe"
Nilizungumza huku nikimpiga piga Casey mashamvuni, ili arudi katika hali yake ya kawaida.
"Eheeee!"
Alizungumza huku akiwa amenitumbulia mimacho, asijue nini azungumze. Gari yetu ikaanza kushambuliwa kwa risasi na majambazi hao, huku sisi tukiwa upande wa pili wa gari hili. Nikatazama upande lilipo gari la polisi, nikachungulia kupitia durisha la gari, tulilopo nikao majambazi wawili wakilisogelea gari letu huku wakiendea kuzimimina risasi kwenye upande wa pili wa gari letu.
"Hei Casey, unaweza kutambaa?"
"Heee"
"Unaweza kutambaa?"
Casey akanijibu kwa kutingisha kichwa kwamba anaweza.
"Nakuomba, utambae uende lilipo gari lapolisi"
"Eddy una akili kweli wewe, unataka na mimi nife kama hao polisi?"
Casey alizungumza kwa sauti ya kuto kujiamini huku akinitazama usoni, huku jasho likimtiririka.
"Fanya kama nilivyo zungumza"
Nilizungumza, huku nikiwachunguli majambazi hao, wanao zidi kulisogelea gari letu lilipo.
Casey hakuwa na uchaguzi mwengine zaidi yakufanya nilivyo muambia kufanya. Kwa haraka akatambaa hadi lilipo gari la polisi na kujibanza huku akihema sana, macho yake yote yakawa kwangu. Ukimya ukatawala gafla, kwani majambazi waliacha kupiga risasi, nikachungulia nikawakuta wakinong'onezana, mmoja akaanza kunyata taratibu, akilisogelea gari nililopo, huku bunduki yake akiwa ameiishika vizuri mkononi mwake.
Nikakichomoa kisu changu, na kukishika kwa mkono wangu wa kulia. Taratibu nikanza kuhesabu moja mpaka tatu, kitendo cha jambazi huyo kuufungua mlango wa gari, upande wa dereva, ikawa ninafasi yangu kufanya shambulizi la kukirusha kisu changu kwa nguvu zangu zote, kisu changu
kikatua shingoni mwa jambazi aliye simama, hatua chache toka gàri lilipo, akatoa ukelele ulio mduwaza mwezake, aliye karibu yangu. Kwa haraka nikapanda juu ya gari, nikajizungusha kwa kasi, kwakuitumia miguu yangu, na kumpiga kichwani jambazi, akaanguka chini. Nikawahi kuochomoa bastola iliyo kiunoni mwake, na kumpiga risasi kadhaa za tumbo.
Nikakimbia kwa haraka, hadi kwenye moja ya gari, lililopo kwenye maegesho ya hapa baa, nikajibanza kutazama ni kitu gani kinacho endelea ndani ya baa. Jambazi mmoja akajitokeza mlangoni kuwachungulia wezake, alipo waona wamelala chini, akarudi ndani kwa haraka, sekunde kadhaa wakatoka majambazi wanne, wakaanza kufyatua risasi zao ovyo, pasipo kujua muhusika mkuu wa mauaji ya wezao wawili yupo wapi.
Sikuhitaji kufanya makosa, ambayo yangenigharimu maisha yangu. Kwa haraka nikanza kufyatua risasi zilizo wapeleka chini, majambazi wote wanne, Nikatoa magazini ya bastola, nikskuta imebakiwa na risasi nne tu.
"Shitii"
Nilizungumza huku nikiirudisha kwa harana Magazine hiyo ndani ya bastola, nikanyanyuka kwa umakini, nikaanza kukimbilia katika mlango wa kuingilia baa.
Nikachungulia na kuwakuta watu wote wakiwa wapo chini ya ulinzi mlali wa majambazi sita waliomo ndani ya baa hii, iliyo kusanya wateja wengi.
Jambazi mmoja, akajisumu kutoka nje, nikamrukia kwa nyuma na kumkaba kabali, huku nikimvuta pembeni kabisa ya mlango. Taratibu jambazi huyu akaanza kuiaga dunia, kwa nguvu zangu zote nikaivunja shingo yake.
"Nisalimie huko uendapo"
Nikamlaza chini, taratibu nikachukua bunduki yake àina ya 'Short Gun', Nikamvua jaketi lakuzuia risasi alilo livaa, nikaanza kushangaa baada ya kuguñdua jambazi huyu ni mwanamke.
Nikalivua kofia lililopo kichwani mwake, sikuamini macho yangu, kwani ni binti mdogo sasa, jinsi anavyo onekàña usoni mwake.
"Umekosa nini, binti mzuri kama wewe?"
Nilizungumza huku nikilivaa jaketi la kuzuia risasi. Kazi ikawa ni moja tu, kuhakikisha ninawamaliza mambazi wote. Haikuwa ngumu kwangu, kwani ndani ya dakika kadhaa nikafanikiwa kuwaua majambazi wote ndani ya baa hii. Mtu mmoja akaanza kupiga makofi, mwenzake wa pembeni naye akafanya hivyo, watu wote waliomo ndani ya baa wakaaendelea kunipigia makofi kwa kazi nzuri niliyo ifanya.
"Asanteni"
Nilizungumza, kwa kizulu jambo lililo zidi kuwafurahisha, walio na simu zao wakawa na kazi ya kunipiga picha, huku wengine wakichukua video. Casey akanifwata na kunikumbatia, huku akitokwa na machozi
"Vipi?"
Nilimuuluza kwa wasiwasi, huku kitu cha kwanza kukifikiria kichwani mwake ni kaka take, niliye muacha ndani ya buti ya gari lililo shambuliwa vibaya kwa risasi.
"Umeyaokoa maisha yangu"
Casey alizungumza huku akiendelea kulia
"Casey tuondoke"
Sauti ya kaka yake ilisikika, na kutufanya sote tutizame mlangoni na kumkuta àkiwa amesima, huku akiwa na nguo ya ndani tu. Akajistukia mwenyewe baada ya watu wote, kumshangaa.
"Naweza kupiga simu?"
Casey alimuuliza mmoja wa wahudumu aliye valia sare kama wahudumu wengine
"Ndio"
Casey akaonyeshwa simu iliyo kwenye moja ya ukuta ndani ya hii baa, akaniachia na kwenda kupiga simu, baada ya kumaliza akarudi nilipo simama
"Nimempigia simu baba, atafika muda si mrefu"
Ving'ora vya gari za polisi vikafika katika eneo la tukio
"Kumbe hawa nao hawana tofauti na wabongo"
Nilijisemea kimoyo moyo, huku nikiwatazama askari hawa wakiingia kwa mbwembwe ndabi ya baa hii huku, wakiwa na bunduki mikoni mwao
"Weka silaha yako chini"
Askari mmoja aliniamrisha huku, wakinielekezea bunduki zao.
Nikashangaa wazee wawili wakisimama mbele yangu huku, mikononi mwao wakiwa wameshika chupa za bia.
"Nyinyi muda wote mulikua wapi? Huyu kijana yeye ndio aliye waua majambazi wotw hawa, bila aibu munakuja sasa hivi"
"Kwanza hamshangai, jinsu tulivyo mzingira huyu kijana, munadhani ni jambazi?"
Wazee hawa walipokezana kuwatandika maswali askari hawa, walio baki wakibabaika wasijue nini chakuwajibu wananchi hawa waliopo ndani ya hii baa. Askari wakaachana na mimi, wakaanza kushuhulika na miili ya majambazi hao. Kundi kubwa la waandishi wa habari walio kuja baada ya askari kufika, wakaanza kunihoji naswali ambayo sikuyajibu hata moja.
"Eddy baba yangu amekuja"
Casey alizungumza huku, akinishika mkono na kutoka ndani ya baa. Nijakuta gari nne , nyeusi zinazo fanana, aina ya GVC, zika zimejipanga pembeni, huku zikiwa na vijibendera vidogo vya marekani. Walimzi wapatao kumi, walio valia suti nyeusi, pamoja na miwani nyeusi, wakashuka kwenye magari hayo. Kaka yake Casey akaongoza zilipo gari hizo, huku mkononi mwake akiwa ameshika kamera ya Casey, akashuka mzee mmoja mwenye mvi kichwani mwake.
"Eddy yule ni baba yangu"
Casey alizungumza huku akiendelea kunishika mkono nielekee zilipo gari hizo.
"Ngoja kwanza, siwezi kwenda kwa baba yako nikiwa kwenye halii hii"
"Wewe twende baba yangu hana tatizo"
Casey alizungumza huku akiendelea kunivuta, tukafika zilipo gari zao, akakumbatiana na baba take.
"Baba, huyu ni shujaa aliye yaokoa maisha yangu. Anaitwa Eddy"
"Eddy huyu ni baba yangu, ni balozi wa Marekani, hapa Afrika kusini"
Nikampa mkono, baba Casey naye akaupokea wa kwangu huku akiachia tabasamu pana.
"Asantw kijana kwa kazi nzuri uliyo ifanya"
"Asante mzee"
Casey akamuomba baba yake niweze kujumuika nao kwenda wanapo ishi, ikawalazimu walunzi kunikagua, mwili wangu kamakuna kitu kinaweza kuwadhuru. Wakachukua bastola yangu, wakaniruhusu kuingia ndani ya gari.
Sikupanda gari moja na Casey na baba yàke, gari nililo panda likari wawili walio kaa siti ya mbele mmoja akiwa ni dereva. Kwangu ikawa kama bahati kukutana na balozi huyu wa Marekani. Japo mama yangu ni waziri wa nchini Tanzania, ila sikuweza kubahatika kukutana ni viongozi wa nchi kubwa kama Marekani. Katika siti niliyo kaa, nyuma ya siti ya dereva kuna Tv ndogo inayo onyesha, vipindi mbalimbali. Matangazo ya kituo cha television kinacgo itwa ENEWS, kikaanza kuonyesha tukio la majambazi walio kufa, huku ikisadikika kundi hilo la majambazi lilikuwa likitafutwa na jeshi la polisi la Afrika kusini, zaidi ya miaka mitano sasa, pasipo mafanikio.
'NI MTU MMOJA TU, AMEWEZA KULISAMBARATISHA KUNDI HILO HARAMU'
Nimaneno ya mtangazaji wa taarifa hiyo, huku picha za video zikinionyesha, walivyo kua wakinihoji.
"Wewe ni askari?"
Mlinzi mmoja aliniuliza, pasipo kugeuka nyuma kunitazama
"Hapana"
"Umewezaje kutumia silaha?"
"Nilifundishwa na baba yangu, yeye alikua ni mwanajeshi"
"Yupo wapi?"
"Amesha kufa"
Nilidanganya, huku nikiangalia saa ndogo iliyopo pembezoni mwa dereva, ikionyesha ni saa sita usiku. Nikageza shingo yangu kutazama pembezoni mwa barabara, ambapo kuna bonde kubwa na endapo dereva akikosea basi tukianguka, huko bondeni tutakua tutasagika sagika bibaya,na isitoshe gari zote zipo kwenye mwendo kasi sawa kwa uzoefu wangu, spidi wanayo tembelea ni zaidi ya spidi mita mia moja. Matone matone ya mvua yakaanza kutotesha vioo vya gari letu tulilo panda, ambalo ni lapili kutokà mbele, kati ya msafata wa magari manne yaliyo ongozana. Kitu ninacho wasifu madereva hawa, ni utaalamu wao kukunja kona, bila kupunguza mwendo wa magari yao, zilizopo kwenye hii bararaba iliyo chogwa kitaalamu, pembezoni mwa mlima ninao weza kuufanan uliopo mkoani Iriñga ni Tanzania.
Nikiendelea kuitadhimini barabara hii, gafla nikastukia kuliona gari la mbele yetu, nikinyanyuliwa hewani na kitu kama bomu kutegwa, likazunguka hewani mara kadhaa na kutua chini, kitendo kilicho mfanya dereva wetu kufunga breki za gafla, zilizo lifanya gari kuserereka na kuligonga gari lililo anguka na kulisukumia bondeni, kwenye korongo refu, huku matairi ya mbele ya gari letu yakianza kutangulia kwenye korongo, huku ya nyuma yakijitahidi kubaki barabarani.
USIKOSE SEHEMU YA 77, SHARE NA LIKE HII POST. 0657072588 KWA MAELEZO ZAIDI.
www.storyzaeddy.blog.com
Nikiendelea kuitadhimini barabara hii, gafla nikastukia kuliona gari la mbele yetu, nikinyanyuliwa hewani na kitu kama bomu kutegwa, likazunguka hewani mara kadhaa na kutua chini, kitendo kilicho mfanya dereva wetu kufunga breki za gafla, zilizo lifanya gari kuserereka na kuligonga gari lililo anguka na kulisukumia bondeni, kwenye korongo refu, huku matairi ya mbele ya gari letu yakianza kutangulia kwenye korongo, huku ya nyuma yakijitahidi kubaki barabarani.
ENDELEA SASA
Macho yangu yote, yakahamia kwenye gari inayo kuka nyuma yetu kwa kasi kubwa, huku dereva wake akijitahidi kufunga breki zake, akitumia juhudi zake zote
Nikajiluta nikiyafunga macho yangu, kwani kitu kinacho fwata sekunde chache, ni dereva huyo, kutusindikiza kwenye korongo kama alivyo fanya dereva wetu, kwenye gari lilil kua mbele yetu.
Dakika kama mbili, hivi niliendelea kusikilizia ni nini kitatokea, kwetubila haikuwa hivyo. Mwanga mkali wa taa za gari lililo kua nyuma yetu, ukaendelea kunipiga machoni, ni sentimita chache sana, toka lilipo simama gari lililopo nyuma yetu, huku gari letu, likianza kunesa taratibu.
"Tutulie hivi hivi"
Dereva alizungumza huku akihema sana, askari walio kwenye magari ya nyuma wakashuka kwa haraka, kwenye magari yao, wakaja nyuma ya gari letu na kuanza kujitahidi kulivuta kwa nyuma. Kutokana na uzito wa gari ikawa ni kazi ngumu sana kwao kulivuta. Ikawalazimu kulishikilia na kutuomba tushuke haraka.
Sikutaka nipoteze muda, nikaufungua mlango wa nyuma katika siti niliyo kaa na kutoka nje haraka iwezekanavyo, huku walinzi nilio kua nao ndani ya gari wakitokea kupitia mlango nilio pitia mimi.
Walinzi wakaliachia gari, likaporomoka kwenye korongo. Nikiwa ninatazama huku na kule, nikawaona watu wakiwa juu kidogo ya mlima wakijipanga kwa ajili ya kufanya shambulizi
"Shitiii"
Bila hata ya kuomba, nikachomoa bastola moja ya mlizi aliyo ichomeka kiunoni mwake. Nikafyatua risasi mbili kwa jamaa aliye shika bunduki aina ya 'Snaiper' ambayo ni hatari sana, kutokana na uwezo wake mkubwa.
Mashambulizi yakaanza rasmi, na watu hawa ambao ndio walio tegesha bomu barabarani. Ikawa ni ambushi moja ambayo hakuna aliye itarajia kama inaweza kutokea kwa wakati huu, askari wawili wakapigwa risasi na kufa hapo hapo.
"Gari la balozi ni lipi?"
Nilimuuliza mlinzi mmoja, niliye simama naye karibu, tukiendelea kujibu mashambulizi ya wavamizi hawa, ambao wanapig a risasi kama wendawazimu
"Lile la mwisho"
"Nilinde"
Jamaa akaendelea kuwafyatulia majambazi risasi, huku mimi nikikimbia pembezoni mwa kuta ya mlima huu, jambo lililo gumu kwa majambazi kuweza kuniona. Nikafika lilipo gari la balozi, nikamkuta akiwa ameinama kwenye siti yeye pamoja na wanae, wakimuomba Mungu wao
"Muheshimiwa unaniamini?"
Nilimuuliza balozi mara baada ya kuingia ndani ya gari na kukaa, katika siti ya dereva.
"Ndio nakuamini."
Kutokana gari halikuzimwa, likanirahisishia wepesi wa kufanya jaribio la kumuokoa balozi pamoja na familia yake. Nikaangalia upenyo ulio achwa na gari, lililo simaba barabarani, nikaamini unanitosha kupita.
Mlinzi akanipa ishara nipite, yeye anaendelea kupambana na wavamizi hawa. Nikafanya kama alivyo agiza, kalilazimisha gari kupita kwenye uwazi wa gari lililopo barabani, chakushukuru Mungu likapita, ikawa kazi ni kwangu kuhakikisha ninasonga mbele.
Japo kuna risasi kadhaa zilipigwa kwenye gari letu, ila hapakuwa na iliyo adhiri matairi zaidi ya kuvunja vioo vya pembeni. Kwa mwendo kasi wa gari hili, ulinifanya niwe makini kwa kila kona ninayo kunja barabarani.
"Ohhh Mungu wangu! tunafwatwa nyuma"
Kaka yake Casey alizumgumza huku, akichungulia kwenye kioo cha nyuma kilicho jaa matundu ya risasi. Sikutaka hata kutazama nyuma kuzihofia kona za papo kwa papo, huku nyengine zikiwa ni kali sana.
"Wapo wangapi?"
”Pikipiki mbili na gari ndogo tatu"
"Muheshimiwa unaweza kutumia, silaha?"
"Eheee?"
Balozi alibabaika kwenye kunijibu swali nililo muuliza. Sikuwa na jinsi zaidi ya kuongeza mwendo kasi wa gari, ninalo liendesha. Tukafanikiwa kuingia kwenye barabara iliyo nyooka, hapa ndipo nikapata wakati mzuri wa kuwatazama wanao tufwata kupitia kioo changu cha pembeni.
"Hawa vijana ni kina nani?"
"Siwajui muheshimiwa"
Waendesha pikipiki, nikawaona wakilikaribia gari letu, kutokana na mwendo wao mkali. Nikapunguza mwendo taratibu
"Mbona unapunguza mwendo?"
Balozi aliniuliza huku akitetemeka, hata sauti yake haikutoka vizuri
"Najua nini, nafanya"
Nilimjibu kwa kujiamini, huku macho yangu yote yakiwa kwenye kioo cha pembeni nikiwatazama jinsi majambazi hao wakija kwa kasi, Nikakanyaga breki kwa nguvu zangu zote, huku nikilizungusha gari kwa mtindo wa duara, jambo lililo wafanya waendesha pikipiki hawa kulivaa gari letu, na kila mmoja akarushwa vibaya na kuangukia upande wake wa barabara.
Kutokana na uhodari wa gari hili, halikuweza kuyumba wala kuzima. Ila kilicho, niogopesha ni jinsi gari ilivyo geuka na kutazama tulipo tokea ambapo kuna gari mbili ndogo zinatufwata, na mbaya zaidi zipo karibu kutufikia.
Ikanilazimu kulirudisha gari kinyuma nyuma ili nipate, japo nafàsi la kuligeuza, nitakavyo jua mimi.
Nikiwa ninaendelea kurudi nyuma kwa mwendo wa kasi japo si sana nikaliona, gari tulili liacha sehemu tuliyo vamiwa likaja kwa kasi nyuma ya gari hizi mbili ndogo, zinazo tukimbiza.
"Ohhh wamelichukua hata hili"
Nilizungumza huku nikijitahidi kupata nafasi ya kuligeuza gari hili, ila kwa bahati mbaya upande nilio kuawepo mimi kuna gari kubwa la mizigo, likija kaa kasi huku dereva wake akijitahidi kunipigia honi, nimpishe upande wake, lasivyo anatugonga.
Nikalirudisha kwa haraka upande wa kushoto ambapo ndipo ninapo stahili kupita, dereva wa gari ambaye alikuwa upande mmoja na mimi, nikastukia akigongana uso kwa uso na gari hilo la mizigo, tukio lililo mstusha mwenzake ambaye nipo naye upande mmoja. Akajikuta akifunga breki, bila hata ya kutegemea gari lililo kuwa nyuma yake, likamvaa na yote kwa pamoja yakatoka nje ya baranara huku yakizunguka, na kutimua vumbi jingi, huku vyuma vya magari yao vikisagika ikiashiria kwamba yana gongonga kwenye mawe makubwa yaliyopo pembezoni mwa barabara.
Nikakanyaga breki, kusimamisha gari. Nikashusha pumzi nyingi, huku nikilitazama vumbi likielea angani.
"Kila mmoja yupo salama?"
"Ndio"
"Ndio"
"Ndio"
Kila mmoja alijibu kwa wakati wake, nikatazama upande wa mbele tulipo tokea, sikuona gari lolote likija, saa iliyopo pembeni yangu inaonyesha ni saa kumi na moja alfajiri. Taratibu nikaliemdesha gari hadi, hadi zilipo gari hizi mbili.
"Bakini ndani ya gari"
Nilizungumza kwa kujiamini, nikaichukua bastola yangu niliyo kuwa nimeiweka pembeni mwa siti, niliyo kalia. Nikafungua mlango wa gari na kushuka, huku nikiwa makini sana na tayari kwaa lolote litakalo jitokeza mbele yangu.
Nikafika ilipo gari ndogo, na kumkuta dereva akiwa amelalia mskani wake, ulio mbana maeneo ya kifuani. Nikamchunguza na kugundua bado anahema kwa shida, huku damu zikimtoka puani na mdomoni.
"Ni...ss..aid..ie"
Aliniomba msaada huku akinitaza kwa macho yaliyo mtoka. Mithili ya mtu aliye kwabwa na kitu kizito kooni.
"Nani aliye kutuma?"
"Nisa....i..die...ni.tamtaj...
Nikaikoki bastola yangu kuziandaa risasi kutoka, kidole changu kimoja kikianza kuivuta traiga, taratibu, huku nikiwa nimemuelekezea bastola kichwani kwake.
"Nakuuliza kwa mara ya mwisho. Ninani aliye watuma?"
Jamaa alipo litazama shimo dogo, la kutolea risaai la bastola, akayarudisha macho yake usoni mwangu.
"J....oh..n"
Jamaa, alinijibu kwa shida kubwa sana, na kichwa chake kikalegea, akiashiria ameiaga dunia. Kwa hasira nikamsindikiza huko aendapo kwa risasi moja iliyo tua kichwani mwake.
Nikasikia sauti ya mtu akikohoa kwenye gari, tulilo liacha sehemu ya tukio.
Nikaanza kutembea kwa umakini, huku bastola yangu nikiishikilia vizuri, nikamkuta yule amlinzi tuliye muacha eneo la tukio, akiwa amekaa chini huku ameliegemea gari, mkono wake mmja akiwa amejishika tumboni mwake, kunapo vuja damu nyingi, sura yake ikiwa imechanika chanika kwa kuchwana na vipande vya vioo vya gari.
Alipo niona akatabasamu kidogo, huku akikohoa na kumwaga madonge ya damu mdomoni mwake.
"Muheshimiwa yu..po salama?"
"Ndio yupo salama"
Nilimjibu, huku nami nilipiga goti chini, nikijaribu kumtazama ni nini kilicho mpata sehemu ya tumbo.
"Asante kwa msaada wako, wewe ni mwanaume shujaa."
Alizungumza huku, akitabasamu na kukohoa juu.
"Damu nyingi, imenitoka. Suwezi pona"
Alizumgumza maneno haya baada ya kujaribu, kumpa huduma ya kwanza. Akanishika mkono wangu wa kulia
"Toa pochi yangu, kwenye......mfuko wa nyuma"
Nikaitoa pochi, akaniomba niifungue na kitu cha kwanza kukiona na kitambulisho chake chenye jina la George Jr.
"Fungua, upande wa pili"
Nikafungua na kukuta, picha mbili moja akiwa mdogo na nyingine akiwa amesimama na msichana aliye nifanya niitumbulie mimacho picha hiyo.
"Chukua hii chane, naomba umtafute dada yangu anaitwa Victoria, umkabidhi hii cheni."
George Jr. Alinikabishi cheni aliyokua ameivaa shingoni mwake. Huku taratibu, akianza kuyapepesa macho yake. Akanyayua mkono wake taratibu, huku alitetemeka, akanipigia saluti na kukata roho.
Taratibu machozi yakaanza kunimwagika, nikayafunika macho yake kwa kupitia kiganja cha mkono wangu wa kulia. Nikageuka nyuma, nikamkuta baloIi akiwa amesimama na watoto wake, huku Casey machozi yakimwagika. Nikanyanyuka taratibu, na kwenda lilipo gari na kuingia. Nikaitazama picha ya George aliyopiga na Victoria. Nikajikuta donge la hasira likinibana kifuani mwangu.
Nikasikia milio ya helcoptar, nikawasha gari kaa haraka, ila Casey akanikimbilia
"Eddy tupo, salama hao ni wanajeshi wa Marekani, wanakuja"
Casey alizumgumza huku, akichungulia dirishani. Helcoptar mbili zikashuka hewani na kusimama, katikati ya barabara. Wakashuka wanajeshi wengi, wenye bunduki mikononi. Balozi akaanza kuzumgumza nao, huku kaka yame Casey, akipewa nguo ajisitiri mwili wake.
Wakatuchukua, sote wanme na kuondoka huku, Helcoptar nyingine ikibaki, na wanajeshi kadhaa wakiupima pima mwili wa George Jr.
Tukafika makao, makuu ya jeshi la Marekani lililopo hapa, nchini Afrika kusini. Tukapewa huduma za kwaza ikkwemo vifungua kinywa, kwani hatukupa chakula kwakipindi kirefu. Matumbo yalipo kaa sawa, nikatambulishwa mm wa baadhi ya wakuu wa jeshi. Wengi wao wakanisifu kwa kazi nzuri na pevu, niliyo ifanya.
Tukapelekwa kwenye moja ya hoteli kubwa, tukiwa chini ya uangalizi mkali wa jeshi. Balozi Brayan Daniel, hakusita kunitambulisha kwa kila rafiki yake ambaye, huku akinimwagia sifa kedekede. Tukakaa hotelini, kwa siku nne, ambapo Balozi Brayan Daniel akaendelea na majukumu yake ya kazi, huku akiniomba niwaliende watoto wake kwa kipkndi kifupi kabla hatujaenda Marekani, kuhudhuria mazishi ya askari walio kumbwa na tukio la uvamizi.
Mida ya saa sita mchana, ikafika gari katika hoteli tuliyopo, huku akija muwakilishi wa balozi, akituomba twende ofisini kwake, tukakutane na baadhi ya viongozi wa hapa nchini Afrika kusini. Tukajiandaa, kila mmoja akavalia mavazi tuliyo numuliwa siku kadhaa, tumaingia ndani ya gari, huku mimi nikiwa makini kuhakilisha Casey na kaka yake wapo salama salmini.
Tukafika kwenye ofisi za ubalozi wa Marekani, tukapokelewa vizuri na kupelekwa kwenye ofisi za balozi, ambapo tulimkuta yupo na watu baadhi, wanao onyesha kua ni viongozi. Tukakaa kwenye viti vilivyo andaliwa kwa ajili yetu.
"Jamani mutatiwia radhi kidogo kwa kuchelewa kufika kwenye halfa hii"
Sauti ya John, ilisikika kutokea mlangoni, akiingia akiwa ameongozana na Victoria, mpenzi wake.Pasipo kutazama waliopo ndani ya ofisi John na Victoria, wakakaa kwenye viti vyao na kukamilisha idadi ya watu ishirini na tano, tuliomo humu ndani, Nikaivua miwani yangu nyeusi niliyo ivaa, nikamuona John, akilegeza mdomo wake kwa kunishangaa, huku naye Victoria akiinamisha kichwa chini kwa aibu, wasiju nini cha kufanya. Huku nikiwakazia macho yaliyo jaa hasira kali kama Simba.
USIKOSE SEHEMU YA 78, YA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA. WASILIANA NAMI SIMU NO 0657072588. USIKAE MBALI NA PAGE HII KWANI KUNA OFA KABAMBE, ITAKUJIA HIVI KARIBUMI NA SI YAKUKOSA.
www.storyzaeddy.blog.com
Pasipo kutazama waliopo ndani ya ofisi John na Victoria, wakakaa kwenye viti vyao na kukamilisha idadi ya watu ishirini na tano, tuliomo humu ndani, Nikaivua miwani yangu nyeusi niliyo ivaa, nikamuona John, akilegeza mdomo wake kwa kunishangaa, huku naye Victoria akiinamisha kichwa chini kwa aibu, wasiju nini cha kufanya. Huku nikiwakazia macho yaliyo jaa hasira kali kama Simba.
ENDELEA SASA
Ukimya wa sekunde kadhaa, ukakatiza huku macho yangu nikiyahamisha kutoka kwa John, kwenda kwa Victoria. Swali la kwanza kujiuliza ni kuhusiana na John anahusika kivipo kwenye huu mkutano, hiyo moja mbili anamahusiano gani na balozi wa Marekani bwana Brayan Daniel.
"Nashukuru kwa kufika kwenu, kwa maana nyinyi ni wachache kati ya wengi nilio tamani wafike hapa."
Balozi B.Daniel alizungumza huku akiwa amesimama.
"Lengo langu la kuwaita hapa, ndugu zangu, ni kumtambulisha shujaa wangu, aliye jitolea kuyaokoa maisha yangu na familia yangu.”
"Huyu ninaye mzungumzia hapa si mwengine bali ni Eddy Godwin."
Balozi alininyoonyea mkono, watu wote wakapigaiwemo Jonh na Victoria.
"Japo nimepatwa na pigo, lakuwapoteza vijana wangu, kumi katika shambulio lile, Ila kusema ukweli ni jbo la kumsukuru sana Mungu, kwa kijana Eddy kujitokeza na kuweza kuitetea nafsi yangu. Pasipo kujali yeye ni nani, ila ni kitu kikubwa sana kufanywa na mtu wa kawaida."
Kila muda ulivyo zidi kwenda, ndivyo nilivyo jikuta nikizidi kupandwa na hasira kali, hata yañayo zungumzwa ndanivya hichi chumba sikuweza kuyasikia hata kdogo.
Matukio baadhi aliyo yafanya John, yakanza kunisumbua akilini mwangu, taratibu nikajikuta nikitokwa na machozi ya uchungu sana. Casey akaniangalia kwa muda, kwa haraka akanifwata nilipo kaa
"Eddy una tatizo gani?"
Watu wote wakabaki wakitutizama mimi na Casey. Mapigo ya moyo hayakusita kunienda mbio hadi nikaanza kujihisi kizungu zungu. Nikaanza kujishangaa, baada ya kuona jinsi matone ya damu yakianza kunitoka puani
"Muiteni dokta"
Nikajaribu kunyanyuka, ila kizunguzungu kikali, kikaniyumbisha kabla sijaenda chini, Casey aksniwahi, akisaidiana na kaka yake.
Macho yakaanza kujaa ukungu mwingi ulio nifanya niwaine watu wawili wawili. Nikamuona John, akitabasamu. Huku akinyanyuka kwenye kiti alicho kikalia.
"Tupeni nafasi, tumuhudumie."
Sauti za madkari, nilizisikia kama sauti ya kengele zinazo gongwa.
"Nakufa"
Nilizungumza kwa sauti ya chini, sana, huku nikizidi kujihisi vibaya.
***
Nikastuka gafla, kabla sijanyanyuka, nikastukia nikirudishwa chini, kitandani na dada mmoja aliye valia mavazi meupe.
"Tulia kaka yangu."
"Nipo wapi?"
"Hospitali"
"Kwañi ninaumwa?"
"Ndio"
Nikatizama pembeni, nikaona dripu la maji likishusha kiwango cha maji kwenye, mishipa ya mkono wangu wa kushoto, kupitia mrija wake mwembamba ulio unganishwa na sindano yake na kuchomwa kwenye sehemu ya kukunjia mkono.
"Unajisikiaje?"
"Vizuri"
"Basi tulia, dripu hili likiisha, unaweza kuruhusiwa"
"Litachukua muda gani?"
"Mmmmm masaa kama mawili hivi, kwani ndio nimekuwekea muda huu"
Nikajichnguza mwili wangu, na kujikuta nikiwa na mavazi niliyo yavaa, mchana. Saa ya ukutani inaonyesha ni saa moja jioni. Nesi akatoka ndani ya chumba, dakika jadhaa akaingia Casey na kaka yake.
"Unaendeleaje Eddy?" Çasey alizungunza.
"Nipo poa"
"Pole kaka Eddy"
"Asante Bruño"
"Baba yupo, na daktari, wanazungumza kuhusiana na tatizo lako"
"Daktari amesema nina tatizo gani?"
"Amesema kwamba, una...."
Bruno akamziba Casey mdomo asizungumze, anacho taka kukisema kwa muda huu.
"Hapana kaka Eddy, huna tatizo mwaya."
Nikatabasamu huku nikimtazama, Bruno na Casey, nikatambua kwamba kuna tatizo tu, ila nahisi wameambiwa wasizungumze.
"Mbona umemziba mwenzako mdomo?"
"Hapana, anapenda kuongea ongea sana huyu."
"Si uniaçhe, nizungumze.."
Bruno akamziba tena mdomo, Casey na kujikuta wakianza kugombaba, kama jawaida yao.
"Heii jamani acheni kugombana”
Casey akatoka chumbani kwa hasira na kuubamiza mlango. Bruno akaachia msunyo mkali na kukaa katika sofa lililomo ndani ya hichi chumba.
"Bruno hivi, mbona unapenda kugombana na Casey?"
"Ahaa domo lake, lipo wazi sana"
"Sawa, hivi yule jamaa aliye ingia, baada ya sisi kufika una mfahamu?"
"Yule ndio nina mfahamu, ni rafiki mkubwa sana wa baba"
"Tangu lini?"
"Kivipi yani?"
"Namaanisha wamejuana lini?"
"Tangu mwaka jana, tunakuja hapa Afrika kusini, tukitokea Marekani."
"Ahaaa"
"Tena yule John, ana roho nzuri sana. Haswa yule mke wake."
"Chanzo cha baba, kua rafiki na yule John. Walitoa Hotel yao sisi kuishi tangu tunakuja hadi tulipo pewa nyumba, tuliyo andaliwa. Kwani balozi aliye pita kabla ya baba, alifariki kwa ajali ya ndege."
"Kwa hiyo vitu vyake havikuamishwa, kwenye ñyumba tunayo ishi, sasa hivi. Ikatulazimu kuishi Hotelini, John akajitolea hoteli yake tuishi bure kwa kipindi chote"
"Ahaaa"
"Hata ile Hotel tunayo kaa sasa hivi ni ya John na mke wake"
"Kweli?"
"Ndio"
"Kumbe nimatajiri dana ehee?"
"Ndio nimatajiri sana, ila nasikia kwamba utajiri wao ni wakuridhi, kutoka kwa baba yake Victoria, ambaye kwa sasa ni marehemu"
Nikastuka, huku nikimtazama Bruno, akili yangu ikaenda moja kwa moja katika tukio walilo lifanya John na Victoria kutaka kumuua baba yangu.
"Huyo baba yake, Victoria anaitwa nani?"
"Kwakeli simfahamu, ila nilisikia kwamba baba yake alijinyonga, chumbani kwake. Inasadikika alikuwa na ugonjwa wa kichaa"
Nikahisi mwili wangu, ukisisimka, kwani John amechukua, kila kitu kwenye maisha yangu. Kuanzia mali za baba yangu. Hadi familia yañgu.
Muda wa kuruhusiwa, ukawadia. Daktari akaniomba azungumze na mimi. Tukaingia ofisini kwake na kukaa kwenye viti vilivyomo humu ndani.
"Tumekufanyia uchunguzi wa kina, tukakukuta na matatizo mawili kwenye mwili wako. Endapo hayata fanyiwa uharaja wa matibabu, unaweza kupelekea kifo chako. Bwana Eddy."
Daktari alizungumza huku akinitazama machoni mwangu. Wasiwasi haukuacha kunitawala usoni nwangu.
"Ninaumwa na nini Daktari?"
"Tatizo la kwanza, ni hasira iliyo pitiliza kiwango. Ambayo ikikupanda sana, inapelekea mfumo wako wa mapigo ya moyo kukuenda kasi sana. Moyo unapeleka kasi damu kwenye mishipa mbali mbali mwilini mwako. Na ndipo kuna baadhi ya damu, zinatoka puani mwako."
"Ukishindwa kujizuia hasira yako, itapelekea mishipa ya damu kupasuka, hapo utakua ni mwisho wako wa kuishi duniani"
"Tatizo la pili, tumegundua kwamba, unayemelewa na ungonjwa wa Saratani, ya damu."
Nikahisi mwili mzima ukifa ganzi, kwani sikifikiria kama nitaumwa nà ugonjwa wa Canser, tena ya damu
"Ila usiwe na wasi, nimezungumza na muheshimiwa, utakwenda kufanyiwa matibabu Marekani. Na saratani itakwenda kupona, kwani ndio ipo kwenye hatua za mwanzoni mwanzoni."
Daktari akanikabidhi dawa, za kunywa pale nitakapo jihisi vibaya.
"Siwezi kufa hadi nirudishe, kila kitu alicho kichukua John kutoka mikononi mwangu.”
Nilizungumza kimoyo moyo huku, nikitoka chumba cha daktari, nikajumuika na balozi, pamoja na wanae kurudi hotelini.
Siku mbili, zikapita na hali yangu ikazidi kuimarika. Kila asubuhi nikawa na jukumu la kufanya mazoezi, ili kuuimarisha mwili wangu. Nikiwa nimevalia nguo za mazoezi, raba pamoja na earphone, nikibrudika kwa mziki, kupitia Ipad aliyo nipa Casey, jana usiku. Nikaendelea kukimbia barabanani, huku saa yangu ya mkononi, ikinionyesha ni saa kumi na moja alfajiri.
Katika barabara ninayo kumbia, hakuna wa watu wengi, zaidi ya mtu mmoja mmoja, ninao kutana nao wakifanya mazoezi kama mimi ya kukimbia.
Nikamkuta dada mmoja aliye vali, suti ya kijivu, Akionekana kuchanganyikiwa, kwani gari lake analo liendesha, limepata pacha tairi la mbele.
"Samahani kaka"
Aliniita baada ya kumpita kidogo, nikavua earphone zangu, na kugeuka kumsikiliza ahahitaji kuzungumza na mimi kitu gani.
"Ndio"
"Nakuomba, unisaidie kubadilisha tairi la hili gari."
Nikamtazama juu hadi chini, pasipo kumjibu chochote. Nilipo ridhika na udadisi wangu, nikamsogelea.
"Kwani ilikuaje?"
"Nimekuta tu tairi, likiisha upepo"
"Toa hilo jengine"
Akazunguka nyuma ya gari lake kwa haraka, akatoa tairi pamoja navifaa vingine vya kusaidia kubadilishia tairi la gari. Nikaanza kazi ya kulifungua tairi lenye pancha, huku yeye akiwa na kazi ya kunibadilisha kila spana nitakayo muomba anipatie.
Haikuchukua muda sana, nikamaliza kumfungia tairi lake jipya.
"Asante sana"
"Usijali"
Akafungua mlango wa upande wa dereva, na kutafuta kitu. Kutokana sikuhitaji kulipwa, nikaanza kuondoka babla sijapiga hatua hata sita nikasikia akiniita.
"Kaka subiri uchukue zawadi yako"
Nikageuka, sikuamini macho yangu kwani, nikakutana na bastola aliyo ishika huyu dada, akinielekezea mimi
"Tulia hivyo hivyo, ukijaribu kupiga hatua nitakufumua ubongo wako."
Alizungumza huku akiwa ameishika, bastola yake kwa mkono mmoja, huku mkono mwingine akiwa na simu.
"Ninaye hapa"
Alizungumza kupitia, simu yake. Wala sikujua ànazungumza na nani. Mbaya zaidi siwezi fanya chochote kutokana hii barabara imenyooka sana, na haina sehemu ya kujificha. Gari nne nyeusi, zenye muundo wa gari kama zinazo bebea pesa za mabenki, zikafunga breki katika eneo tulilopo. Wakashuka watu walio valia ñguo nyeusi, makofia meusi yaliyo waficha sura zao, na kubakishs macho yao tu. Kila mmoja mkononi mwake ameshika bundiki, na wote wakanizungu huku wakinitazama kwa umakini.
USIKOSE SEHEMU YA 79. WASILIANA NAMI KWA SIMU NO 0657072588 AU 0768516188.
www.storyzaeddy.blog.com
eddymsulwa@yahoo.com
eddazariaM@gmail.com
0657072588/0768516188
Instargram @Eddy_Msulwa
Gari nne nyeusi, zenye muundo wa gari kama zinazo bebea pesa za mabenki, zikafunga breki katika eneo tulilopo. Wakashuka watu walio valia ñguo nyeusi, makofia meusi yaliyo waficha sura zao, na kubakishs macho yao tu. Kila mmoja mkononi mwake ameshika bundiki, na wote wakanizungu huku wakinitazama kwa umakini.
ENDELEA
Mmmoja wao akatoa amri ya mimi kuiamsha mikono yangu juu, nikatii pasipo kubishana. Akatoa amri nyingine ya mimi kulala chini, hapo ndipo nilipo anza kuleta ubishi, kwani siwezi kukamatika kirahisi.
Kitendo cha mimi kusogeza mguu nyuma, nikastukia kitu chenye ncha kali kikinichoma mgongoni, kwa haraka nikaupeleka mkono wangu nyuma, kwa ajili ya kukichomoa. Nikakuta ni sindano
yenye dawa, iliyo anza kuvinyong'onyeza viungo vyangu vya mwili. Taratibunikajikuta nikianza kuishiwa na nguvu. Nikaanguka chini, kila nilipo jaribu kunyanyua hata mkono sikuweza, nikajikuta nikiwatazama watu hao walio nikaribia na kuninyanyua. Nikastukia kitu kizito kikinipiga, kichwani, giza kali likanitawala machoni mwangu.
********
"Eddy.... Eddy"
Nisauti nyororo, iliyo anza kuisikia taratibu, ikipenya masikioni mwangu. Taratibu nikayafungua macho yangi, nikakutana na sura ya kike, huku kichwa chache kikiwa kimejaa nywele nyingi nyeusi na zilizo ndefu sana.
Macho yake makubwa kiasi, na yadura kiasi, yaliendelea kunitazama huku akiwa ameniimamia, kutoka katika kitanda nilicho kilala.
"Karibu tena duniani" Alizungumza huku akiwa ametabasamu.
"Duniani?"
"Ndio duniani"
"Kwani nilikua, sipo duniani?"
Hakuzungumza chochote zaidi ya kusimama, pembeni ya kitanda nilicho lala.
"Kwa jina ninaitwa dokta, Agines, nimtaalamu katika maswala ya saikolojia"
"Ngoja, hapa ni wapi?"
"Upo Washinton DC, Marekani"
"Ahaaaa?"
"Usishangae, ninaimani kwamna unatambua, nitukio gani ulilo lifanya kwa ajili ya hii nchi, nasi tumeamua kukuweka karibu nasi na kukusaidia kwa kila jambo"
Akafungua pazia, kubwa lililopo kwenye moja ya ukuta, hapa ndipo nilipo anza kuona majengo makubwa yaliyopo katika mji huu, ambapo ndipo yalipo makao makuu ya serikali ya nchi ya Marekani.
"Tutahakikisha tunakufanyia kila unacho kihitaji"
Akaniandalia chakula, akaniomba nile.
"Ukimaliza kula, kuna watu nitahitaji uonane nao"
"Wakina nani?"
"Utawaona tuu"
Nikamaliza kula, akanionyesha bafuni, nikaoga na kurudi kitandani, huku nikiwa nimejifunga taulo.
"Unaweza kuvaa"
"Mbele yako?"
"Kwani kuna tatizo lolote, tambua kwamba mimi nitakuwa pamoja nawe kwakipindi cha siku tisini"
"Za nini?"
"Eddy vaa bwana, watu hao wanakusubiri."
Nikamtazama kwa muda, nikavua taulo, nikachukua nguo moja baada ya nyingine alizo zipanga kwenye kitanda.
"Umependeza sana"
"Asante"
"Upo tayari"
"Ndio"
Tukatoka ndani ya chumba, hichi kilicho tengenezwa kwa mfumo wa wakisasa, tukaingia ndani ya lifti na kushuka chini, hapa ndipo nilipo gundua ghorofa tuliyokuwa ni ya hamsini kutoka chini.
Tukafika chini, kabisa tukaongozana hadi nje ya ghorofa hili, tukakuta gari karibia sita zenye muundo mmoja wa milango sita zikitusubiri sisi.
Tukaingia kwenye moja ya gari, na gari zote zikaondoka.
"Tunapo kwenda ni wapi?"
"Ahaaa utapaona usiwe na wasiwasi"
Akanipa glasi iliyo jaa whyne
"Ninaamini unatunia hiki kinywaji?"
"Ndio"
Nikaendelea kutazama jinsi mji huu ulivyo jengeka, kwa majengo marefu. Tukafika kwenye mojo ya geti kubwa, gari zote zikaingia kwa pamoja.
Tukashuka mimi na Agie, tukapokelewa na mdada mmoja aliye valia suti nyeusi. Akatupeleka kwenye moja ya meli, iliyo simama pembezoni mwa bahari
"Ni nani huyo tunakwenda kuonana naye?"
"Eddy mbona una haraka, utamuona tu"
Tukaingia ndani kabisa ya meli hii ya kifahari, kila niliye mtazama alionekana kutabasamu. Wengine wakadiriki kunisalimia, kwafuraha.
"Tuingue humu chumbani"
Tukaingia kwenye moja ya chumba kilicho humu ndani ya meli hii. Tukakuta baadi ya watu wanao onekana ni wanamitindo.
Wakanichukua vipimo vya mwili wangu, wakaanza kunishonea nguo ya mtindo nilio uchangua kati ya mitindo mingi, waliyo nionyesha.
"Agie mbona, mimi sielewi?"
"Huelewi nini Eddy?"
"Mambo yote haya, munanifanyia kwa maana ipi?"
"Eddy kama nilivyo kuambia, inatupasa kulufanyia kitu kama kukulipa fadhila ya uliyo fanya kwa raia wa Marekani"
"Hata kama, ila bado haijaniingia akilini!"
"Kwa nini?"
"Ni watu wangapi, walikufa kwa ajili ya wamarekani muliwafanyia hivi?"
"Ndio ila kila mmoja ana bahati na nafasi yake kwenye maisha. Kwahiyo nafasi yako no hii"
Ndani ya lisaa, nguo niliyo hitaji kushonewa ikawa imekamilika, wakanipa niijaribu, kutokana na uzoefu wao, hawakukosea kitu hata kimoja.
"Ni muda wakutoka kwenda kukutana na watu nilio, kuahidi utaonana nao"
Nikashusha pumzi huku nikimtazama Agie, ambaye naye, alibadilisha nguo alizo kuja nazo na kuvalia gauni, refu jekundu.
Tukatoka tukiwa tumeshikana mikono, sauti yakiume, kupitia kipaza sauti nikaisikia ililitaja jina langu, ukumbi wote ukafura kelele za makofi. Watu walizidi kushangilia huku wakianza kuimba wimbo wa Happy birtday, wakiashiria ni siku yàngu ya kuzaliwa.
Agie akanipeleka hadi mbele ya ukumvi kwenye sehemu iliyo nyanyuka kidogo. Kwa matatizo yalivyo nizonga, hata siku yangu ya kuzaliwa sikuikumbuka.
Ukimya ukatawala ndani ya ukumbi, huku watu wakinisubiri nizungumze kitu chochote.
"Kipindi, nilipo kuzaa, nilitambua kwamba ipo siku utakuja kua mtu muhimu kati ya watu wengi ulimwenguni humu"
Sauti ya mama, ilinistua, kupitia vipaza sauti vilivyomo humu ndani, nikatazama pande zote za ukumvi ila sikumuona mama.
"Usipate shida ya kunitafuta, nipo hapa mwanangu"
Nikamuona mama, akisimama katikati ya watu huku mkononi mwake akiwa ameshika kipaza sauti.
"Leo maombi yàngu, Mungu ameyasikia. Nilikutafuta kwa miaka mingi mwanangu. Hadi leo nimekuona"
Mama alizungumza huku akipiga hatua akija mbele nilipo, mashafu ya mama yakaanza kujaa machozi, yanayo mtiririka kutoka machoni mwake.
"Umekua mwanangu, hadi leo unatimiza miaka ishirini na tato, kweli umekua mwanangu"
Nikashikwa na kigugumizi hata sikuweza kuzungumza, mama akanikaribia na kunitazama usoni mwangu, nami nikashindwa kuyazuia machozi yangu. Tukajikuta tukikumbatiana kwa pamoja na kuwafanya watu, waliopo ukumbini kupiga makofi
"Nakupenda sana mwanangu, Eddy"
Sikutarajia kama ninaweza kukutana na mama yangu, baye nimepotezana naye kwa kipindi kirefu sana
"NA...KU..PENDA PIA MAMA"
Nilizungumza huku, machozi yakinimwagika, yakiendana na sauti iliyo jaa kigugumizi. Kati ya watu walio simama ukumbibi, nikamuona Sheila, akipiga makofi huku akimwagikwa na machozi ya furaha
USIKOSE SEHEMU YA 80, HAPA HAPA KWENYE UKURASA WA STORY ZA EDDY.
www.storyzaeddy.blog.com
eddymsulwa@yahoo.com
eddazariaM@gmail.com
0657072588/0768516188
Instargram @Eddy_Msulwa
Tukajikuta tukikumbatiana kwa pamoja na kuwafanya watu, waliopo ukumbini kupiga makofi
"Nakupenda sana mwanangu, Eddy"
Sikutarajia kama ninaweza kukutana na mama yangu, baye nimepotezana naye kwa kipindi kirefu sana
"NA...KU..PENDA PIA MAMA"
Nilizungumza huku, machozi yakinimwagika, yakiendana na sauti iliyo jaa kigugumizi. Kati ya watu walio simama ukumbibi, nikamuona Sheila, akipiga makofi huku akimwagikwa na machozi ya furaha
ENDELEA SASA
Taratibu mama akaniachia na kunibusu kwenye paji la uso wangu. Akasimama pembeni yangu nakuniomba nizungumze chochote, kwa watu walio nifanya sasa hivi kuwa na furaha.
"Siamini, kitu ninacho kiona mbele ya macho yangu."
Nilizungumza huku nikijifuta machozi yafuraha yanayo nimwagika usoni mwangu.
"Sina kitu kingine chakuzungumza zaidi ya kusema asanteni, nyinyi nyote. Mulio nikutanisha na familia yangu. Asanteni sana."
Nikamapa kipaza sauti, muendeshaji wa shughuli hii, mama akaninishika mkono na kunipeleka kwenye moja ya meza, iliyo na kitu kikubwa kilicho funikwa na kitambaa cheupe.
"Eddy tunakuomba ufunue hicho kitambaa"
Muongozaji wa shughuli alizungumza nami nikafanya kama alivyo zungumza. Sikuamini kuona keki kubwa, iliyo tengenezwa kwa muonekano wangu.
Nguo zilizo tengenezwa kwenye, keki hii, ni zile nilizo kua nimezivaa siku nilivyo kua katika mapambano, ya kumuokoa balozi wa marekani na familia yake, huku mkononi nikiwa nimeshika bastola. Wadada wawili walio valia sare nzuri za suti zenye rangi ya 'cream' wakasimama karibu yangu na kuanza kuikata kekii hii, yenye maandishi yaliyo andikwa kwenye kibao cheusi ambacho nacho pia ni keki, yanayo someka
(Wewe nishujaa wa maisha yangu na familia yangu, hongera kwa siku yako ya kuzaliwa)
Wakamaliza kukata vioande vya keki, kisha muongoza sherehe akaniomba nianze kumlisha mtu nimpendaye. Nikamuanza mama, kisha nikamuita balozi Brayan, pam