LIFE AFTER NOW

Learning about tommorow

Alhamisi, 30 Julai 2015

The 4 Things You Learn By Facing Your Fears

1. You take responsibility for your Feelings
uppsala-sweden-psychology-study-erasing-fearWe live our lives thinking that our discomfort or unhappiness is caused only by others. Whether someone hurt you or had a big impact in your life, blaming this person for the emotions you create yourself is unfair.
You are the writer of your own story; you get to choose how it’s going to end.
Accounting for feelings like anger, sadness or jealousy can be a difficult thing to do but that is how you grow. Own your feelings, or they will own you.

2. You are not Alone

adbusters_99_fear-of-flying_s
Just like you are hurting, so is the person who hurt you; it’s just that you will don’t know how they really feel. They are human just like you and they feel just like you. They might not be feeling the same thing at the same time but guaranteed they, too, feel lost and insecure in their own way, at their own time.
Try to understand that we all go through the same thing in our own way. We are all reflections of each other and that’s beautiful; it brings us together. We can reflect our shadow aspects off each other to shine the light on them and grow from our mistakes. 

3. You are in the Present Moment

You might dislike the way a certain person or situation makes you feel, and you can try to distance yourself from it, Fearbut you can’t distance yourself from your own feelings; they are inside of you. It is important that you look at the present moment and create a healthy output for unwanted emotions.
If you’re in a situation you don’t want to be in, leave it. If you’re interacting with someone you don’t want to, don’t. Sometimes we are obligated to do things we don’t want and those are the best moments for learning and growth.
Ask yourself why you don’t want to be doing whatever it is. Ignoring your problems will not make them go away, and when emotions build up they eventually lead us to do things we aren’t proud of.

4. You learn to Trust Fear

Have you ever heard the quote “Fear is the pointer to your next adventure”?
9-fears-facing
Fear only exists within the mind; it does not exist in the world outside of us. It is an imaginary barrier we create for ourselves, a barrier that usually appears right before something great is ready to take place in our lives.
It is there from our ego, to keep us safe and comfortable. But just outside our comfort zone is where unreal magic exists.
When we make the choice to confront our fears there is a reward waiting on the other side. TRUST this feeling even when it may seem counter-intuitive because where there is fear there is also a hidden treasure.
Let fear show you the way.

Ijumaa, 24 Julai 2015

Ts only you

Article: Supercar season: Middle Eastern millionaires and their gas guzzlers hit London - Supercar season: Middle Eastern millionaires and their gas guzzlers hit London

http://www.telegraph.co.uk/motoring/picturegalleries/11755389/Supercar-season-Middle-Eastern-millionaires-and-their-gas-guzzlers-hit-London.html

LINDA AFYA YAKO

UJERUMANI  IMETANGAZA DAWA ZA DICLOPA NA DICLOPHENAC KUWA NI HATARI KWA MATUMIZI YA BINAADAMU. IMEGUNDULIKA VIDONGE HIVYO HUSABABISHA KANSA YA INI NA UBONGO, UGONJWA WA MOYO, KIHARUSI, VIDONDA VYA TUMBO AU KIFO CHA GHAFLA, waokoe wengine  KUWATUMIA  sms hii  wasitumie vidonge  hivyo.

Story madam

*****SORY MADAM*****(60)

AGE....................................................................18+
WRITER.............................................................EDDAZARIA G.MSULWA
WAALIKE NDUGU,RAFIKI KUZISOMA HIZI STORY NA SHARE KWA UWAPENDAO NA UWE MIONGONI MWA WATAKAO JISHINDIA KITABU CHA MY MOMMY FRIEND

ILIOISHIA
Tukiwa tunaendelea kuchagua nguo akaingia mwanayume mmoja akiwa amebeba mkoba wa kike, akasimama akitizama tizama baadhi ya nguo, akatoa simu yake ambayo inaita nakuzugumza na simu, kisha akaikata na akasimama akitazama nje.Baada ya muda akaingia mdada aliye jitanda baibui lililo funika hadi macho yake huku tumbo lake kidogo likiwa ni kubwa akionekana ni mjamzito, dada huyo akavua baibui lake ndipo macho yangu yakamshuhudia Dorecy akiwa amesimama kiuvivu, huku mimba aliyo nayo ikionekana kumpelekesha sana, na kwabahati mbaya hakuniona mimi nilipo

ENDELEA
Nikamtazama kwa makini jinsi anavyo zungumza na mume wake, hadi Phidaya akanigusa bega
“Mbona unamtazama sana yule dada wa watu?” “Ninamfahamu”
“Unamfahamu?” “Ndio”
“Ni nani?”
“Anaitwa Dorecy”
Tulizungumza kwa sauti ya chini huku, tukimtazama Dorecy akichagua chagua nguo na mume wake
“Huyu ndio yule msichana, aliye nipiga na kuondoka na kiasi kikubwa cha madini yangu”
“Ahaaa”
“Ngoja kwanza, nisubiri hapa”
Nilizungumza huku nikizunguka upande wa pili alipo Dorecy na mumuwe, nikajibanza kwenye moja ya kabati lenye nguo, simu ya mume wa Dorecy ikaita na kumlazimu kutoka nje kuzungumza na simu hiyo.Nikapiga hatu za umakini, hadi sehemu alipo simama Dorecy na kumgusa kwa nyuma.Akageuka, na kujikuta akinitazama kwa macho yaliyo jaa mshangao mkubwa kwani hakutarajia kuniona nikiwa katika eneo hili.Nikamvuta hadi kwenye sehemu ambayo si rahisi kwa watu kutuona, hii ni kutokana na wingi wa nguo zilizo pangwa
“Eddy..nisamehe”
“Sikia sina haja ya kuombwa msamaha, ninacho kihitaji ni madini yangu, la sivyo nitalitumbua tumbua hili jitumbo lako kama sikujui”
Nilizungumza kwa sauti nzito iliyo jaa hasira pamoja na msisitizo mkali, mwili mzima wa Dorecy  ukawa na kazi ya kutetemeka mithili ya mtu aliyepo kwenye baridi kali sana
“Yaaa, yaapo kulee”
Nikatazama juu kuchunguza kama kuna kamera yoyote ya ulinzi, ila sikuona, nikamtndika Dorecy kofi moja la kumuweka sawa “Nimekuambia nahitaji madini yangu sawa?”
“Ndio, yapo kwa kule kule kwangu”
“Nitayapataje?”
“Eeheee?” Nikaona Dorecy anababaika sana na kunipotezea muda, nikamtandika kibao cha pili ambacho nikizoto kuliko hata cha mara ya kwanza, hadi kuna dada mmoja akachungulia, nikajifanya nikimkumbatia Dorecy kama mpenzi wangu, dada aliye chungulia akaachia tabasamu na mimi, nikatabasamu kinafki ili airudishe sura yake alipo itoa.Alipo irudisha nikamuachia Dorecy na kumkuta sura yake imejaa machozi mengi
“Usijidai unalia kinafki, sasa leo nitakuzalilisha mbele ya mume wako”
“Hapana Eddy usifanye hivyo, mume wangu ni mtu mwenye pesa sana, atakudhuru wewe”
“Haaa na anidhuru kwahiyo pesa zake ndio unadhani kwamba ninaziogopa, si ndio”
Nilizungumza kwa hasira huku nikiwa nimeshika kiganja cha mkono wa kuliwa wa Dorecy na kukiminya kwa nguvu zangu zote.Dorecy akaanza kutoa kilio cha maumivu, simu yake aliyo ishika mkono wakushoto ikaita na kuona jina mume wake
“Pokea sasa”
Nilimuamrisha huku nikimuachia mkono, kabla ya kupokea nikamuona mume wake akija nyuma ya Dorecy
“Mumeo huyo hapo, ole wako uropoke”
Dorecy akajifuta machozi haraka, hadi mume wake anafika sehemu tuliyopo, sura yake imejaa uchangamfu wa gafla, wakazungumza kiarabu ambacho sikukielewa, nikashangaa mume wake akinipa mkono huku akiwa na tabasamu
“Eddy huyu ni mume wangu, anaitwa Khalid, nimemuambi kwamba tumesoma wote”
Nikatingisha kichwa, nikilipokea tabasamu la mume wake, tukaachiana mikono, kitu ambacho mume wake alikifanya na kuzidi kuniboa ni kumkumbatia Dorecy kwa nyuma na kuanza kumchezea chezea tumbo lake huku akizungumza maneno nisiyo yaelewa, Dorecy akanitazama machoni, na kugundua nilivyo kasirika
“Anasema, kwamba mtoto nitakaye mzaa atamleta Tanzania”
Dorecy alitafsiri maneno aliyo yazungumza mume wake
“Muambie hatutaki watoto kama wake, na utazaa Zombi kama sijakusoa”
Mume wa Dorecy akatabasamu baada ya Dorecy kumtafsiria nilicho kizungumza, na nina uhakika kwamba Dorecy alicho kizungumza sicho nilicho muambia
“Nataka, madini yangu, la sivyo nitakufanyia oparesheni bila ganzi ya hilo jitumbo lako”
Nilizungumza na kuachia tabasamu pana, kumfanya mume wa Dorecy kuto kuelewa kitu ninacho kimaanisha, nikawapa mikono na kuondoka zangu kurudi sehemuu nilipo muacha Phidaya
“Eddy umemaliza?”
“Ndio, ila kuna kazi nahitaji kuifanya peke yangu”
“Kazi gani?” “Tutazungumza”
Phidaya akawa amesha maliza kununia alichokuwa anahitaji kukinunua, tukatoka nje na kuingia ndani ya gari
“Usiondoke kwanza, nataka tuwafwatilie Dorecy na mumewe sehenu wanapo ishi”
“Eddy mbona unanipa shuhuli nyingine”
“Zipi?”
“Hizo za kufwatilia hao watu, ujue kwamba tumekuja kutafuta nini huku”
“Powa nipatie pesa nikodo taksi”
“Utapakumbuka ninapo ishi”
“Wewe nipatie pesa”
Phidaya akanipatia kiasi cha kutosha cha pesa, nikashuka kwenye gari na yeye akaondoka, sikucheza mbali na mlango wa duka walipo Dorecy na mume wake, baada ya dakika kumi na tano nikawaona wakitoka kwenye duka, huku mumewe akiwa amebeba mzigo mkubwa wa nguo.Gari ya kifahari yenye milango sita ikasimama pembeni yao, akashuka jamaa aliye valia suti yenus na miwani nyeusi, akawafungulia mlango na wote wakaingia ndani ya gari na wakaondoka
Nikapiga mluzi kwa dereva taksi mmoja aliye kuwa ameisimisha gari yake upande wa pili wa barabara, akaja nilipo simama haraka, na nikaingia ndani ya gari
“Nilugha gani unayo tumia kuzungumza?”
Nilimuulizwa kwa kingereza, dereva taksi ambaye ni mzee wa makomo kidogo na kichwani mwake amejifunga kilemba
“Zote duniani, kiarabu, kingengereza, kiswahili, kichina na kadhalika”
Alinijibu kwa kingereza, nikamuomba alifwate gari la kifahari lilolo ondoka muda mchache sehemu hii, akatii, akafungulia mziki wa kihindi na kuanza kuimba huku akitingisha tingisha kichwa chake
“Mzee hembu kuwa makini na kazi yako. Utaipoteza hiyo gari”
Kijana mimi ile gari naijua hadi sehemu inapo elekea, ni gari la tajiri Khalid Bin Suley, baba yake alikuwa ni gavana wa hili jimbo”
“Kwa hiyo unamjua?”
“Vizuri sana, tangu akiwa mdogo, na nimwezi ulio pita amefunga ndoa na binti mmoja kutoka Afrika”
“Tuachane na hizo habari za ndoa, yeye anafanya kazi gani?”
“Ahaaa yule kijana, ni mshenzi kweli.Tangu baba yaka afariki basi yeye amekuwa ni muuzaji mkubwa sana wa madawa ya kulevya, kutokana ananguvu kubwa, wala hakuna mbweha polisi hata mmoja anaye msogelea”
“Ahaaa” “Ahaaa, jamaa anamkono mrefu sana, akimtaka mtu kumchomoa duniani basi ni kitendo cha muda mfupi sana”
Maneno ya dereva taksi yakaanza kuniogopesha na kubaki nikiwa ninamtazama kwa umakini, ila nikajipa moyo kwamba shida yangu si yeye bali nimadini yangu tu.Tukaendelea kuifwatilia gari yake kwa ukakini, gafla dereva akaisimamisha gari yake
“Mbona umesimamisha?”
“Kijana hapa ndio mwisho wa mimi kufika, nikivuka tu hicho kibao hapo ujue haturudi”
“Haturudi kivipi?” “Namaanisha tutakwenda kuuawa huho, ila jumba lake lile pale mbele”
Tukaishuhudia gari ya Khalid ikiingia kwenye gat kubwa ya jumba lake kifahari, hadi inazama ndani, nikajikuta nikishusha pumzi.Sehemu nzima tuliopo imependezeshwa na miti mirefu, pamoja na majani marefu kiasi yaliyo kolea kijani kikali, kiasi kwamba, ukipatazama lazima macho yafarahie mandhari ya eneo zima
“Ndio hivyo tena, gari imesha zama ndani kijana sasa sijui tunarudi pamoja, au unataka kwenda kudumbukizwa kwenye bwawa la mamba?”
“Turudi?”
Dereva taksi akasigeuza gari lake taratibu, kabla hajaliweka sawa barabarani, gari mbili nyeusi zikasimama barabarani na kuifunga barabara
“Ohoo nilikuambia kijana”
Dereva taksi alizungumza huku akianza kutetemeka mwili mzima.Wakashuka watu sita walio valia suti nyeusi huku mikononi mwao wakiwa na bunduki aina ya short gun.Mzee wa watu akaanza kuomba sala yake ya mwisho huku kajasho kembaba kakimwagika.Jamaa mmoja akaanza kupiga hatua za kuja lilipo gari letu, na kutuomba tushuke ndani ya gari, huku mikono yetu ikiwa juu.Nikajikuta nikiwa ninajiamini kupita maelezo, nikafungua mlango na kutoka nje huku mikono yangu ikiwa nimeinyoosha juu, akafwatia dereva taksi naye akafanya kama nilivyo fanya mimi
“Nyinyi ni kina nani?”
Jamaa alituuliza kwa lugha ya kingereza
“Sisi ttumepotea njia tu”
Nilimjibu jamaa kwa kujiamini, kiasi kwamba nikawa nimejiandaa kwa chochote ambacho kitakwenda kutokea.Jamaa akanisogelea na kuanza kunipapasa kuanzia chini hadi juu, akatoa kiasi cha pesa nilicho kuwa nacho mfukoni na kukitupa pembeni
“Inama kwenye gari”
Aliniamuru na nikafanya hivyo bila ya wasiwasi wa aina yoyote, nikamtazama mzee wa watu jinsi anavyo tetemeka hadi haja ndogo ikaanza kulowanisha surali yake aina ya panjabi aliyo ivaa.Jamaa akaanza kumpapasa mzee wa watu, hawakumuona na kitu chochote
“Ingieni kwenye gari lenu na muondoke haraka sana”
Asante sana baba yangu”
Mzee alijibu kwa haraka na kuingia kwenye gari, nikataka kuokota pesa zangu ila jamaa akanizuia na kuniamuru niingie kwenye gari huku akiwa ameninyooshea bunduki yake, wakazitoa gari zao barabarani na sisi tukaondoka, kwa mwendo wa kasi, njia nzima tukawa kimya, macho yangu nikayashusha sehemu ya mbele ya mzee wa watu na kujikuta nikianza kuchake kimoyomoyo
“Kufa kubaya?”
Nilijisemea huku nikicheka, hata mziki ambao mzee alikuwa anausikiliza akaona unampigia kelele, akaizima redio yake.Nikashangaa kuona mzee akisimamisha gari yake kwenye duka ambalo nilikuwepo
“Shuka kijana kwenye gari yangu, sitaki tena oda yako ya safari”
Mzee alizungumza huku akibabaika, nikashuka kwenye gari, hata pesa hakunidai, akaondoka kwa kasi na kutokomea mbele ya macho yangu.Nikabaki nikiwa nimesimama sikujua ni wapi nielekee, nikastukia nikiguswa bega kwa nyuma kugeuka nikakutana na Phidaya
“Wewe si umeondoka, mbona upo hapa?”
Phidaya alizungumza huku mkononi akiwa ameshika mfuko wa nguo zangu
“Nimerudi bwana”
“Una bahati kweli, nilisahau huu mfuko wako wa nguo, sijui ungerudije nyumbani na ubishi wako”
Phidaya akaita taksi na sote tukaingia ndani ya gari
“Gari umeiacha wapi?” “Nimeiacha gereji, ina badilishwa rangi na kuwekwa kioo cha nyuma kipya”
“Umeshanunua hivyo vitu?’
“Ndio, vyote vipo kwenye gari” Tuakfika hadi gereji na kukuta gari ikimaliziwa kufungwa kioo cha nyuma, huku rangi ikiwa imesha malizwa kupakwa
“Hii gereji ninaipenda kutokana huduma zao ni zaharaka, pia wanamitambo mingi”
“Ahaaa, ila ni kubwa” “Ndio, vipi ulifanikiw

Jumanne, 21 Julai 2015

Best Natural Ways For Cleaning Your Lungs Of Nicotine And Tar

No matter how aware people are of the harmful ingredients in cigarettes and how they are the number 1 cause of lung cancer, they still can’t quit smoking. Well if you recognize yourself in the sentence above, the least you can do is clean your lungs of nicotine and tar build up and decrease your risk of infections.
There’s no magical formula that will cleanse the lungs instantly, but here is a list of foods that works best at throwing out the nicotine and tar.
how to clean your lungs
Corn is a food that contains beta-cryptoxanthin, which is believed that can protect you from lung cancer, because it is a powerful antioxidant. However, consume only organic, fresh corn.
Selenium is a very powerful antioxidant. Brazil nuts contain the highest source of selenium compared to other foods, so eat it as much as possible.
Onion is also a good lung cleaner. Onions can be of great help to prevent many diseases, including lung infections. In the case of people who already have cancer, it prevents the growth of new cells.
Ginger as a natural medicine and food, helps to defend against malignant diseases. This is another strong tool to relive you from the toxins in your lungs. You can consume ginger root tea, because it facilitates breathing. Also, you can eat a piece of ginger with a meal.
Oranges contain cryptoxanthin, which has a preventive effect against lung cancer.
Nettle is a plant full of iron, but it is very useful as a mean of disinfection for the lungs and plays an important role in fighting infections.
Pine needles tea is traditionally used for rinsing the mouth and throat, but can also be a good ally in the fight against lung cancer.
Sources:
http://www.healthyandnaturalworld.com/the-best-foods-to-cleanse-your-lungs/
http://www.globalhealingcenter.com/natural-health/6-tips-for-keeping-your-lungs-clean/people

Alhamisi, 9 Julai 2015

JIFUNZE NJIA RAHISI YA KUJITENGEZEA KIPATO CHA KUDUMU

KWA NINI UWEKEZE $18?

 

 

UTANGULIZI

Kutokana na ukuaji wa sayansi na teknolojia  sasa unaweza kujiajiri mtandaoni na kuondokana kabisa na umasikini na kupunguza tatizo sugu la ajira pamoja na kujipatia kipato cha kutosha kabisa kwa watu walioajiriwa ambao hawapati kipato kizuri kutokana na ajira hizo.

 KAMPUNI YETU

4Corners Alliance Group ni Kampuni inayotokana na kampuni mama ya Cornerstone LLC iliyopo Las Vegas Marekani.
Imeanzishwa mwaka 2013 na mwanzilishi wake akiwa ni David Harrison ambaye alikuwa ni Mfanya biashara katika biashara hii ya mtandao.

FURSA

4Corners Alliance Group ni kampuni ambayo imejikita katika kutoa elimu ya Ujasiriamali, Uchumi, fedha, Uwekezaji na Biashara kwa kutumia bidhaa mbili tu.

1. Vitabu vya  mtandaoni(ebooks)
2. Jarida la kila mwezi la mtandaoni (enewsletter)

Vitabu vya  mtandaoni(ebooks) 

Vitabu zaidi

Bidhaa hyo imegawanyika katika makundi sita(6) ambayo yanaitwa ngazi(levels).
Level 1 inakuwa na watu 4 tu.
Level 2 inakiwa na watu 16 tu.
Level 3 inakuwa na watu 64 tu.
Level 4 inakuwa na watu 256 tu.
Level 5 inakuwa na watu 1024 tu.
Level 6 inakuwa na watu 4096 tu.

Kila ngazi ina Seti yake ya vitabu vyake vikiwa na dhima tofauti na kw bei tofauti.
Level 1 ni $10
Level 2 ni $10
Level 3 ni $25
Level 4 ni $60
Level 5 ni $150
Level 6 ni $300

Unaweza kuvinunu vitabu vyoote hivi kwa hela yako mwenyewe ukajisomea mwenyewe...

Je ni kweli tunaweza?
Hapa ndo unakuja mpango wa kuunda timu ili kujenga kipato cha kukuwezesha kununua vitabu zaidi na kujipatia ziada kubwa kabisa.

Inakuwaje?
Unapojiunga tu kwa $18, $8 ni ya usajili na $10 inakununulia bidhaa ya level 1.

Unapoanza kujenga timu hivi ndivyo utakavyonufaika.
Kwa watu walioko kizazi cha 1  utalipwa $4 kwa kila mauzo ya $10 ya bidhaa ya Level 1 na jumla kuwa $4 x 4 = $16


Kwa watu walioko kizazi cha 2 utalipwa $4 kwa kila mauzo ya $10 ya bidhaa ya Level 2 na jumla kuwa $4 x 16= $64


Kwa watu walioko kizazi cha 3  utalipwa $10 kwa kila mauzo ya $25 ya bidhaa ya Level 3 na jumla kuwa $10 x 64 = $640


Kwa watu walioko kizazi cha 4  utalipwa $24 kwa kila mauzo ya $60 ya bidhaa ya Level 4 na jumla kuwa $24 x 256= $6144


Kwa watu walioko kizazi cha 5  utalipwa $60 kwa kila mauzo ya $150 ya bidhaa ya Level 5 na jumla kuwa $60 x 1024= $61440


Kwa watu walioko kizazi cha 6 utalipwa $120 kwa kila mauzo ya $300 ya bidhaa ya Level 6 na jumla kuwa $120 x 4096 = $491,520


 Jumla Utakuwa umelipwa kiasi cha $559,824.



Kinaweza kuwa ni kiasi kikubwa sana ambacho labda unaweza kuchukua miaka michache kukifikia. Lakini jiulize tu, Je ungepata 10% ya hicho kipato kwa mwaka mmoja ungefanya nini?

UKUMBUKE KUWA HELA YOTE HIYO ITATOKANA NA MALIPO UNAYOPATA KWA KUJENGA TIMU YAKO NA SIO MFUKONI MWAKO TENA.

KIKUBWA ZAIDI ni 100% Bonus.
Hii hutolewa kwa kila kila mtu uliyemuingiza chini yako moja kwa moja.
Bonus hii hutolewa pindi pale mtu uliyemwingiza moja kwa moja anapolipwa.
Chochote atakacholipwa unalipwa kwa 100% wewe ukiwa ndo mdhamini wake.

Mfano:
Mtu wako akilipwa $100 kama malipo ya mauzo, na wewe utalipwa bonus ya $100 papo hapo.





SPILLOVER
Baada ya wale wanne(4) tulioona pale mwanzo kila utakayemwingiza atakupatia $4 lakini hatakaa kwenye level 1 yako...system itatafuta pengo itamuweka huko.
Nini faida ya kuingiza watu zaidi?
Unapokuwa na watu wengi zaidi chini yako utafaidi zaidi ile bonus ya 100%.

Mfano:
Ukiwa na watu 20 na kila mmoja akawa amelipwa $50, ina maana utalipwa $50 x 20 = $1,000 papo hapo...

����..sio utani..ni kweli....


Hii ni kwa mujibu wa 25 June 2015


Vitu muhimu.

1. Hakuna kikomo cha uanachama.
2. Hakuna kukimbizana na targets. Kila mtu anafanya kwa raha zake...speed yako mafanikio yako.
3. Hakuna kuuza bidhaa.
4. Hakuna kutoa hela nyingine mfukoni mwako baada ya $18
.


JARIDA LA KILA MWEZI (e newsletter)

Hili jarida hutoka kila mwezi mara moja na gharama yake ni $29.95.
1. Hautalipwa kamisheni zake kma hulichukui.
2. Inashauriwa kulichukua pindi unapokea malipo ya level 4.
3. $29.95 inakatwa kwenye kamishen zako.

Kwa kila anayelichukua jarida hili unalipwa ifuatavyo...
Level 1: $1 x 4 = $4
Level 2: $1 x 16 = $16
Level 3: $1 x 64 = $64
Level 4: $1 x 256 = $256
Level 5: $2 x 1024 = $2048
Level 6: $2 x 4096 = $8,192
Level 7: $4 x 16384 = $65,536

Jumla Kuu ni $76,116 



��Hiki ni kipato cha kila mwezi�� ..ndioo...kila mwezi.

Hapa ile Bonus ya 100% inahusika.


NINALIPWAJE?

Uapojiunga unapewa ofisi yako ya mtandaoni..(backoffice)...
ambayo ni sehemu ya tovuti ya kampunina utatumia kuangalia maendeleo yako, ya timu yako, mapato yako na kutoa hela pia.

Maombi ya kutoa fedha yanafanyika siku ya Jumapili, Jumatatu na Jumanne...na malipo yatafanyika Jumanne itakayofuata kupitia Visa au Mastercard ya kampuni ambayo utaiagiza kwa kiasi cha $30 tu.
Pia utaweza kuomba malipo kupitia Visa au Mastercard yako binafsi.

Na utaweza kutoa kupitia ATM za hapa hapa kwetu.

Naanzaje biashara hii?

Kinachohitajika ni
1. Visa au Mastercard yenye $18*.
2. Email (isiwe yahoo au AOL).
3. Username(Jina) ya mtu aliyekushirikisha hii fursa. 
4. Kisha Ingia hapa kujiunga

*Kama hauna Visa au Mastercard Wasiliana na aliyekushirikisha au kwa mawasiliano yangu hapo chini.

 

JIUNGE NA TEAM YANGU HAPA

 

mawasiliano zaidi 

whatsapp no 0713 419682

email jumaamijules@gmail.com

How To Access Past Life Memories

How To Access Past Life Memories

 

The idea of past lives have become increasingly popular over the past few decades; and for good reason! Many are wanting to know what they did in a life before; to better understand their life now.
This gets a little confusing when we understand that our consciousness is a fractal of the all, which encompasses everyone else’s consciousness as well. We are all one, we are all each other, yet we have our own separate consciousness. It seems the higher we go in dimension or frequency, the more ‘One’ everything is. Everything is understood from a much wider perspective. 

Meditate on A Question

past-lives-spiralEveryone is already at the level to access this information, and if anyone tells you other wise, check if their intention is actually pure. Meditate on a very specific question rather than an open ended one.
Ask exactly what you are wanting to know. Understand you are asking yourself, not an external, supreme being.
And allow the answers to come in different forms. If you are asking to have your past lives shown, it might not be visual.
Pay attention, extremely close attention to how your body feels and what thoughts and sensations come about. Sometimes we are shown the answer so subtly that we miss it. A lot of people experience how they died in their last past life, and sometimes injuries or problems we experience in this life time are left over from the last.
Sometimes the answer will come after a few attempts, especially if you don’t meditate regularly. It is a process of quieting the mind enough to hear the subtle answers of wisdom we all hold. It’s the quiet voice that we overlook that is trying to tell you what you want to know.

Talk about it

One time I was talking to a friend and I asked if she could ‘see’ any of my past lives. I actually asked as a sort of joke or at least I wasn’t expecting her to know anything. After asking, I got a flash of an image in my head of a sort of warrior woman with blue and red feathers, outfit and face paint. 7f24d-6a00e54efab950883301127918178a28a4-500wi
When I expressed this vision to my friend she instantly gasped with surprise as she saw the exact same thing. Without me even describing this woman, my friend said she was holding a curved hook type weapon and I almost started crying.
I saw that exact image too. We completely tapped into one of my past lives and weren’t even ‘trying’. It’s incredibly simple when you’re open to it.
Talk to your friends and family, allow yourself to be open about topics like this. You might be amazed as to where it leads you…

Understand That You Are Everyone

Past-Life-Regression-Therapy-w270This can be a bit tricky when exploring the concepts within the mind. The mind does not exist in the higher realms; that eternal energy exists outside of concept. See that, when tapping into YOUR past lives, they are also everyone else’s.
Imagine source energy as a ball with a bunch of extensions extending down from it. Those distinct extensions are each of our consciousness which seem separate, but as you go back to source, it is all from the same place.
So imagine that you can go back up into source, then back down into someone else’s consciousness.
We are all each other so our past lives, future lives and everything are all one. You are the same energy that made up Hilter, Mother Theresa, the presidents and that person you just passed on the street.
You can go in and experience everyone’s life because they are also yours. Learn to grow from them. Grow from the mistakes of the past to make a future that everyone wants to live in.

Every Morning This Man Gets $86,400. Every Night He Goes Broke…

 

 

Every Morning This Man Gets $86,400. Every Night He Goes Broke…

 

know about that boy u will enjoy it