Koffi Annan
Aliyekuwa
katibu mkuu wa umoja wa mataifa Koffi Annan amemtaka rais wa Burundi
Pierre Nku
runziza kujiuzulu huku uchaguzi mkuu ukiahirishwa.Kumekuwa na maandamano ya ghasia nchini Burundi pamoja na mapinduzi yaliofeli tangu Nkurunziza atangaze kuwa atawania muhula mwengine wa tatu wa urais katika kile watu wanaamni ni ukiukaji wa katiba.
Annan ameiambia BBC kwamba rais huyo amepoteza uhalali wake na sasa anafaa kujiuzulu iwapo anawajali raia wa Burundi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni